Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
Unazo bodaboda ngapEeeh niwe tajiri sasa.
Una bodaboda au umekaa Kwa a/cAcha bangi bi dada
Wahakikishe Wana bodaboda inayozunguka mtaani sio wakaa kwenye a/cMkuu mimi sitakuchamba watakuja wenzangu hapa wao ndiyo watakao kuchamba😄😄
Duh, kwa hamasa hii maisha yangekuwa rahisi sana.NI kweli
BIASHARA ya Bodaboda ukiifanya vizuri utapata Hadi milioni 15 KWA MWEZI
Statistics zaonyesha hivi
View attachment 2749912
Oya weeee haji mtu uko wenyewe kibao tuliamua kukata umande mapema🤣🤣
Watu wanauza nyumba choka za udongo Kwa milion 30 itakuwa wewe mwenye ya cement?Duh, kwa hamasa hii maisha yangekuwa rahisi sana.
Swali langu ni je, hiyo nyumba ya m.100 wangapi wanayo?
Wenzio walishafika mbona😂😂Oya weeee haji mtu uko wenyewe kibao tuliamua kukata umande mapema🤣🤣
Kumbe na wewe unabeti, duKabla hajanunua nyumba nyingine anatafuta odds zake 3 tu anaweka mkeka 196,000,000×3=600M
nichukue mkopo nianze hata na kumi sio mbaya, au unasemaje tajiri yangu, sitoboi?Unazo bodaboda ngap
Walifika kwa njia gani labda tuanzie apoWenzio walishafika mbona😂😂
Pambana na kausha dam lazima utoboe chiefnichukue mkopo nianze hata na kumi sio mbaya, au unasemaje tajiri yangu, sitoboi?
Mimi NIna bodaboda 10 mtaani na ni mstaafu WA Miaka 10 nakula pensheniBiashara kichaa hiyo.
Boda wenyewe hawa wanaokufa kama nzi au utaziendesha mwenyewe.
I hope unatania .
Kuna mstaafu alifanya upumbavu huo, najua huko aliko ashachanganyikiwa. Ngoja nimtafute niwape mrejesho
Me nadhani uko na Afya ya akili,Walifika kwa njia gani labda tuanzie apo