Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Hesabu ya piki piki ni elf 5,6 au 7 and not more
Sikubaliani na mleta mada juu ya wazo lake la kibishara, lakini hesabu ya pikipiki haiwezi kuwa chini kiasi hicho unless awe kijijini kabisa huko.


Kwenye mji wowote uliochangamka, (5,6,7) ni hela inayoingia baada ya route 2 hadi 3 za kawaida kabisa.
 
Hiyo biashara kuna jamaa kafanikiwa kwa kiasi fulani but inabidi uwee katili kweli kusimamia hiyo biashara na kingine yeye bajaji zake zote zinapita route moja so it means anaziona zote muda zinafanya kazi na kulaza zinalala nyumbani kwake zotee jamaa hacheki kabisa na vijana
 
Mimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni

Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza

Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
Hello naomba kuona sample ya mkataba unaowapa
 
Hiyo biashara kuna jamaa kafanikiwa kwa kiasi fulani but inabidi uwee katili kweli kusimamia hiyo biashara na kingine yeye bajaji zake zote zinapita route moja so it means anaziona zote muda zinafanya kazi na kulaza zinalala nyumbani kwake zotee jamaa hacheki kabisa na vijana
kabisa
 
Wataalamu tujuzane wapi huko pikipiki mpya 2000,000. Mi natambua si chini ya 2.7 M. KWA mwaka huambulii kitu, Na pikipiki baada ya mkataba hazi zako tena. Huwezi wekeza Milioni 2.7 kuingiza elf3500 kwa siku. Hata muuza matikiti mwenye mtaji wa elf20 anakuzidi..

_Piga hesabu maokoto elf10 kwa siku x mwaka 365 = 3,650,000/=
_Toa 3,650,000 - Pesa ya mtaji uliyonunulia boda mpya labda 2,600,000.. unapata faida isiyopungua 1.2M kwa mwaka kwa pikipiki1 utatoa bima, TRA na mengineyo . .Tuwekee laki2 tu japo inazidi. Itabaki 1M

_1M gawanya kwa siku 365 upata sh ngapi hapo faida kwa siku?
_2700/= faida kwa siku
Kituko!


Labda kama unatania Money Penny
sio kweli umepigia uongo
 
Yani unawekeza 2.7 millions kwenye boda af kwa siku unapata 10k tshs hiyo ni biashara ya mtu mvivu wa kufikiria! 2.7m inabid kwa siku ikupe atleast 30k net profit✌️
anakuletea elfu 10 kwa siku humlipi mshahara anajilipa mwenyewe kwenye maokoto yake
 
Back
Top Bottom