Subiri watoe orodha ya mikoa maskini kisha rudi tena hapa na hizo tambo!!! Hapa nazungumzia orodha inayoelezea hali ya umaskini kwa Watanzania na sio hizi data ambazo ni pesa za mabeberu!!!
Mkoa kama Kilimanjaro usiutarajie kutokea juu kabisa kwenye orodha ya mikoa yenye pato kubwa kwa sababu hakuna larger investments kama zilizo kwenye mikoa yenye madini!!
That applies to Arusha as well.
Lakini tukija kwenye orodha ya mikoa maskini kama nilivyotafsiri hapo juu, hapo lazima utazikuta Kilimanjaro na Arusha zikiwa angalau kwenye Top 5... WHY? Kwa sababu shughuli nyingi za mikoa hiyo, pesa zinaingia moja kwa moja kwenye mifuko ya watu na hivyo ku-define kiwango cha umaskini/utajiri!
Hapo juu naona
kizaizai amehoji kutokuwapo kwa Iringa! Kama ilivyo kwa Arusha na Kilimanjaro, ndivyo ilivyo kwa Iringa! Kwenye orodha ya mikoa maskini kama nilivyo-define hapo juu, lazima Iringa itaonekana "tajiri" kwa sababu ni mkoa unaotegemea sana kilimo, na pesa yake inaenda moja kwa moja kwenye mifuko ya watu!!
But also don't forget... investments kubwa za Arusha ni pamoja na utalii ambao umeathirika sana!! Na pia Mererani haipo Arusha bali Manyara lakini pato la watu upitia Merelani huwa linaenda Arusha!
Kuweka kumbukumbu sawa, gesi ikishaanza kuchimbwa, halafu kampuni za uchimbaji gas zikajisajili Lindi kama ndio mkoa wao wa kikodi, basi msishangae kuanzia hapo orodha ikisema "Lindi inaongoza, na Dar es salaam ndo inafuata"!! Watu watapinga kwa sababu hawafahamu logic ya hizi takwimu!!