Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NI sheedahunamawazo chanya ila hawa wagalatia wapuuzi sana wao watahisi unawataka😄
Wewe ya kwako umeuza?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
AbeeeA penny of money.
-Kaveli-
NdioWewe ya kwako umeuza?
Minimum unaletewa elfu 10Ngoja kwanza Penny,
Boda kuzinunua; 2 x 2,700,000 = 5,400,000
Marejesho ya siku kwa miezi sita, boda mbili; 10,000 x 30 x 6 x 2 = 3,600,000.
Yaani kwa miezi sita hizo boda mbili hazina ubavu wa kununua zingine mbili, hapo tunaweka consideration kwamba hiyo hela haiguswi, haicheleweshwi wala hakuna dharura.
Biashara ya kuwapa mkataba watu bodaboda ni upotevu wa pesa tu.
Unayoishi weweHiyo ni nchi gani unazungumzia hivyo?
Hata kama Una ya 30Swali muhimu sana
Huku hakuna boda boda.Unayoishi wewe
Abeee
Usisahau Ku subscribe
Wewe tangu umenunua gari umeweka pembeni pesa ngapi za ajali na traffic??Za trafic mbona ujaweka😂 ajali na Garama za repair baada ya ajali??
Na still bado Unapenda nyuzi zangu haukosi kwenye commentNini kusubscribe! hata kuzifungua tu PMs zako sitaki n' I will never do that. 😎
-Kaveli-
Afya ya akili NI niniUnamjua Bwana Alinacha ? Ali Nacha ; na Ndoto zake ? Tafuta kisa chake;
In short ukitaka kufanya jambo assume the worse ? Yaani badala ya kuorodhesha mazuri orodhesha mabaya; Kama vile kuibiwa, kupata ajali, kudhulumiwa n.k.
🤣🤣🤣🙌Kabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
Wahuni NI sheedah saana🤣🤣🤣🙌
Noma mtu wangu wangu wa nguvu wahuni sio watu poaWahuni NI sheedah saana
AiseeHuku hakuna boda boda.
BalaaNoma mtu wangu wangu wa nguvu wahuni sio watu poa