Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Ninazo tatu. Sifanyi kama serious business. Ila mtaa ninaokaa madogo wananikubali.
Mara nyingi wananiomba niwapige tag kuwanunulia boxer. Ya tatu nilinunua last month 2,760,000 wote wanaleta hesabu per day 12,000. Si siku zote wataleta. Ikitokea wakimiss either wata clear the following day ama utawaongezea kwenye muda wa kumaliza mkataba.
All in all ina grease maisha. Yanakua smooth.
Muda mwingine nashawishika niingie full ki business, ninunue za kutosha.
Ila moyo unasita.
NB. Nafanya selection ya hali ya juu mpaka nifikie maamuzi ya kumnunulia mtu.
Sihusiki katika kupokea maokoto. Nimemuachia shemeji yenu na amefurahia. Anatamani ziwe hata kumi ili maokoto yaongezeke.
Sijafunga GPS wala nini, nalindwa tu kwa nguvu za Mungu.
Hata likitokea la kutokea nitaamini ni changamoto za biashara.
 
Ninazo tatu. Sifanyi kama serious business. Ila mtaa ninaokaa madogo wananikubali.
Mara nyingi wananiomba niwapige tag kuwanunulia boxer. Ya tatu nilinunua last month 2,760,000 wote wanaleta hesabu per day 12,000. Si siku zote wataleta. Ikitokea wakimiss either wata clear the following day ama utawaongezea kwenye muda wa kumaliza mkataba.
All in all ina grease maisha. Yanakua smooth.
Muda mwingine nashawishika niingie full ki business, ninunue za kutosha.
Ila moyo unasita.
NB. Nafanya selection ya hali ya juu mpaka nifikie maamuzi ya kumnunulia mtu.
Sihusiki katika kupokea maokoto. Nimemuachia shemeji yenu na amefurahia. Anatamani ziwe hata kumi ili maokoto yaongezeke.
Sijafunga GPS wala nini, nalindwa tu kwa nguvu za Mungu.
Hata likitokea la kutokea nitaamini ni changamoto za biashara.
Hongera Sana mwamba
Msalimie shem
 
Back
Top Bottom