Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI

Statistics zaonyesha hivi

Screenshot_20230915-131819~2.png
 
Biashara kichaa hiyo.
Boda wenyewe hawa wanaokufa kama nzi au utaziendesha mwenyewe.
I hope unatania .
Kuna mstaafu alifanya upumbavu huo, najua huko aliko ashachanganyikiwa. Ngoja nimtafute niwape mrejesho
Mimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni

Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza

Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
 
Back
Top Bottom