sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,540
- 865
- Thread starter
-
- #61
Mkuu maybe nilinukuu vibaya hii gharama yake inaenda 350m kama nilikujibu hivyo nimekosea kibinaadam naomba tusameheane karibu sana mkuuKaka kweli hi ndo ya million 65, acheni kulaghai watu, wata wagundua mapema uongo ukizidi
Hii@mulwanaka ndo tulisema 65m naona hukuona vizur mteja nyumba alio uliza shukran na karibu sanaPata ramani nzuri na za kisasa zaidi
Kwa wachoraji waliobobea katika maswala ya uchoraji ramani na ujenzi pia tutakupa ushauri kuhusu maswala ya ramani na ujenzi kwa ujumla
Mawasiliano :0678195114
Email: sirajimsilanga55@gmail.com
View attachment 1855279View attachment 1855281View attachment 1855282
Kaka hizo ni 3d kama unajua maswala ya ramani so ramani zake zipo karibu sana kiongoziRamani iko wapi hapo??!
Hizo nyumba ndo kusema kwamba ramani mlichora nyie? Hamna hata ramani moja ya mfano muoneshe hapa ujuzi wenu....
Haya wanunuzibwa mbuzi guniani mnakaribishwa
Ukihitaji tunakuchorea hata kama uko katoro au geita karibu sana bossZile za kule KATORO na GEITA nani huwa anawachorea?
Kwa haraka tu, hii kali
Karibu sana mkuuZamani nilikuwa najua kuwa anae chora ramani lazima ajue na kujenga. Mfano unaweza jua mleta mada ndo kajenga hizo nyumba nzuri alizotuwekea kumbe nae kazigoogle.
Hata hivyo ni mzuri sana
Karibu sana mkuuKwa haraka tu, hii kali