Pata namba zako zote za simu za zamani na ulizopoteza kupitia Facebook

Namna ya kuzihamisha ndiyo issue

l love you mamy.
 
Aisee, ni vizuri sana kwa kweli. Nilishawahi kupoteza namba ya dem hivi ila siku ya siku nikaingia cloud nikakuta hadi text zetu na yaliyoendelea hadi leo tangu 2016 yanafurahisha
 
Endapo ningejifanya najua pasipo kubonyeza next next nisingepata no ya kidem changu cha zaman..

Asante mkuu

Now, nishasamehewa japo hisia zimeanza kurudi tena


...
 
Tusiotumia Facebook tupambane na hali yetu tu
 
Mi nataka kurecover photos toka Facebook
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…