Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 7,841
- 17,491
hakika hawakukosea kuita nyonya damu.Unakonda uku unakunja yine taratibu chief š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hakika hawakukosea kuita nyonya damu.Unakonda uku unakunja yine taratibu chief š¤£
Tajiri unapenda Sana biasharahapo umenena tajiri!
Kwani kupanga si kuchagua mKweli matatizo ya akili hayataisha!
Kwahiyo wewe unamiliki nyumba ya millionin100 na hauna bishara ya kukuingizia kipato cha ziada hadi uwaze kuuza nyumba ununue bodaboda?
NI vile hata bando umekopaKweli matatizo ya akili hayataisha!
Kwahiyo wewe unamiliki nyumba ya millionin100 na hauna bishara ya kukuingizia kipato cha ziada hadi uwaze kuuza nyumba ununue bodaboda?
Tajiri nakuomba mwaya, usijibishane na watu wako na Afya ya akiliKwani kupanga si kuchagua m
kuu., shida iko wapi hapo?
Raha ya hiyo kausha dam bhn unapokea unaenda kujipongeza kwanza Kisha ndio uanze kuwaza jinsi utaweka mkakatiš¤£š¤£hakika hawakukosea kuita nyonya damu.
Jesus ChristšššRaha ya hiyo kausha dam bhn unapokea unaenda kujipongeza kwanza Kisha ndio uanze kuwaza jinsi utaweka mkakatiš¤£š¤£
Baada ya kutoka ground ndio tukaandika broHiyo ni kwenye makaratasi, njoo kwa ground sasaš
Weeeeeeh lazima nikose wewe pesa mbele kuliko kingine ntakua napeleka rejesho bhnš¤£Jesus Christššš
Jumamosi NIko na hadithi ya kausha damu
YouTube na jamii forum
Usikose
Alafu mbona sielewi boss kule inbox ile conversion kila nikijaribu kuufungua kwangu inagoma inaandika connecting kwa muda mrefu shida sijajua ni nini? unisamehe tu boss wangu wito niliuona.Tajiri unapenda Sana biashara
Ila nikikuita chemba kwenye madini ya pesa unataka kutolewa
Mungu, anakuoooona
Huu no utajiri wa kwenye makaratasi,ingia field sasa ndio utajua kuwa hujui...NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Hapo kabla nilidhani wanajf wote ni great thinker, kumbe kuna baadhi ni wagonjwa wa akili na wanahitaji tiba!NI vile hata bando umekopa
Basi nitakujibu ukiwa serious na maisha
Kwa sasa kajipange
hahahTajiri nakuomba mwaya, usijibishane na watu wako na Afya ya akili
Oya hizi field zinaponipeleka roho itanitoka š¤£Utajiri wa kwenye makaratasi,ingia field sasa ndio utajua kuwa hujui...
Hio nyumba unayoiuza inakua wapi?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
mi nadhani we mkuu ndio utakuwa na shida ya afya ya akili mtu kaweka mawazo yake na kitu anachodhani kinamlipa wewe umekuja nduki na kushambulia ma kuleta mipango yako, kwani hujui kimfaacho mtu chake akauza nyumba na kununua boda boda na wewe ukaendelea zako na kilimo chako kuna shida?Hapo kabla nilidhani wanajf wote ni great thinker, kumbe kuna baadhi ni wagonjwa wa akili na wanahitaji tiba!
Badala ya kujibu hoja unatoa lugha ya dharau! Una shida upstairs!
Sasa ngoja nikupe mchongo wa maana, nunua shamba eka moja rsh m.2, panda miche ya passion 100!
Kwa mwezi utapata tsh 30000 kwa kila mche mara miche 100=3,000,000 kwa mwezi wakati huo unaishi kwako na huitaji stress za marejesho View attachment 2749930