Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Pata milioni 15 kwa mwezi kwa biashara ya bodaboda

Money Penny miaka kama 10 nyuma nilikuwa naishi nje ya Tanzania nilipokuja Tanzania, vijana wa kijijini kwetu wakanishikilia nifanye nao biashara ya bodaboda. Nikaenda Kariakoo nikaulizia bei, nikaona ubwete na yule mwenye duka akanambia ukilipia 30% zingine utalipa kidogo kidogo kama unachukuwa kuanzia 10.


Nikaona isiwe tabu, nikalipia 50% nikamwambia watakuja vijana kuchaguwa rangi na options wanazotaka. Nikanunuwa.

Wiki tatu za kwanza mambo yameenda vizuri kabisa. Nikaona hii ndiyo biashara, wiki ya nne, wawili hawakuleta pesa, mara mmoja ananipigia simu ananambia katekwa na majambazi, boda imekwenda, namuuliza, umeenda polisi? ananambia bado. Nikamwambia nenda polisi, hakwenda, nikaenda mwenyewe, kijana katoroka, kwao hayupo. Polisi akanambia huyo mjinga tunampata, wakaingia kazini siku mbili tu, boda ikapatikana na kijana akapatikana.

Polisi wakanambia hii kazi wazimu, nikasimamisha zile mbili ambazo hawajaleta pesa na ile ya tatu iliyorudi.

Nyingine zote nikamkabidhi mtu azisimamie. nilichoambulia ni kurudisha pesa za mtaji tu. Tena kwa kuwa huyo mtu niliyemwachia ni "mwaminifu". Nilipoona pesa zimerudi, nikampa yeye mbili, nikawacha nyumbani kijijini pale mbili, zingine nikawa naziuza kidogo kidogo mpaka zikaisha. Zile mbili zangu mpaka leo zipo, zinafanya kazi ndogo ndogo za pale pale nyumbani tu.

Kwa ufupi, hiyo ni biashara nzuri lakini inataka usimamizi wa karibu sana, saa zote 24/7.


Kama mtu hawezi kuzisimamia kwa ukaribu namshauri afanye biashara zingine.
Jamaan boss pole Sana jamaan
Kwa KIJIJINI NI ngumu tena hongera hata umeipata bodaboda yako wengine wanaangalia kwenye car trak inavyoibiwa toka Dar mpaka Moro mpaka Mbeya

Ila Kwa Sisi WA mjini boss, akipiga round kariakoo temeke au mbagala utafurahi mwenyewe
 
Ujajumlisha changamoto mfano
Kuibiwa,sound,kukosa wateja ushindani,faini.Hizi business plan wadanganye wastaafu Hela zao hazina kazi
 
Jamaan boss pole Sana jamaan
Kwa KIJIJINI NI ngumu tena hongera hata umeipata bodaboda yako wengine wanaangalia kwenye car trak inavyoibiwa toka Dar mpaka Moro mpaka Mbeya

Ila Kwa Sisi WA mjini boss, akipiga round kariakoo temeke au mbagala utafurahi mwenyewe
AlhamduliLlah.
 
Ujajumlisha changamoto mfano
Kuibiwa,sound,kukosa wateja ushindani,faini.Hizi business plan wadanganye wastaafu Hela zao hazina kazi
biashara zoooooote duniani zinaibiwa, ukiogopa kuibiwa we sio mfanya biashara
 
Jamani wadau, Nunueni Kiwanja changu Tafadhari.
Mimi Nauza Kiwanja changu mwenyewe JIJINI ARUSHA Kwa Bei Rahisi kabisa ya TSH 7.5 MIL tu.
Kina ukubwa wa 520 SQM.
Kipo Engosheraton kata ya Sinoni. jirani na Shule ya Sekondari ya Misheni ya Edmund Rice.
Kutokea Mjini kati pale CLOCK TOWER hadi ENGOSHERATON NI KM 7. Na kutoa Stand ya daladala ya Engo hadi kiwanja kilipo ni Mita 400.
Kiwanja kimezungukwa na Huduma zote za kijamii.
Wasiliana nami kwa 0744718928. karibuni sana.

Attachments​

  • IMG_20230128_071604_004.jpg
    IMG_20230128_071604_004.jpg
    4.4 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_072911_714.jpg
    IMG_20230128_072911_714.jpg
    3.1 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_074153_658.jpg
    IMG_20230128_074153_658.jpg
    7.2 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_082648_975.jpg
 
Hizo ni hesabu za mezani sio mazingira halisi

Ukiwa boda boda kuna changamoto za kazi mfano piki piki zikapata hitilafu,tahadhari n.k PESA itatobika hapo sasa haitakuwa simple kupata unachokisema ....
NDio maana amepiga asilimia 10 ya dharura soma tena uzi
 
Jamani wadau, Nunueni Kiwanja changu Tafadhari.
Mimi Nauza Kiwanja changu mwenyewe JIJINI ARUSHA Kwa Bei Rahisi kabisa ya TSH 7.5 MIL tu.
Kina ukubwa wa 520 SQM.
Kipo Engosheraton kata ya Sinoni. jirani na Shule ya Sekondari ya Misheni ya Edmund Rice.
Kutokea Mjini kati pale CLOCK TOWER hadi ENGOSHERATON NI KM 7. Na kutoa Stand ya daladala ya Engo hadi kiwanja kilipo ni Mita 400.
Kiwanja kimezungukwa na Huduma zote za kijamii.
Wasiliana nami kwa 0744718928. karibuni sana.

Attachments​

  • IMG_20230128_071604_004.jpg
    IMG_20230128_071604_004.jpg
    4.4 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_072911_714.jpg
    IMG_20230128_072911_714.jpg
    3.1 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_074153_658.jpg
    IMG_20230128_074153_658.jpg
    7.2 MB · Views: 1
  • IMG_20230128_082648_975.jpg
kina hati?
kamandio tuwasiliane inbox
 
Back
Top Bottom