Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Miaka 15 badae hii nchi yote tutakua tumeizunguka wasukuma, ardhi ya nchi tutakua tumechukua yakutosha. Maamuzi makubwa ya nchi yatatokana na sisi tunamtaka nani. Blessed Lakezone
Mtakapo maliza kuizunguka nchi yote na kuchukua ardhi ya kutosha nchi mtaipa jina gani?
 
Ni kipi kinafanya Mbeya kuwa na pato kubwa kupita Arusha?
We jamaa bwana ,unasikitisha Sana ..Bustan ya Eden iko Mikoa ya Kusini ..Mbeya kiujumla inaongoza kwa uzalishaji wa nafaka mseto Tzn hii Sasa sijui unataka nini kingine.Niongeze volume?
 
Mwanza nyie mshindani wenu ni Mbeya ,hakuna kitu Mwanza City itashindana na Dom..

Dom size yake kwa sasa ni Dar tuu,huu ni ukweli mchungu

Mwanza nyie mshindani wenu ni Mbeya ,hakuna kitu Mwanza City itashindana na Dom..

Dom size yake kwa sasa ni Dar tuu,huu ni ukweli mchungu
Nikuambie tu ni hivi hayati magufuli alipoitanga Dadoma kuwa jiji watu wengi walipinga coz Dodoma ilikuwa haijakizi viwango vya kuwa jiji lakini Rais wetu mpendwa hayat magufuli alilazimisha sasa kuficha aibu ilibidi kuwalazimisha tamisemi kupika data za uongo ili kuwaaminisha watu kuwa Dodoma ilistahili kuwa jiji na pia limeweza kuyapiku majiji makubwa kama Mwanza, nakuambia nje ya Dar sehemu nyingine zina safari ya miaka 1000 kufika mahali Mwanza ilipo.
 
Sawa sawa
 
Dodoma🦍🦍
 
We jamaa bwana ,unasikitisha Sana ..Bustan ya Eden iko Mikoa ya Kusini ..Mbeya kiujumla inaongoza kwa uzalishaji wa nafaka mseto Tzn hii Sasa sijui unataka nini kingine.Niongeze volume?
Kumbe mnategemea kilimo cha mpunga peke yake ndo mje mje mpambane na mikoa ya kanda ziwa yenye rasilimali lukuki, kama kilimo, ufugaji, uvuvi na madini pia viwandaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumbe mnategemea kilimo cha mpunga peke yake ndo mje mje mpambane na mikoa ya kanda ziwa yenye rasilimali lukuki, kama kilimo, ufugaji, uvuvi na madini pia viwandaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Una matatizo Sana ,unajua kusoma ? Au tatizo ni uelewa? Kama ni mpunga si Morogoro angekuwa juu ya Mbeya?
 
Kwa hiyo kila mwaka wanapika? Mbona Mbeya imewapiku nazo zimepikwa? 😁😁🀭🀭

Hamna kitu huko watu wako hoi kwa umaskini.
 
Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo

Kumbuka kuwa Corona 2020/2021 ilijeruhi sana sana utalii na hivyo kuathiri sana pia uchumi wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…