Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Kwa hiyo ubuyu wa mia mia na vitumbua ndo vifanye watu wa Dar na Pwani wawe matajiri, unajivunia utajiri wa watu wa kuja.....
Wakuja kwao maskini...ndio hao wauza ubuyu
 
Huna lolote wivu tu unakusumbua..ingeongoza njombe ungeomba hizo GDP..kaa utulie kanda ya ziwa inaendelea kuupiga mwingi.

#MaendeleoHayanaChama
Wivu wa nini? Uchumi wa Kanda ya Ziwa ni sawa na Nigeria inavyoongoza kwa GDP kubwa Afrika but life is horrible..

High income dispaity na fedha ni za sekta ambazo sio za wananchi,sasa wangapi wako kwenye migodi ya dhahabu?

Huu ndio ukweli mchungu hata kama hutaki.Wakileta taarifa za Hali ya umaskini lazima muwe wa mwisho na Njombe iko nyuma ya Dar .
 
Huna lolote wivu tu unakusumbua..ingeongoza njombe ungeomba hizo GDP..kaa utulie kanda ya ziwa inaendelea kuupiga mwingi.

#MaendeleoHayanaChama
Yaani Mbeya iizidi mwanza yaani mji kama kijiji! Hivi hujiulizi kwa nini hata Fari Ipupa akitoka Dar anaende mwanza kupiga shoo! Yaani hata huko Mbeya wafanya biashara wa madini na mazao ni Wasukuma na watu wa kanda ziwa,
 
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.

GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..

Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.

Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.

Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
mwanza ina mgodi gani mkubwa saiv?
 
Wivu wa nini? Uchumi wa Kanda ya Ziwa ni sawa na Nigeria inavyoongoza kwa GDP kubwa Afrika but life is horrible..

High income dispaity na fedha ni za sekta ambazo sio za wananchi,sasa wangapi wako kwenye migodi ya dhahabu?

Huu ndio ukweli mchungu hata kama hutaki.Wakileta taarifa za Hali ya umaskini lazima muwe wa mwisho na Njombe iko nyuma ya Dar .
Ila bado ndio inachangia pato kubwa katika uendeshaji wa nchi..barabara zinazojengwa huko ni jasho la watu wa kanda ya ziwa kwa sehemu kubwa..acha mapuuza.

#MaendeleoHayanaChama
 
Bila dhahabu huko ni useless and horrible life,next year tena watafika mbali zaidi maana mgodi mkubwa mpya unafunguliwa Sengerema na maviwanda ya kusafisha madini.
Na wawekezami wa Migodi hiyo ya Sengerma ni wazawa! Hata kiwanda cha dhahabu Geita ni cha mzawa tena mwanamke! Hivi unajua Dar mnajifanyaga wajanja lakini kwenye miamala hata hapo Dar watu wa kuja ndo wanoongoza!
 
Ruvuma no.10 ni mkoa wangu lakini naomba wadau nijue kwa kigezo kipi imeshika iyo no.10 sabab najua tunategemea Sana kilimo Cha zao moja ( mahindi) na masoko nowdays yameyumba Hali ni mbaya Sana
Tupo huku mbinga tunapiga kahawa
 
Wivu wa nini? Uchumi wa Kanda ya Ziwa ni sawa na Nigeria inavyoongoza kwa GDP kubwa Afrika but life is horrible..

High income dispaity na fedha ni za sekta ambazo sio za wananchi,sasa wangapi wako kwenye migodi ya dhahabu?

Huu ndio ukweli mchungu hata kama hutaki.Wakileta taarifa za Hali ya umaskini lazima muwe wa mwisho na Njombe iko nyuma ya Dar .
mwanza kuna mgodi gani mkubwa?
 
Yaani Mbeya iizidi mwanza yaani mji kama kijiji! Hivi hujiulizi kwa nini hata Fari Ipupa akitoka Dar a aende mwanza kupiga shoo! Yaani hata huko Mbeya wafanya biashara wa madini na mazao ni Wasukuma na watu wa kanda ziwa,
Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.

Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.

Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..

Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
 
Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.

Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.

Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..

Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
mwanza kunamgodi gani mkubwa?
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.


Mbona siioni Manyara hapo? Tanzanite haileti pato?
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.


Tanga siku hizi ina pato gani la kuishinda Arusha? Utalii na vito havileti pato?
Mwaka hana ama juzi niliona Njombe ikiwa ya pili kwa per capita, nadhani hiki ndio kipimo kizuri.
 
Back
Top Bottom