Nani akaishi uswekeni huko ?Jamaa wanajifariji huko wakati wanaelewa fika kwamba wanachangia maskini wengi Sana hapa Tzn.
Hakuna mikoa mitamu kwa kuishi hapa Tzn kama Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Migodi gani? Yaani migodi ya kina Hamza ndio migodi ile? Tunazungumzia migodi serious,wait migodi serious inakuja
Mbona wenzako wamekimbia huko Jangwani kwa nini wasibakie wale dhahabu 😁😁Nani akaishi uswekeni huko ?
inawezekana unaizungumzia Halmashauri ya Jiji la Dodoma wakati NBS wametoa data za Mkoa wa Dodoma.Dodoma vipi?
Mwaka Kama iliongoza kwa makusa yo ya Kodi kuliko mikoa yote Tanzania.
Una matatizo inakusaidia,kama unabisha subiria taarifa za Hali ya umaskini utaona mlivyo na maisha ya nguruwe huko
Notherners!! Nyingine ni taka ngumu tu.Great minds nchi hii ziko ama zinatoka lake zone.
Maendeleo ya nchi hii yameletwa ama yataletwa na lake zoners tu.
Hawa wakalia maji pwanis hawana lolote.
Inavyoonekana hata jiografia ya nchi yako hujui kabisa nimekwambia Simiyu ilimegwa kutoka Shinyanga na Mwanza ikachangia jimbo la uchaguzi Busega na kufanywa wilaya na kupelekwa Simiyu. Na wakati huo huo Mwanza ilitoa Wikaya ya Geita na Nyag'hwale kuunda mkoa wa Geita. Wewe bado bado unang'ang'ana eti Simiyu imetokana na Mwanza. Pole sana.Ndio nataka Takwimu za Simiyu,zikitoka tuu hapo hutaiona Shinyanga top ten na figure ya Mwanza itashuka kwa sababu ya hiyo Busega..
Weka.Takwimu mbona Sisi tumeweka za Songwe?
Mbona wenzako wamekimbia huko Jangwani kwa nini wasibakie wale dhahabu [emoji16][emoji16]
This is Njombe 👇Utasubiri sana. Njombe uswekeni tu nani aishi kwenye umande huko kama nyani
Mkoa wa simiyu umejulishwa wapi? Kwahiyo mapato ya simiyu yameongezwa shinyanga na pia hayo hayo mapato ya simiyu yakaongezwa Mwanza!? Kwa taharifa yako Mwanza haijawahi kutoka na haitakuja kutoka hapo kwenye nafasi ya pili. Na kama uwekezaji Mwanza ungekuwa mkubwa hiyo nafasi ya kwanza ingekuwa inatuhusu miaka yote. Njoo Mwanza uone watu walivyojiimarisha.Tunataka mapato ya per Capita income,GDP haitakusaidia Sana mkuu ni kujifariji.
GDP yenyewe ya huko Kanda ya Ziwa ni madini ya dhahabu amvayo huishia Kwenye makampuni, serikali na kiduchu ndio huenda kwa watu wachache..
Huko Njombe ambako unadai WA Mwisho ukileta GDP Per Capita income inashindana na Dar tuu.
Mwisho Takwimu za Shinyanga na Mwanza zinahusisha Mkoa was Simiyu kiasi kwamba Kama Mbeya isingegawanywa kuunda Songwe basi ingekuwa no.2 nyuma ya Dar na huko hakuna Migodi huko ndiko Kuna watu waliostawi Sasa.
Tunataka Takwimu independent za Simiyu,tuone aibu ya baadhi ya mikoa hapa.
Great minds mmeshindwa kujenga wote mmekuja kung'ang'ania Pwani.Great minds nchi hii ziko ama zinatoka lake zone.
Maendeleo ya nchi hii yameletwa ama yataletwa na lake zoners tu.
Hawa wakalia maji pwanis hawana lolote.
Nataka Takwimu sitaki kilio na kuweweseka,leta Takwimu za Simiyu..Hiyo Busega ni muhimu sana..Inavyoonekana hata jiografia ya nchi yako hujui kabisa nimekwambia Simiyu ilimegwa kutoka Shinyanga na Mwanza ikachangia jimbo la uchaguzi Busega na kufanywa wilaya na kupelekwa Simiyu. Na wakati huo huo Mwanza ilitoa Wikaya ya Geita na Nyag'hwale kuunda mkoa wa Geita. Wewe bado bado unang'ang'ana eti Simiyu imetokana na Mwanza. Pole sana.
Achana na huyo fala me nilishamzoea huwa ana chuki kubwa sana dhidi ya kanda ya ziwa nazan kuna lingosha lilishamgongea demu wake.Huna lolote wivu tu unakusumbua..ingeongoza njombe ungeomba hizo GDP..kaa utulie kanda ya ziwa inaendelea kuupiga mwingi.
#MaendeleoHayanaChama
Kumbe unadhani yameongezwa wapi? Ni hivi computation imetumia geografia ya zamani kabla ya mgawango wa hiyo mikoa yenu..Mkoa wa simiyu umejulishwa wapi? Kwahiyo mapato ya simiyu yameongezwa shinyanga na pia hayo hayo mapato ya simiyu yakaongezwa Mwanza!? Kwa taharifa yako Mwanza haijawahi kutoka na haitakuja kutoka hapo kwenye nafasi ya pili. Na kama uwekezaji Mwanza ungekuwa mkubwa hiyo nafasi ya kwanza ingekuwa inatuhusu miaka yote. Njoo Mwanza uone watu walivyojiimarisha.
We chizi Mwanza kuna mgodi wa dhahabu ebu utaje?Bila dhahabu huko ni useless and horrible life,next year tena watafika mbali zaidi maana mgodi mkubwa mpya unafunguliwa Sengerema na maviwanda ya kusafisha madini.
Ata mimi nimemuuliza kama Mwanza kuna mgodi aseme.mwanza ina mgodi gani mkubwa saiv?
Acha kudakia kwa mbele utaingizwa huko buttocksini,wapi nimetaja kuna mgodi we kengeWe chizi Mwanza kuna mgodi wa dhahabu ebu utaje?
Tuletee hiyo taharifa kuwa Mwanza ilishawahi kuzidiwa na mkoa wowote toka uhuru wa Tanganyika zaidi ya dar weka hapa hiyo report, pia mwaka jana tu ndio simiyu waliiweka pamoja na mkoa wa shinyanga otherwise acha upumbavu na wivu wa kijinga tupige kazi kama wananchi wa kanda ya ziwa.Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.
Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.
Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..
Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
Na Dar mbona inafaidika kutoka kwa wananchi wa kanda ya ziwa coz service nyingi zinatokea dar.Wapi nimetaja mgodi kuwepo hapo Mwanza? Mikoa inayozunguka Mwanza yote ina migodi na yote services nyingi zinatokea Mwanza jijini hapo.Kwa hiyo Mwanza inafaidika zaidi.