Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Lake zone single-handed inaweza kuendesha uchumi wa bongolala nzima.......
 
Kanda yakusini ipo juu kimapato,ispokua ges ya kilwa yaani songas inaesabiwa ktk pato la dar na ya mtwara pia.wakati kanda ya ziwa pato la dhahabu nk linawekwa ktk mikoa husika
 
Kilimanjaro na Arusha coronavirus imeharibu sana uchumi wa hiyo mikoa sababu utalii unachangia pakubwa sana
 
Hizi data hazitoi picha kamili. Dar ina watu milioni sita. Mwanza ina watu milioni mbili. Ukigawa kwa mtu mmoja mmoja, Dar inaweza kuwa na masikini wengi kuliko Njombe na Katavi.
===========
NB: Nimefanya kwick maths. Dar inascore 4 point something wakati Katavi inascore 2.8.
By average, an average Dar resident is 1.5 richer than Katavi resident.
 
Mwanza Mwanza Mwanza kuzuri
**** watu roho inawauma sana tena nataka niwaambie mimi niko dar! Bila bandari Dar kwa mwanza wanapambana tu! Maana ukiangalia nyumba mitaani za makazi mtaa mingi ya mwanza ina nyumba kali kuzidi dar! Maana makazi mengi dar ni ya zamani isipokuwa mitaa ya kinyerezi mbezi,tegeta na kigamboni,
 
Usisahau zao linaloongoza kuipatia tz fedha za kigeni ni korosho.nakukumbusha pato la ges linawekwa ktk takwimu za dar.lakini pia kumbuka kuna mladi mkubwa wa lng unakuja ndio utakuwa mladi mkubwa kuingizia fedha tz unatoka lindi,kuna hifadhi kubwa ya ges bahari kuu bado haijachibwa ipo lindi
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji419]
 
Mkuu nikusahihishe..

Kanda ya Ziwa Mara,Mwanza,Kagera,Geita na Shinyanga.

Kanda ya Mashariki
Dar,Pwani na Morogoro.

Kanda ya kati
Dodoma,Singida na Tabora

Kanda ya Kaskazini
Kilimanjaro, Arusha,Tanga na Manyara.

Kanda ya kusini
Lindi,Mtwara,Ruvuma

Kanda ya Magharibi
Kigoma,Katavi, Songwe..

Nyanda za juu Kusini
Mbeya,Iringa,Njombe
..............

So obviously Kanda ya Mashariki ndio kinara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…