Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #121
HahahaIpo mkuu kuna honda isiyo ya starter inauzwa 1.7m kwenye hiyo 2m unabaki na chenchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaIpo mkuu kuna honda isiyo ya starter inauzwa 1.7m kwenye hiyo 2m unabaki na chenchi
NI Sawa Tu kwani we umeingiza ngapHalafu hiyo elfu 10 kwa siku Ni mkataba ambao akimaliza piki piki inakuwa sio yako Tena Kama Ni Hamsini zote wakimaliza mkataba unabaki na piki piki sifuri unabaki na hela.
Ndio nachofanyaKazi ya boda boda na bajaji ukitaka usiumize kichwa sana,japo changamoto zipo toa kwa mkataba,utakuwa na kazi ya kupokea hela na kuweka rekodi na kukimbizana na wavivu wanaochelewa kuleta hela,Kuna jamaa Ana maisha mazuri kupitia mikataba ya boda na bajaji...kwa Sasa anaweza kuwa na boda 100 na bajaji Kama 50...kila siku anakusanya pesa.
Hio ya kuhadithiwa mkiwa mmekaa ofisini kwenye a/cHesabu ya piki piki ni elf 5,6 au 7 and not more
Akajipange tenaBiashara ya bodaboda ilimfilisi GENTAMYCINE alikopa bodaboda mbili kwa mshahara wake wa ualimu zote zikapiga mzinga bunda mjini na hakuwa na insurance ya kueleweka
Hela ya bodaboda amekosa na benki kila mwezi WANAMKATA GENTAMYCINE
Biashara yoyote ni nzuri ukiwa anasimuliwa.
Alikurupuka alifikiri biashara ni sawa na.kuanzisha Uzi hapa jfAkajipange tena
Hahahahaha, jaman pole GENTAMYCIMEAl
Alikurupuka alifikiri biashara ni sawa na.kuanzisha Uzi hapa jf
Madereva wa Boda Boda wengi wao awana akili ! So lazima njiani wasababishe ajali kwa wengine na wao pia hili haliepukikiWewe tangu umenunua gari umeweka pembeni pesa ngapi za ajali na traffic??
Kwanini ununue kitu uanze kuwaza mabaya mbeleni??
Asilimia nyingi Kwa sasa waendesha bodaboda wanajielewaMadereva wa Boda Boda wengi wao awana akili ! So lazima njiani wasababishe ajali kwa wengine na wao pia hili haliepukiki
Hao watu wazima kuleta rejesho ni shughuli nyingine maana unakuta wanamajukumu makubwaAsilimia nyingi Kwa sasa waendesha bodaboda wanajielewa
Kuna watu wazima wanaendesha bodaboda hawajui ajali NI nini
Mwulize bodaboda yeyote Kwa siku wanapata zaidi ya elfu 50Hao watu wazima kuleta rejesho ni shughuli nyingine maana unakuta wanamajukumu makubwa
Acha kuingiza watu chaka Penny, ukinunua boda ni vile unataka kumsaidia mtu na wewe upate kidogo ya chakula home.Minimum unaletewa elfu 10
Unaweza ukaagizi elfu 15 Kwa siku vile vile
Jaman boda msinunue bongo agizeni ipitie zenji
Hiyo ni RISK ALL STRATERGYHahahaah, waoga hawawi matajiri
Amka ndotoni mkuu usije jikojolea Bure!!?NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Akili za Boda boda wote ni kama madereva wa daladala ,matatu au Taxi kule South Africa awe kijana au mzeeAsilimia nyingi Kwa sasa waendesha bodaboda wanajielewa
Kuna watu wazima wanaendesha bodaboda hawajui ajali NI nini
Kwangu haifunguki naomba unitumie wasapNI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912