Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo

Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Pato la China la mtu mmoja mmoja ni USD 12,614 kwa mwaka.

Hiyo ni sawa na Tsh 32,333,075 kwa mwaka. Pato la mchina kwa mwezi ni Tsh 2,694,422.

Tunaweza kusema pato la asilimia kubwa la wachina kwa mtu mmoja mmoja ni Millioni 2.69 ambapo kila siku pato lake ni Tsh 89,814.

Ukipiga hesabu za mtumizi ya kila siku utagundua asilimia kubwa ya wachina wanaishi maisha ya kawaida sana.

Na ndio maana wanakuja huku Tanzania na kuanzisha biashara ndogondogo za kawaida kabisa.

Na mara nyingi pato la mtu mmoja mmoja (GDP per capital) linaweza kueleza maisha ya mtu wa kawaida kabisa katika nchi fulani.

Ngoja tuangalie katika nchi yetu:

Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Hiyo inamaana kwamba pato la mtanzania wa kawaida kwa mwezi ni Tsh 258,676.

Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wa kawaida wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi na hayo ndio maisha yao.

Hiyo inaama gani, kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.
 
Pia wanamiminika Tanzania kuanzisha viwanda kwa fujo. Vitu ambavyo hata sisi watanzania tunaweza kuagiza mashine china tukafanya.

Binafsi nilifanya utafiti kwanini watanzania hatuna viwanda hata vidogovidogo vya kuzalisha. Nikagundua chanzo cha matatizo ni bei ya viwanja vya kujengea kiwanda. Serikali ipunguze bei ya viwanja vya kujengea kiwanda kidogo masuala ya kuuza sqm kwa 10000 au 30000 ni UJINGA sana.
Mfano halisi ni bei ya viwanja vya kujengea kiwanda huko Kibaha. Bei iko juu, hapo si kutiana nuksi, si afadhali mtunyonge, 30,000 kwa square meter 1 🤣
viwanja-pangani-2.jpeg


Screenshot_20250204-191417~2.png



Huu ni UJINGA 🤣
 
wabongo bwana ,mtu hajui hata pato la nchi yake analeta mahesabu ya china
Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Pato la mtanzania kwa mwezi ni Tsh 258,676.
Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi.
Hiyo inaama gani kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.
 
Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Pato la mtanzania kwa mwezi ni Tsh 258,676.
Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi.
Hiyo inaama gani kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.

Kwa hiyo ukilinganisha China na sisi, wachina wanaisha maisha ya kawaida tu
 
Kwa hiyo ukilinganisha China na sisi, wachina wanaisha maisha ya kawaida tu
Ndio maana wanakuja kuwekeza kwenye biashara ndogondogo. Kinachopima uwezo wa mtu kupata mtaji wa kuwekeza ni pato lake la kila siku. Mtu mwenye pato dogo lazima atawekeza kwenye biashara ndogondogo.
 
Pato la China la mtu mmoja mmoja ni USD 12,614 kwa mwaka.

Hiyo ni sawa na Tsh 32,333,075 kwa mwaka. Pato la mchina kwa mwezi ni Tsh 2,694,422.

Tunaweza kusema pato la asilimia kubwa la wachina kwa mtu mmoja mmoja ni Millioni 2.69 ambapo kila siku pato lake ni Tsh 89,814.

Ukipiga hesabu za mtumizi ya kila siku utagundua asilimia kubwa ya wachina wanaishi maisha ya kawaida sana.

Na ndio maana wanakuja huku Tanzania na kuanzisha biashara ndogondogo za kawaida kabisa.
Pato la China na la Tanzania lipi kubwa ?

Ujue wewe ni mjinga sana huu ni uzi wa pili nakuelekeza hivi
 
Pato la China na la Tanzania lipi kubwa ?

Ujue wewe ni mjinga sana huu ni uzi wa pili nakuelekeza hivi
Hapo hatufanyi comparison kati ya China na Tanzania. Tunafanya comparison kati ya maisha ya raia wa China na raia wa nchi kama UK, US, n.k.

Ndio maana huwezi kuwaona raia wa UK, US, CANADA wanafungua biashara ndogondogo Afrika.
 
Pia wanamiminika Tanzania kuanzisha viwanda kwa fujo. Vitu ambavyo hata sisi watanzania tunaweza kuagiza mashine china tukafanya.

Binafsi nilifanya utafiti kwanini watanzania hatuna viwanda hata vidogovidogo vya kuzalisha. Nikagundua chanzo cha matatizo ni bei ya viwanja vya kujengea kiwanda. Serikali ipunguze bei ya viwanja vya kujengea kiwanda kidogo masuala ya kuuza sqm kwa 10000 au 30000 ni UJINGA sana.
Mfano halisi ni bei ya viwanja vya kujengea kiwanda huko Kibaha. Bei iko juu, hapo si kutiana nuksi, si afadhali mtunyonge, 30,000 kwa square meter 1 🤣
View attachment 3225538

View attachment 3225542


Huu ni UJINGA 🤣
Wewe unauwezo wa kuanzisha kiwanda kidogo tufanye tu minimum watu 100
 
Pato la China la mtu mmoja mmoja ni USD 12,614 kwa mwaka.

Hiyo ni sawa na Tsh 32,333,075 kwa mwaka. Pato la mchina kwa mwezi ni Tsh 2,694,422.

Tunaweza kusema pato la asilimia kubwa la wachina kwa mtu mmoja mmoja ni Millioni 2.69 ambapo kila siku pato lake ni Tsh 89,814.

Ukipiga hesabu za mtumizi ya kila siku utagundua asilimia kubwa ya wachina wanaishi maisha ya kawaida sana.

Na ndio maana wanakuja huku Tanzania na kuanzisha biashara ndogondogo za kawaida kabisa.

Na mara nyingi pato la mtu mmoja mmoja (GDP per capital) linaweza kueleza maisha ya mtu wa kawaida kabisa katika nchi fulani.

Ngoja tuangalie katika nchi yetu:

Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Hiyo inamaana kwamba pato la mtanzania wa kawaida kwa mwezi ni Tsh 258,676.

Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wa kawaida wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi na hayo ndio maisha yao.

Hiyo inaama gani, kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.
Na magabacholi vipi?
 
Back
Top Bottom