Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
Ni Hakika & kweli kabisa Mkuu.kina hati?
kamandio tuwasiliane inbox
Nakuja inbox
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Hakika & kweli kabisa Mkuu.kina hati?
kamandio tuwasiliane inbox
Uza nyumba kanunue hayo mapiki piki alaf ulete mrejesho hapaNDio maana amepiga asilimia 10 ya dharura soma tena uzi
Biashara ya pikipiki ni Muhimu uifanye kwa Mkataba.HiO biashara ya boda Sio realistic kwa Sasa.labda zamani.
Pana mtu alikua na bodaboda 300 enzi zile
HAIYAAANi Hakika & kweli kabisa Mkuu.
Nakuja inbox
nishauza na nina mabodaUza nyumba kanunue hayo mapiki piki alaf ulete mrejesho hapa
kweli kabisaBiashara ya pikipiki ni Muhimu uifanye kwa Mkataba.
Bila Mkataba, Pikipiki haimalizi Mwaka inabadilishwa jina na kuitwa FUPA au SKREPA.
Mimi nimewapa Raia pikipiki zangu Mbili aina ya Boxer ambazo nilizinunua kwa 6M zote 2.
Nimezifunga GPS Tracking Systeam kwa laki 1.5 kila moja.
Mkataba ni Miezi 18. kila mmoja kwa wiki anaingiza Benk Tsh. 70,000/=
Biashara naifanyia Dodoma. Sijawahi kuthubutu kuwauliza wapo eneo gani. Hata wakitoka nje ya mji, mimi huwa napiga kimya tu.
Sijawakatia Bima wala Sumatra. zikikamatwa, tunamalizana juu kwa juu Na Maisha yanasonga.
Bado ujanishawishi badoNDio maana amepiga asilimia 10 ya dharura soma tena uzi
Sihitaji maana watu washakuja Ku testify hapa kuwa NI kweliBado ujanishawishi bado
Hata ukianza na moja bado unatebgeneza faida
Umenikumbusha miaka ya 1990-95 pale Usa-river Arusha alikuwepo mgiriki anaitwa Sotiriades (maarufu kama Sotire) alikuwa na garage yake ya magari wanatengeneza, wanachomelea na rangi za magari wanapaka, by then alikuwa Mzee, akaja mgiriki pori akamshawishi abadilishe mashine zake za garage apewe coaster la kwenda route ya Arusha- Usa- Maji ya chai na Kikatiti, Mzee wa watu akajichanganya like gari lilidumu hardly 3 weeks baada ya hapo Mungu mwenyewe ndiye anayejua. Nilikuwa shule ya msingi lakini nilimuonea huruma, alikuwa mtu mwema sana, nakumbuka niliwahi kudondoka na baiskeli magoti yakajaa vidonda, aliniita akanipa mafuta ya Simba niwe napaka, vidonda havikukawia kukauka na kupona kabisa.Kuna mpumbavu hapa nchi jirani alishauriwa na wakwe zake aache kazi aliyokuwa anafanya kwenye shirika la umeme na kuchukua pesa zake zote ili afanye biashara kwasababu ajira ni utumwa. Baada ya kuacha hao wakwe zake ambao ni matajiri wa biashara ya daladala na mabasi wakamuuzia coaster mbovu. Mshkaji kwa sasa ni kama mtu aliyechanganyikiwa. Ana coaster mbili zote spana mkononi. Yaani anajuta kupokea ushauri wa wakwe zake.
JAMANI NYIE NA STORI ZENU MNANITIA UCHUNGU UJUE!Umenikumbusha miaka ya 1990-95 pale Usa-river Arusha alikuwepo mgiriki anaitwa Sotiriades (maarufu kama Sotire) alikuwa na garage yake ya magari wanatengeneza, wanachomelea na rangi za magari wanapaka, by then alikuwa Mzee, akaja mgiriki pori akamshawishi abadilishe mashine zake za garage apewe coaster la kwenda route ya Arusha- Usa- Maji ya chai na Kikatiti, Mzee wa watu akajichanganya like gari lilidumu hardly 3 weeks baada ya hapo Mungu mwenyewe ndiye anayejua. Nilikuwa shule ya msingi lakini nilimuonea huruma, alikuwa mtu mwema sana, nakumbuka niliwahi kudondoka na baiskeli magoti yakajaa vidonda, aliniita akanipa mafuta ya Simba niwe napaka, vidonda havikukawia kukauka na kupona kabisa.
uuuwi jaman pole kwakeKuna mpumbavu hapa nchi jirani alishauriwa na wakwe zake aache kazi aliyokuwa anafanya kwenye shirika la umeme na kuchukua pesa zake zote ili afanye biashara kwasababu ajira ni utumwa. Baada ya kuacha hao wakwe zake ambao ni matajiri wa biashara ya daladala na mabasi wakamuuzia coaster mbovu. Mshkaji kwa sasa ni kama mtu aliyechanganyikiwa. Ana coaster mbili zote spana mkononi. Yaani anajuta kupokea ushauri wa wakwe zake.
sio hivyo tuAcha kuingiza watu chaka Penny, ukinunua boda ni vile unataka kumsaidia mtu na wewe upate kidogo ya chakula home.
basi endelea kukaa kwenye a/c na kusubiria mwisho wa mweziHiyo ni RISK ALL STRATERGY
mimi na support INVEST WHAT YOUR WILLING TO LOOSE
hizo ni stratergy mbili tofauti kabisa
Ni kweli kabisa. ukianza na 1, then utajikuta utajikuta unanunua pikipik nyingine kabla mkataba wa pikpiki ya kwanza haujafika ukingoni. Ni ndani ya miezi 10 tu.Hata ukianza na moja bado unatebgeneza faida
aminaaaaNi kweli kabisa. ukianza na 1, then utajikuta utajikuta unanunua pikipik nyingine kabla mkataba wa pikpiki ya kwanza haujafika ukingoni. Ni ndani ya miezi 10 tu.
Hio picha ukiwa unakula bata ni wewe?nichukue mkopo nianze hata na kumi sio mbaya, au unasemaje tajiri yangu, sitoboi?
Ndio bossHio picha ukiwa unakula bata ni wewe?
kama unajimudu anza na pikipiki 4 tu.Hio picha ukiwa unakula bata ni wewe?