Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Wakati mwingine kuna mambo yanachekesha!!Hivi kweli TL ni raia wa kawaida wa Tanzania?Je mmesahau ya kuwa alipelekwa uwanja wa ndege kwa mwavuli wa ubalozi wa nje?Ni kweli kuwa balozi za nje zilikuwa haziujui ukweli?
Acheni maigizo bhana!

Hivi Lisu si ndio huyu alizunguka nchi nzima kupiga kampeni?

Si ndio huyu alikuwa anatunishiana misuli na polisi alipokuwa anakusanya watu nyakati za usiku?

Si ndio huyu alikuwa anapanda mwendo kasi kwenda kununua nyanya kariakoo?

Sasa watu wangekuwa na nia nae si wangemmaliza kilaini tu?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Kitu pekee nilichogundua kwenye comments ni kuwa wana CCM hawapendi amani, hawapendi usawa wa kisiasa na ni watu wa chuki sana.

Mnaulizana maswali ya kitoto, ni kwanini watu humuomba Rais kuwasaidia kupata haki zao za ardhi, hamjiulizi huwa wanakutana na changamoto gani katika kufuatilia kwa mchakato wa kawaida?
 
Hiyo shida ni nani sasa aliyekuwa anaileta? Na alikuwa anaileta kwa maagizo kutoka wapi? Juu? Katikati? Chini?
We nawe, Kama Mange amesaidiwa passport na Rais ndio isiwe Lissu ambaye ni zaidi???? Unakuwaje?
 
Kitu pekee nilichogundua kwenye comments ni kuwa wana CCM hawapendi amani, hawapendi usawa wa kisiasa na ni watu wa chuki sana.

Mnaulizana maswali ya kitoto, ni kwanini watu humuomba Rais kuwasaidia kupata haki zao za ardhi, hamjiulizi huwa wanakutana na changamoto gani katika kufuatilia kwa mchakato wa kawaida?
Kuna watu wapumbavu sana, mtu anauliza swali la kijinga (satire) ingali anafahamu Kuna watu wanaomba Rais awasaidie mgogoro wa shamba wakati serikali za vijiji zipo.

Mtu anaomba Rais amsaidie Mirathi ingali Mahakama zipo Ila kisa ni Lissu basi mtu anauliza ili kuendeleza kebehi na furaha ya kuona binadamu mwenzao anaendelea kupata shida.

CCM mnaona ni vema Tanzania iendelee kumeguka na kuondoa utaratibu tuliyokuwa nao wa kufanya siasa bila chuki, mnataka siasa za kipindi kile Cha 2005 kule Zanzibar na 2010 ambapo watu waliuana kisa vyama hiyo ndio siasa, mnataka bunduki ziendelee na mapanga yaendelee Kama kule mkuranga ambako kila Mwenyekiti wa CCM alikula mapanga hii sio siasa ya watanzania.
 
Ninachokiona hapo ni kuwa Tundu Lissu hakutegemea kama mama atakutana nae, alipoomba kukutana nae alikuwa katupa turufu na alishakuwa na jibu la kukataliwa kuonana nae kwa 100%, ili apayuke kisiasa. Mama kamziba mdomo na akawa hana la kusema hajui amwambie nini, akaanza kubwabwaja.
Bean 1.jpg
 
passport yake iliibwaje huko Ujerumani ukizingatia wajerumani na wenzao ndiyo walimtorosha 'Antipasu' nchini?

Tupe maelezo yaliyonyooka namna passport ilvyoibwa.
Ulimsikiliza jana kipindi cha MEDANI ZA SIASA cha Startv?
Kukwapuliwa kwa mkoba wake wenye pass na nyaraka zingine ukiwa una akili utajua ni kazi ya kijasusi tuu.
Lissu ameishi maisha magumu ya kufatiliwa na system muda mrefu
 
Ndugai alimkatalia wazi wazi kutomlipa hela za matibabu alimkatalia kwa misingi gani na wakati huo huo anaona Watanzania wanajichangisha mia mia atibiwe nani alihoji kuhusu hili...
Hivi watanzania wangapi serikali inawapa pesa za matibabu ama kuna watanzania na wasindikizaji
 
Hivi watanzania wangapi serikali inawapa pesa za matibabu ama kuna watanzania na wasindikizaji
Haya maswali wangeuliza Wabunge wetu huko Bungeni mimi sina majibu maana naona wanapeana wenyewe tuu hiyo keki ya Taifa..
 
Kitu pekee nilichogundua kwenye comments ni kuwa wana CCM hawapendi amani, hawapendi usawa wa kisiasa na ni watu wa chuki sana.

Mnaulizana maswali ya kitoto, ni kwanini watu humuomba Rais kuwasaidia kupata haki zao za ardhi, hamjiulizi huwa wanakutana na changamoto gani katika kufuatilia kwa mchakato wa kawaida?
Umeandika ukweli mtupu ndugu binti kiziwi .
CCM wana roho mbaya kama za shetani.
 
Umeelewa hata nilichoandika

Umeelezea vizuri kuna watu wamesafiri sana ila nashangaa hawajui vitu exposure bado zero licha ya kusafiri.
Sio kusafiri sana kujua vitu inatakiwa pia mtu mwenyewe awe na uwezo wa kung'amua mambo mimi nina bwana mdogo yupo USA alitoka moja kwa moja Tanzania exposure yake mambo ya safari ni sifuri ila yupo mwingine yeye alipapambana mwenyewe kufika Hong Kong na Uraia wamempa huko huyo ni kichwa anajua mambo mengi kuhusu safari...watoto wengi wanaoondoka moja kwa moja kutokea daslm wanakua zero hata wakae wapi utabaki kubishana nao tu humu ndio maana mimi muda mwingine nabaki kusoma bila hata ku comment chochote yaani msafiri hajui kuwa Passpprt ni mali yake...
 
Sijaelewa kabisa!

Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.

Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?

Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?

Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?

Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Hakuibiwa huyu zwazwa, passport kaichana mwenyewe kwa hasira zake. Anataka tu aonewe huruma.
 
Back
Top Bottom