Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Ila wewe unajifanya mjuaji tu! Kwenye vijiji vingi usukumani kuna nyumba kali tu unaleta maneno au ulishakalilishwa kuwa wasukuma wahawezi kuwa na maisha mazuri!
[emoji23][emoji23][emoji23] utakuwa umerogwa kabisa.

Huko kwa wasukuma Kuna vijiji gan vyenye nyumba Kali Kama Hadi kwa yule mbunge wa sumve Kuna nyumba ya nyasi[emoji23]

Kanda ya ziwa nzima mkoa wenye vijiji vyenye maendeleo ni uhayani peke yake kwingine huko matembe na viota vitupu[emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] utakuwa umerogwa kabisa.

Huko kwa wasukuma Kuna vijiji gan vyenye nyumba Kali Kama Hadi kwa yule mbunge wa sumve Kuna nyumba ya nyasi[emoji23]

Kanda ya ziwa nzima mkoa wenye vijiji vyenye maendeleo ni uhayani peke yake kwingine huko matembe na viota vitupu[emoji23]
Hivi wewe unaakili ukitokea mwanza kwenda mpaka katoro ukipita vijiji vyote hivo huwa unaona kuna nyumba ya tembe kweli? Yaani nyinyi wahaya siku hizi hamna kitu mmebakiza sifa za kijinga tu! Hata mabasi ya kwenda huko kwenu mmeletewa na wachaga na wasukuma mpo tu kama mazombi!
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Kama na hii ramani imeandaliwa na NBS nina mashaka na takwimu zao hizi kuwa feki.
 
Hivi wewe unaakili ukitokea mwanza kwenda mpaka katoro ukipita vijiji vyote hivo huwa unaona kuna nyumba ya tembe kweli? Yaani nyinyi wahaya siku hizi hamna kitu mmebakiza sifa za kijinga tu! Hata mabasi ya kwenda huko kwenu mmeletewa na wachaga na wasukuma mpo tu kama mazombi!
Kubali wasukuma ni maskini na wako local sana, utajiri wa Wahaya ni halisi maana upo kwa wananchi ila huo wa kwenu upo kwa wazungu migodini
 
Kubali wasukuma ni maskini na wako local sana, utajiri wa Wahaya ni halisi maana upo kwa wananchi ila huo wa kwenu upo kwa wazungu migodini
Wahaya utajiri mtoe wapi? Sasa hivi wanyarwanda na waganda ndio wanawalisha na kuwapiga miti. Nilienda bukoba juzinimakuta wanaume wengi bukoba ni mashoga, wanapugwa miti na waganda ili wapate chakula.
 
Hata wawe wa kutoka Ulaya , mwisho wa siku wanafaidisha Mbeya.

Narudia kukwambia huko Usukumani madini hayajawahi wasaidia zaidi ya kugaidisha serikali na makampuni ya wazungu.

Mwisho toa takwimu za Simiyu uone aibu ya Mwanza Hapo.Bila kumega Songwe,GDP ya Mbeya ilikuwa unasoma 11,Juu ya Mwanza na hakuna Migodi hapo..

Hushangai makusanyo ya Jiji tuliwapiga? Utaishia kujilisha upepo wa sijui kijiji sijui nini sisi tunasonga Mbele.
Kwani Geita imemegwa kutokea wapi...?! na Simiyu je...?! Sema Simiyu sehemu kubwa imemegwa kutokea Shinyanga, Mwanza ni ule upande wa Lamadi...
 
Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo
We Mwanza unaichukulia poa? Mkoa una rasilimali nyingi Sana huo Viwanda,Dhahabu,watalii wa ziwani aka Sangara,Pamba na mengine kibao
 
Kanda yakusini ipo juu kimapato,ispokua ges ya kilwa yaani songas inaesabiwa ktk pato la dar na ya mtwara pia.wakati kanda ya ziwa pato la dhahabu nk linawekwa ktk mikoa husika
Yes,nakufaham mbwembwe za dar zinatokana na mapato ya mikoa mwingine.
 
