Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
HahahaKabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaKabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
Ulevi wa betting ni zaidi ya ulevi wa konyagiKabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
Anza na 2 Kwanza mwanangunichukue mkopo nianze hata na kumi sio mbaya, au unasemaje tajiri yangu, sitoboi?
🤣🤣🤣🤣Afya ya akili Ina wachota wengi kwani we uko perfectMe nadhani uko na Afya ya akili,
Acha niongee na watu timamu
Nakuunga mkono kwenye hili mkuuMimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni
Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza
Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
Lakini hii hesabu inavutiaMimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni
Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza
Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
Nawe uko na bodaboda mtaani??Nakuunga mkono kwenye hili mkuu
Je, huyo mtu anayekusuddiwa hapa; Wakati huo ameuza nyumba, anaishi wapi? Je, huyo mtu ana familia?Watu wanauza nyumba choka za udongo Kwa milion 30 itakuwa wewe mwenye ya cement?
In real life inavuta kweli kweli sio uongoLakini hii hesabu inavutia
View attachment 2749917
hahahPambana na kausha dam lazima utoboe chief
Wewe Una milion ngap sahivi hapo tuone umemeza makamasi mangap🚶🚶🚶Je, huyo mtu anayekusuddiwa hapa; Wakati huo ameuza nyumba, anaishi wapi? Je, huyo mtu ana familia?
Inawezekana mi ndio sijafahamu huenda fedha ya Tz imeshuka thamani, kwahiyo kupata milion 100 ni kama kumeza tu mate!
Nimeanza na moja mkuu naangalia upepo niongeze ya piliNawe uko na bodaboda mtaani??
Ngap??
Mwezi wa ngap huu sasa Tajiri??Nimeanza na moja mkuu naangalia upepo niongeze ya pili
Wa piliMwezi wa ngap huu sasa Tajiri??
Tangu uiweke mtaani
Biashara huwa na changamoto mbalimbali.Kwenye Boda 100 hukosi madereva wavuta bangi,gereji na usumbufu wa kulipwa.NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Mpaka sasa ushakusanya kama laki 6 sio??Wa pili
Unakonda uku unakunja yine taratibu chief 🤣hahah
hapo umenena tajiri!Anza na 2 Kwanza mwanangu
10 nyingi Sana
Miezi 6 wakikuletea hela Kila siku elfu 10 Kwa miezi 6, hapo uongeze 2 tena
Tajiri KAJIPANGE bwanaBiashara huwa na changamoto mbalimbali.Kwenye Boda 100 hukosi madereva wavuta bangi,gereji na usumbufu wa kulipwa.
Kweli matatizo ya akili hayataisha!Wewe Una milion ngap sahivi hapo tuone umemeza makamasi mangap🚶🚶🚶