Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pamoja na mchango wote huo wa kanda ya ziwa still low mind Mapweza, Kolekole, na Vibua yanawatengua (wachomoa) na kuwadhihaki wasukuma/&watu wa kanda ya ziwa kwenye nafasi za kulisaidia taifa
Hii mikoa ya kanda ya ziwa bado ni masikini sana sana sababu ya population kubwa ya watu waliyonayo. Ukiangalia Mwanza ina watu mara 2 ya Kilimanjaro lakini pato lake siyo mara mbili ya lile la Kilimanjaro. Hii ina maana kiuchumi bado watu wa Mwanza ni masikini kulinganisha na wenzao wa Kilimanjaro.

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili watu wa huko mpunguze kufyatua watoto ili walau maisha yenu yaboreke. Vinginevyo mtakuwa na pato kubwa kama la Nigeria ila watu wenu watabaki kuwa mafukara daima
 
Wewe acha kujisemesha upupu,umewahi sikia wapi na lini Mbeya ikaomba upendeleo?

Sisi tukipendelewa kama huko kwenu nyie mtaogelea kwenye umaskini,huku ni Nchi ya ahadi by nature ina resources zote,kuanzia madini hadi misitu.

Siku tukianza kuchimba migodi yetu hamuwezi kutugusa,hapa tunatumia kilimo tuu na biashara.

Mwisho huko hakuna malisho,ng'ombe wako Kwetu Kusini kwa hiyo hakuna wanachofaidisha huko.
Yaani hata huko kahama au mwanza hujawahi kufika kwa kifupi Mbeya haitakaa iifikie mwanza mpaka mwisho wa dunia ukumbuke mwanza imezaa geita na sehemu simiyu usilete ngonjera hapa! Hata madini ya huko kwenu sisi ndo tunayachimba na kuuyauza! Tukitoka tunaenda kuwekeza mwanza
 
Hata huo mwaka wanaousema ni ule mwaka Jiji la dodoma liliuzauza viawanja kwa wingi kwa sababu ya watumishi wengi walikua ndo wamehamia dodoma. Sasa hivi huwezi kukuta tena takwimu za dodoma kuongoza.
Ila bado iko namba 2 nyuma ya Jiji la Dar(Ilala),Dom imeshawapita huko Mwanza,Arusha,Mbeya nk kubalini ukweli tuu.
 
Yaani hata huko kahama au mwanza hujawahi kufika kwa kifupi Mbeya haitakaa iifikie mwanza mpaka mwisho wa dunia ukumbuke mwanza imezaa geita na sehemu simiyu usilete ngonjera hapa! Hata madini ya huko kwenu sisi ndo tunayachimba na kuuyauza! Tukitoka tunaenda kuwekeza mwanza
Pole Sana ,si tuu nalifahamu vizuri Mwanza bali nimefanya kazi huko miaka 2 ,sisimuliwi.

Nje ya Mwanza Jiji kwingine kote ni umaskini wa kutisha tofauti na Mbeya kila Wilaya ukienda ni Shangwe.
Ona hapa Njaa zinavyowasumbua. 👇

Screenshot_20211009-080136.png
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

Kagera hoi
 
Hilo jedwali la mwisho ndilo linaloonyeaha hali halisi ya maisha ya watu. GDP per capita ndiyo kipimo kizuri.
Hapo utaona kuwa kuna mikoa kibao haijafika hata uchumi wa kati. Mikoa kama Kagera, Shinyanga, Dodoma etc haijafika uchumi wa kati.
Jamaa wanajifariji huko wakati wanaelewa fika kwamba wanachangia maskini wengi Sana hapa Tzn.

Hakuna mikoa mitamu kwa kuishi hapa Tzn kama Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
 
Mbeya kuna migodi Chunya. Usidanganye hapa
Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.

GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..

Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.

Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.

Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
 
Wivu wa nini? Uchumi wa Kanda ya Ziwa ni sawa na Nigeria inavyoongoza kwa GDP kubwa Afrika but life is horrible..

High income dispaity na fedha ni za sekta ambazo sio za wananchi,sasa wangapi wako kwenye migodi ya dhahabu?

Huu ndio ukweli mchungu hata kama hutaki.Wakileta taarifa za Hali ya umaskini lazima muwe wa mwisho na Njombe iko nyuma ya Dar .
Tulikwambia Miti ya mbao na miparachichi haiwezi kuwasaidia. Lazima sasa ukubali kwamba Njombe ni uswekeni tu
 
Tulikwambia Miti ya mbao na miparachichi haiwezi kuwasaidia. Lazima sasa ukubali kwamba Njombe ni uswekeni tu
Una matatizo inakusaidia,kama unabisha subiria taarifa za Hali ya umaskini utaona mlivyo na maisha ya nguruwe huko
 
Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.

Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.

Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..

Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
Simiyu haijatokana na Mwanza na inajitegemea. Mwanza wakati wa kuundwa mkoa wa Simiyu ilichangia wilaya moja tu ya Busega huku wilaya zingine Maswa, Bariadi, Meatu na Itilima zilimegwa toka Shinyanga. Kwa hiyo usipotoshe hapa kwamba eti Mwanza iko pamoja na Simiyu. Pole sana.
 
Wapi nimetaja mgodi kuwepo hapo Mwanza? Mikoa inayozunguka Mwanza yote ina migodi na yote services nyingi zinatokea Mwanza jijini hapo.Kwa hiyo Mwanza inafaidika zaidi.
Ebu tuambie services gani ? Mwanza usilinganishe na vitu vinyonge kama Mbeya
 
Simiyu haijatokana na Mwanza na inajitegemea. Mwanza wakati wa kuundwa mkoa wa Simiyu ilichangia wilaya moja tu ya Busega huku wilaya zingine Maswa, Bariadi, Meatu na Itilima zilimegwa toka Shinyanga. Kwa hiyo usipotoshe hapa kwamba eti Mwanza iko pamoja na Simiyu. Pole sana.
Ndio nataka Takwimu za Simiyu,zikitoka tuu hapo hutaiona Shinyanga top ten na figure ya Mwanza itashuka kwa sababu ya hiyo Busega..

Weka.Takwimu mbona Sisi tumeweka za Songwe?
 
Kiukweli mkoa kama shinyanga unabebwa tu na migodi ambayo kihalisia wananchi sio wamiliki.
Mikoa kama Kilimanjaro , Arusha na mwanza uchumi unakisi haya ya wananchi pia
 
Dodoma vipi?

Mwaka Kama iliongoza kwa makusa yo ya Kodi kuliko mikoa yote Tanzania.
Zile zilikuwa siasa tu, zaidi ya bunge na maofisi ya serikali dodoma kuna nini pale.
 
Tutaendelea kuzaa sana na kupeleka watu wetu mikoa ya wanyonge kama moro, mbeya , katavi, lindi na Ruvuma na sasa tumeshafunika kigoma yote hasa wilaya za uvinza, kibondo na Kakonko
Hii mikoa ya kanda ya ziwa bado ni masikini sana sana sababu ya population kubwa ya watu waliyonayo. Ukiangalia Mwanza ina watu mara 2 ya Kilimanjaro lakini pato lake siyo mara mbili ya lile la Kilimanjaro. Hii ina maana kiuchumi bado watu wa Mwanza ni masikini kulinganisha na wenzao wa Kilimanjaro.

Kuna kazi kubwa sana ya kufanya ili watu wa huko mpunguze kufyatua watoto ili walau maisha yenu yaboreke. Vinginevyo mtakuwa na pato kubwa kama la Nigeria ila watu wenu watabaki kuwa mafukara daima
 
Back
Top Bottom