Cr wa familia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 1,064
- 1,442
Kujifariji ni kwingi sana 😀 anyways tuendelee one day Mungu atatufunulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Boda boda gani inayouzwa milion 2?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Milungi + mishisha + mibangi = selemaniNI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Sikubaliani na mleta mada juu ya wazo lake la kibishara, lakini hesabu ya pikipiki haiwezi kuwa chini kiasi hicho unless awe kijijini kabisa huko.Hesabu ya piki piki ni elf 5,6 au 7 and not more
Hello naomba kuona sample ya mkataba unaowapaMimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheni
Shida nyie mnawapa bodaboda watu hamjaandikishana serikalini, hao mabodaboda hawana ma referee 3 just incase wakikimbia au kuuza
Jipange bro utakula hela kilaini mjini hapa
kabisaHiyo biashara kuna jamaa kafanikiwa kwa kiasi fulani but inabidi uwee katili kweli kusimamia hiyo biashara na kingine yeye bajaji zake zote zinapita route moja so it means anaziona zote muda zinafanya kazi na kulaza zinalala nyumbani kwake zotee jamaa hacheki kabisa na vijana
boxaBoda boda gani inayouzwa milion 2?
mbona wanaleta sana tunan alete 10k na bado pikpik iwe yako
duKujifariji ni kwingi sana 😀 anyways tuendelee one day Mungu atatufunulia
sio kweli umepigia uongoWataalamu tujuzane wapi huko pikipiki mpya 2000,000. Mi natambua si chini ya 2.7 M. KWA mwaka huambulii kitu, Na pikipiki baada ya mkataba hazi zako tena. Huwezi wekeza Milioni 2.7 kuingiza elf3500 kwa siku. Hata muuza matikiti mwenye mtaji wa elf20 anakuzidi..
_Piga hesabu maokoto elf10 kwa siku x mwaka 365 = 3,650,000/=
_Toa 3,650,000 - Pesa ya mtaji uliyonunulia boda mpya labda 2,600,000.. unapata faida isiyopungua 1.2M kwa mwaka kwa pikipiki1 utatoa bima, TRA na mengineyo . .Tuwekee laki2 tu japo inazidi. Itabaki 1M
_1M gawanya kwa siku 365 upata sh ngapi hapo faida kwa siku?
_2700/= faida kwa siku
Kituko!
Labda kama unatania Money Penny
anakuletea elfu 10 kwa siku humlipi mshahara anajilipa mwenyewe kwenye maokoto yakeYani unawekeza 2.7 millions kwenye boda af kwa siku unapata 10k tshs hiyo ni biashara ya mtu mvivu wa kufikiria! 2.7m inabid kwa siku ikupe atleast 30k net profit✌️
usafirishaji wa mafuta au mizigo au abiria?Ni sawa na biashara za usafirishaji kwenye mabasi; lakini tujiulize kwa nini hizo kampuni huwa zinakufa ingawa huwa zinaingiza hela?
bandi ndio imekuleta hapaBangi sio nzuri!
HAHAHAHAH, we tomasoMkishafanikiwa kusolve hesabu za logarithms ndo mnakuja kutupa stress huku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
zimekuvutia mopaka ukajaHesabu za kwenye makaratasi.
hapa hapa nchi yetu pendwaYani boda aendeshe pikpik mwaka alafu uje uiuze wewe biashara ya nchi gani hii?