INAUZWA Pata ramani nzuri na za kisasa Mwanza hata ukiwa mikoani tutakufanyia kazi yako

INAUZWA Pata ramani nzuri na za kisasa Mwanza hata ukiwa mikoani tutakufanyia kazi yako

Ramani iko wapi hapo??!

Hizo nyumba ndo kusema kwamba ramani mlichora nyie? Hamna hata ramani moja ya mfano muoneshe hapa ujuzi wenu....

Haya wanunuzibwa mbuzi guniani mnakaribishwa
 
Ramani iko wapi hapo??!

Hizo nyumba ndo kusema kwamba ramani mlichora nyie? Hamna hata ramani moja ya mfano muoneshe hapa ujuzi wenu....

Haya wanunuzibwa mbuzi guniani mnakaribishwa
Kaka hizo ni 3d kama unajua maswala ya ramani so ramani zake zipo karibu sana kiongozi
 
Chora nasi kwa gharama nafuu
IMG-20200731-WA0062.jpg
 
Zile za kule KATORO na GEITA nani huwa anawachorea?
 
Chora nasi kwa gharama nafuu
IMG-20200519-WA0019.jpg
IMG-20200519-WA0020.jpg
 

Attachments

  • IMG-20200519-WA0019.jpg
    IMG-20200519-WA0019.jpg
    58.1 KB · Views: 48
  • IMG-20200519-WA0020.jpg
    IMG-20200519-WA0020.jpg
    54.4 KB · Views: 55
Zamani nilikuwa najua kuwa anae chora ramani lazima ajue na kujenga. Mfano unaweza jua mleta mada ndo kajenga hizo nyumba nzuri alizotuwekea kumbe nae kazigoogle.

Hata hivyo ni mzuri sana
 
Back
Top Bottom