Biashara ya kutembeza maandazi. Kilo 1 ya maandazi unapata faida 2000 yanatoka maandazi 40 unauza sh 100 kila andazi. Tafuta vijana 10 kila kijana mpe maandazi 120 yaani kilo 3.
Hapo akiuza yote itapatikana faida ya 6000 utampa 3000 na 3000 yako. Imagine una vijana 10 tayari una 30000 kwa siku unampita hata aliyeajiriwa ofisini na 300k zao kwa mwezi 1
Akili kichwani mwako kama utataka wazo lengine usijali kuja PM
Maandazi unayajua wewe?
Kuna mama hapa mtaani anapika anakandia na Nazi,mazuriiiii na matamuuuuuu na lainiiiiii lakini yanabaki.vyuma vumekaza watu wanakunywa gahawa ya sh 100/ asubuhi wanaenda mihangaikoni,wacha Mambo ndugu.