Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Mimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni

Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza

Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
Lakini hii hesabu inavutia
Screenshot_20230915-131819_2.png
 
Je, huyo mtu anayekusuddiwa hapa; Wakati huo ameuza nyumba, anaishi wapi? Je, huyo mtu ana familia?
Inawezekana mi ndio sijafahamu huenda fedha ya Tz imeshuka thamani, kwahiyo kupata milion 100 ni kama kumeza tu mate!
Wewe Una milion ngap sahivi hapo tuone umemeza makamasi mangap🚶🚶🚶
 
T
Biashara huwa na changamoto mbalimbali.Kwenye Boda 100 hukosi madereva wavuta bangi,gereji na usumbufu wa kulipwa.
Tajiri KAJIPANGE bwana
Tumia serikali ya mtaa kupata hela zako kihalali usiwape wavuta bangi
 
Back
Top Bottom