The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
- Thread starter
-
- #21
Mirerani haiko Arusha mkuu, iko wilaya ya Simanjiro mkoa wa manyara.Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo
Lake zone single-handed inaweza kuendesha uchumi wa bongolala nzima.......Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.
Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.
Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.
Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.
Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.
Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk😂. Tanzania.
Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.
Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera.
Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Great minds nchi hii ziko ama zinatoka lake zone.Hapo ndo shangaa, low minded pwaniz leo wawa suppress akili kubwa kutoka lake zone just kwa cheap politics......
Sure, sisi ndio tunaibeba hii nchi.Lake zone single-handed inaweza kuendesha uchumi wa bongolala nzima.......
Kilimanjaro na Arusha coronavirus imeharibu sana uchumi wa hiyo mikoa sababu utalii unachangia pakubwa sanaOfisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.
Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.
Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.
Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.
Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.
Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.
Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.
Tungesema kila mtu ajenge kwao, sijui hii pwani na dar pangekuwa na hali gani.....kwa kufunga ubuyu wa mia mia na kukaanga vitumbua tungeshuhudia nyumba za makuti zimetapakaa kila mahali.....Sure, sisi ndio tunaibeba hii nchi.
Kahama ndio inaibeba ShyShinyanga namba 4?😬
**** watu roho inawauma sana tena nataka niwaambie mimi niko dar! Bila bandari Dar kwa mwanza wanapambana tu! Maana ukiangalia nyumba mitaani za makazi mtaa mingi ya mwanza ina nyumba kali kuzidi dar! Maana makazi mengi dar ni ya zamani isipokuwa mitaa ya kinyerezi mbezi,tegeta na kigamboni,Mwanza Mwanza Mwanza kuzuri
Kahama ndio inaibeba Shy
uliamini porojo za mwendazake?Wapi Dodoma, kuna kipindi tuliambiwa imeifunika Dar kinoma noma......
Usisahau zao linaloongoza kuipatia tz fedha za kigeni ni korosho.nakukumbusha pato la ges linawekwa ktk takwimu za dar.lakini pia kumbuka kuna mladi mkubwa wa lng unakuja ndio utakuwa mladi mkubwa kuingizia fedha tz unatoka lindi,kuna hifadhi kubwa ya ges bahari kuu bado haijachibwa ipo lindiTuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.
Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.
Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.
Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.
Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.
Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.
Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk[emoji23]. Tanzania.
Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.
Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara[emoji23].
Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.
Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Kahama ni 'Mziki' mwingine ule,Njombe ifananishwe na Liwale na sio Kahama.Aje [mention]Opportunity Cost [/mention] aone kahama inavoshine kuliko Njombe yake iliyoachwa hadi na Kigoma
Mchunga ng'ombe umepaniki.Pamoja na mchango wote huo wa kanda ya ziwa still low mind Mapweza, Kolekole, na Vibua yanawatengua (wachomoa) na kuwadhihaki wasukuma/&watu wa kanda ya ziwa kwenye nafasi za kulisaidia taifa
Ukweli mchungu[emoji419]Shinyanga namba 4?[emoji51]
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji419]Hizi data hazitoi picha kamili. Dar ina watu milioni sita. Mwanza ina watu milioni mbili. Ukigawa kwa mtu mmoja mmoja, Dar inaweza kuwa na masikini wengi kuliko Njombe na Katavi.
===========
NB: Nimefanya kwick maths. Dar inascore 4 point something wakati Katavi inascore 2.8.
By average, an average Dar resident is 1.5 richer than Katavi resident.
Kahama uilinganishe na Njombe? Hayo yatakua matusi. Kahama ni habari nyingine. Kahama sasa labda ujumlishe njombe na Songwe ndio wataifikia.Aje [mention]Opportunity Cost [/mention] aone kahama inavoshine kuliko Njombe yake iliyoachwa hadi na Kigoma