Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo

Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo

Hapo hatufanyi comparison kati ya China na Tanzania. Tunafanya comparison kati ya maisha ya raia wa China na raia wa nchi kama UK, US, n.k.

Ndio maana huwezi kuwaona raia wa UK, US, CANADA wanafungua biashara ndogondogo Afrika.
"Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo"

PPP ya China unaifahamu ?
Unajua ni nchi gani inaongoza kuwa na mabilionea duniani ?
Unajua ni ncgi gani inaongoza kuwa na millionea duniani ?
 
Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Pato la mtanzania kwa mwezi ni Tsh 258,676.
Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi.
Hiyo inaama gani kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.
Ni asilimia ngapi ya hao Watanzania wana hicho kipato ?
 
"Pato la China ni dogo sana ndio maana Wachina wanakuja Tanzania kufanya biashara ndogondogo"

PPP ya China unaifahamu ?
Unajua ni nchi gani inaongoza kuwa na mabilionea duniani ?
Unajua ni ncgi gani inaongoza kuwa na millionea duniani ?
Kuongoza kwa kuwa na mabilionea wengi si kigezo cha kuamua hali ya maisha ya wananchi wote, kwani tunachukua wastani wa pato la Wachina wote. Tunazingatia zaidi hali ya maisha ya asilimia kubwa ya Wachina.
 
Ndio maana wanakuja kuwekeza kwenye biashara ndogondogo. Kinachopima uwezo wa mtu kupata mtaji wa kuwekeza ni pato lake la kila siku. Mtu mwenye pato dogo lazima atawekeza kwenye biashara ndogondogo.
According to recent data, China is currently considered the leading country in outbound investment, consistently ranking among the top three globally alongside the United States and Japan, with a significant share of the global total outward direct investment (ODI) stock.
 
According to recent data, China is currently considered the leading country in outbound investment, consistently ranking among the top three globally alongside the United States and Japan, with a significant share of the global total outward direct investment (ODI) stock.
Wewe unaangalia kampuni moja moja. Tunahitaji hesabu za wastani.
 
🤣🤣....na sisi tunaanza Sako to bako wahamiaji haramu wa kichina🤒
🤣🤣🤣 kuna mchina nimeona video yake mtandaoni anadai mshahara wa miezi 6 na mshahara wake ni dola mia tu kwa mwezi ni kama laki mbili na nusu kwa mwezi. Inaonekana kuna sehemu china hali ni ngumu mno. Wakija bongo akiuza vitu vya milioni moja kwa siku anajiona elon musk 🤣🤣
 
🤣🤣🤣 kuna mchina nimeona video yake mtandaoni anadai mshahara wa miezi 6 na mshahara wake ni dola mia tu kwa mwezi ni kama laki mbili na nusu kwa mwezi. Inaonekana kuna sehemu china hali ni ngumu mno. Wakija bongo akiuza vitu vya milioni moja kwa siku anajiona elon musk 🤣🤣
Nimeshapiga hesabu nimemalza nimetumia GDP per capital tu.
 
Kuongoza kwa kuwa na mabilionea wengi si kigezo cha kuamua hali ya maisha ya wananchi wote, kwani tunachukua wastani wa pato la Wachina wote. Tunazingatia zaidi hali ya maisha ya asilimia kubwa ya Wachina.
Ambayo ipoje ?

Hong-Kong GDP per capita $53,606 unaweza kuipata wapi hii Tanzania ?
Taiwan GDP per capita $33,234 na hii ?
Macau GDP per capita $78,962 na hii ?
 
Kuna activist mmoja yupo mitandaoni anasema gdp ya china ni feki. CCP wanatengeneza data feki ila uhalisia china kuna maeneo ni masikini mno.
Acha kukesha youtube na mitandaoni ukiwa umeuseti ubongo wako kupata tu anti China contents daily
 
Tunaomba tuendelee kujadili hii mada, tusibishane wa kutumia lugha za matusi.
 
Pato la China la mtu mmoja mmoja ni USD 12,614 kwa mwaka.

Hiyo ni sawa na Tsh 32,333,075 kwa mwaka. Pato la mchina kwa mwezi ni Tsh 2,694,422.

Tunaweza kusema pato la asilimia kubwa la wachina kwa mtu mmoja mmoja ni Millioni 2.69 ambapo kila siku pato lake ni Tsh 89,814.

Ukipiga hesabu za mtumizi ya kila siku utagundua asilimia kubwa ya wachina wanaishi maisha ya kawaida sana.

Na ndio maana wanakuja huku Tanzania na kuanzisha biashara ndogondogo za kawaida kabisa.

Na mara nyingi pato la mtu mmoja mmoja (GDP per capital) linaweza kueleza maisha ya mtu wa kawaida kabisa katika nchi fulani.

Ngoja tuangalie katika nchi yetu:

Pato la Tanzania la mtu mmoja mmoja ni USD 1211 kwa mwaka ambayo ni sawa na Tsh 3,104,118.
Hiyo inamaana kwamba pato la mtanzania wa kawaida kwa mwezi ni Tsh 258,676.

Hiyo ina maana ya kwamba asilimia kubwa ya watanzania wa kawaida wanaingiza kipato cha Tsh 258,676 kwa mwezi na hayo ndio maisha yao.

Hiyo inaama gani, kwa siku hali ipoje ni Tsh 8622. Hiyo ndio hali ya wastani.
Unaweza ukajifunza maisha ya watanzania walio wengi kupitia hesabu hizo.
Mimi nitakupinga Kwa mambo yafuatayo
1: China ni moja ya nchi ilioendelea sana duniani ila uchumi wake unakua controlled na serikali yaani serikali ni tajiri kuliko raia wake,Us/eu watu nimatajiri sometimes kuliko serikali kwakua wao ni capitalism while China ni ujamaa.
2: uwingi wa watu, hii imewafanya watu wengi watoke kwenda tafuta nje kwakua otherwise utakua controlled na serikali Kwa kila utakachofanya means hutaweza kua tajiri bali utaendelea kuiwezesha gov
3: ubunifu,kutokana na ujamaa wachina wamekua wabinofu na kuwafanya wawe na viwanda kl kona like India walivyo.
So ukiangalia pata la mtu mmoja mmoja wanakua maskini ila Kwa nchi ni tajiri sana tena kuishinda hata US
 
Ambayo ipoje ?

Hong-Kong GDP per capita $53,606 unaweza kuipata wapi hii Tanzania ?
Taiwan GDP per capita $33,234 na hii ?
Macau GDP per capita $78,962 na hii ?
Hong Kong ni China?
Taiwan ni China ?
Macau ni China ?
 
🤣🤣🤣 kuna mchina nimeona video yake mtandaoni anadai mshahara wa miezi 6 na mshahara wake ni dola mia tu kwa mwezi ni kama laki mbili na nusu kwa mwezi. Inaonekana kuna sehemu china hali ni ngumu mno. Wakija bongo akiuza vitu vya milioni moja kwa siku anajiona elon musk 🤣🤣
Kima cha chini China sio laki mbili na nusu punguza kutazama videos za hovyo mitandaoni
 
Back
Top Bottom