We kama mimi,ila nimepata na ya profesa mmoja hivi,na dili nimepata,pesa inaingia,[emoji23][emoji23][emoji119],sasa hawa michepuko bwana...wote wapo hewani...wakinipea sijui nitawezana!![emoji87][emoji87]Nimepata namba zote za watu wangu kuanzia na maadui, anadaiwa wangu, matapeli mpaka na namba za michepuko ambayo nilishaidelete kabisa kwenye akili yangu [emoji2960]
Angalia ambaye hajachokachokaWe kama mimi,ila nimepata na ya profesa mmoja hivi,na dili nimepata,pesa inaingia,[emoji23][emoji23][emoji119],sasa hawa michepuko bwana...wote wapo hewani...wakinipea sijui nitawezana!![emoji87][emoji87]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119], kweli aisee ....Angalia ambaye hajachokachoka
Sasa mtoa post unampa gawio, nkupe M-pesa namba? [emoji23]We kama mimi,ila nimepata na ya profesa mmoja hivi,na dili nimepata,pesa inaingia,[emoji23][emoji23][emoji119],sasa hawa michepuko bwana...wote wapo hewani...wakinipea sijui nitawezana!![emoji87][emoji87]
Sent using Jamii Forums mobile app
Usijali mkuu sitakuacha patupu,subiri...Sasa mtoa post unampa gawio, nkupe M-pesa namba? [emoji23]
Hahaaa noma kweli yaaniHawa facebook si wajinga hata kidogo hata kale kaujumbe kao ka ‘people you may know” usikapuuzie waweza kuta miongoni wa hao watu ndiyo wanao kugongea mke
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hahaaa ukapige mitiNimezipata kibao ila kuna kadem kangu sijakaona na ninakatafuta sana
Here's how to Sync facebook contacts to Android in a simple way:Ila nimeshindwa kuzirudsha kwenye contacts zangu nisaidie