Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk😂. Tanzania.

Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.

Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera.

Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Lake zone single-handed inaweza kuendesha uchumi wa bongolala nzima.......
 
Kanda yakusini ipo juu kimapato,ispokua ges ya kilwa yaani songas inaesabiwa ktk pato la dar na ya mtwara pia.wakati kanda ya ziwa pato la dhahabu nk linawekwa ktk mikoa husika
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.


Kilimanjaro na Arusha coronavirus imeharibu sana uchumi wa hiyo mikoa sababu utalii unachangia pakubwa sana
 
Hizi data hazitoi picha kamili. Dar ina watu milioni sita. Mwanza ina watu milioni mbili. Ukigawa kwa mtu mmoja mmoja, Dar inaweza kuwa na masikini wengi kuliko Njombe na Katavi.
===========
NB: Nimefanya kwick maths. Dar inascore 4 point something wakati Katavi inascore 2.8.
By average, an average Dar resident is 1.5 richer than Katavi resident.
 
Mwanza Mwanza Mwanza kuzuri
**** watu roho inawauma sana tena nataka niwaambie mimi niko dar! Bila bandari Dar kwa mwanza wanapambana tu! Maana ukiangalia nyumba mitaani za makazi mtaa mingi ya mwanza ina nyumba kali kuzidi dar! Maana makazi mengi dar ni ya zamani isipokuwa mitaa ya kinyerezi mbezi,tegeta na kigamboni,
 
Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk[emoji23]. Tanzania.

Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.

Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara[emoji23].

Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.

Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Usisahau zao linaloongoza kuipatia tz fedha za kigeni ni korosho.nakukumbusha pato la ges linawekwa ktk takwimu za dar.lakini pia kumbuka kuna mladi mkubwa wa lng unakuja ndio utakuwa mladi mkubwa kuingizia fedha tz unatoka lindi,kuna hifadhi kubwa ya ges bahari kuu bado haijachibwa ipo lindi
 
Hizi data hazitoi picha kamili. Dar ina watu milioni sita. Mwanza ina watu milioni mbili. Ukigawa kwa mtu mmoja mmoja, Dar inaweza kuwa na masikini wengi kuliko Njombe na Katavi.
===========
NB: Nimefanya kwick maths. Dar inascore 4 point something wakati Katavi inascore 2.8.
By average, an average Dar resident is 1.5 richer than Katavi resident.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji419]
 
Mkuu nikusahihishe..

Kanda ya Ziwa Mara,Mwanza,Kagera,Geita na Shinyanga.

Kanda ya Mashariki
Dar,Pwani na Morogoro.

Kanda ya kati
Dodoma,Singida na Tabora

Kanda ya Kaskazini
Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Kanda ya kusini
Lindi,Mtwara,Ruvuma

Kanda ya Magharibi
Kigoma,Katavi, Songwe..

Nyanda za juu Kusini
Mbeya,Iringa,Njombe
..............

So obviously Kanda ya Mashariki ndio kinara.
 
Back
Top Bottom