love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
duuh!!! thread ndio chanzo?
unascreen shoot thread inakuw chanzo cha kuaminika kweli mbey ni mbeya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh!!! thread ndio chanzo?
Muda utaongea mkuuSiku tujimege tu maana nchi inaendeshwa na rasilimali zetu kwa karibia70% ila hawa mende pesa zote wanapeleka dar. My home town KAHAMA hata stand la kisasa yameshindwa kujenga
Mwanza nyie mshindani wenu ni Mbeya ,hakuna kitu Mwanza City itashindana na Dom..A
Achana na siasa kijana, Kwanza Dodoma ukiacha maofisi ya serikali inatofauti gani na Singida?
Chanzo kwani hukijui? Si kipo Tamisemi au?duuh!!! thread ndio chanzo?
mbona hamuonekani kweny data hapoMwanza nyie mshindani wenu ni Mbeya ,hakuna kitu Mwanza City itashindana na Dom..
Dom size yake kwa sasa ni Dar tuu,huu ni ukweli mchungu
Nahisi utakuwa ni mmoja wao walioleta report kuwa Dodoma inaongoza kwa mapato😂😂Mwanza nyie mshindani wenu ni Mbeya ,hakuna kitu Mwanza City itashindana na Dom..
Dom size yake kwa sasa ni Dar tuu,huu ni ukweli mchungu
thread ndio chanzo chako cha kunionyesh mim kwelChanzo kwani hukijui? Si kipo Tamisemi au?
Hizi takwimu sijui ilikuwaje
Wanaleta siasa kwenye mambo ya kialisiambona hamuonekani kweny data hapo
Ndio Hali halisi hakuna cha ilikuaje,wamepigwa hao 🤣🤣😂😂Hizi takwimu sijui ilikuwaje
Tupo kwenye mission ya kuizunguka nchi yote kwanza tuiteke.Great minds mmeshindwa kujenga wote mmekuja kung'ang'ania Pwani.
Tuko vzr ndo mana hamuwezi kuondoka.
Na ng'ombe wale wazee wanaomiliki zaid ya 1000 nao ni nature?Kuna vitu hapo ni gift of nature,hamkutumia ujanja wowote kuvipata.
Na bado Tanga itakuwa nyuma ya Mbeya soon Bomba likianza kaziAcheni kupika data, Tanga haiwezi kuizidi Arusha.
Kwaajili ya corona imeshusha pato labda wageni wengi hawajajaNi sawa kabisa, hii mikoa ilitegemea sana utalii kuchagiza uchumi zao, kwa sasa sio ajabu kuwa ya mwisho mwisho
Subiri watoe orodha ya mikoa maskini kisha rudi tena hapa na hizo tambo!!! Hapa nazungumzia orodha inayoelezea hali ya umaskini kwa Watanzania na sio hizi data ambazo ni pesa za mabeberu!!!Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo
Sasa ni wapi nimeweka siasa ndugu?A
Achana na siasa kijana, Kwanza Dodoma ukiacha maofisi ya serikali inatofauti gani na Singida?
Nieleweke vizuri,vitu vya msingi vilivyosababisha mikoa ya Kanda ya ziwa ing'are ni vitu ambavyo ni gift of nature,hakuna kuboast hapo.Na ng'ombe wale wazee wanaomiliki zaid ya 1000 nao ni nature?