Hivi wewe unaakili ukitokea mwanza kwenda mpaka katoro ukipita vijiji vyote hivo huwa unaona kuna nyumba ya tembe kweli? Yaani nyinyi wahaya siku hizi hamna kitu mmebakiza sifa za kijinga tu! Hata mabasi ya kwenda huko kwenu mmeletewa na wachaga na wasukuma mpo tu kama mazombi!
Labda wew unaongelea usukumani ya Norway sio ya Tanzania. Kuna nyumba za tembe na nyasi tupu. Hata hiyo katoro unayosifia ni slums tupu Kama manzese Haina hata hadhi ya mji.


Yaan uko usukumani Kuna umaskini wa kutisha. Hiyo njia naonaga wamama wanaendesha baiskeli na midumu ya maji halafu pakame kweli kweli.


Tena Kama ulikua hujui wahaya wa siku hiz ndo Bora kuliko hata wale wa zamani maana upeo na exposure imeongezeka Sana uhayani
 
Wahaya utajiri mtoe wapi? Sasa hivi wanyarwanda na waganda ndio wanawalisha na kuwapiga miti. Nilienda bukoba juzinimakuta wanaume wengi bukoba ni mashoga, wanapugwa miti na waganda ili wapate chakula.
Duu[emoji23][emoji23]. Wahaya na ushoga wap na wap.

Halafu wanasema ukiwa na interest na mashoga na wew unakuwa na traits za ushoga. Watu tumeishi bukoba miaka kibao hatujawahi ona huo upumbavu wew ndo siku moja uwaone.
 
Wahaya utajiri mtoe wapi? Sasa hivi wanyarwanda na waganda ndio wanawalisha na kuwapiga miti. Nilienda bukoba juzinimakuta wanaume wengi bukoba ni mashoga, wanapugwa miti na waganda ili wapate chakula.
Acha mbwembwe njoo mjifunze maisha ya kisasa kwa Wahaya sio mnakaa porini na ng'ombe mnapauka, Waganda wapo Bukoba wanafanya biashara maana hao ni ndugu zetu, Kampala ni karibu kuliko Mwanza
 
Duu[emoji23][emoji23]. Wahaya na ushoga wap na wap.

Halafu wanasema ukiwa na interest na mashoga na wew unakuwa na traits za ushoga. Watu tumeishi bukoba miaka kibao hatujawahi ona huo upumbavu wew ndo siku moja uwaone.
Jamaa anchekesha huyu [emoji23], pesa za migodi ya wazungu eti ni za wasukuma
 
Ndugu yangu punguza mbwembwe, mradi wa LNG Lindi utakua na thamani ya trion 70 au zaidi wakati GDP ya mwanza ni trion 10.95. Baada ya huo mradi kuanza sio kwamba mwanza itapitwa hata dar itasubir kwa Lindi. Bagamoyo Business Park(inakadiriwa na trion 20+) pwani itaizidi mwamza kwa GDP ikitokea bagamoyoBusiness park imeanza. Siku ukisikia Liganga na Mchuchuma imeanza tegemea kusikia mkoa mwingne umeipiku mwanza kwa GDP. Hayo nliyoasema yanaweza kutokea ndani ya miaka mitano kuanzia sasa na upepo ukabadilika hiyo mwanza unayoisema hata kwenye tatu bora inaweza isiwemo, kwa hiyo kua makini na kauli yako ya kua haitokaa itokee
Kama gdp ikiwa inakokotolewa hivyo basi Lindi utakuwa mkoa wa kwanza kwa mapato miaka yoteee.
 
Usukumani kuna umaskini wa kutisha, nyumba za tembe ziko kwa wingi kama ilivyo kwa Dodoma na sehemu zingine zenye hali duni ya maisha.

Ingekuwa busara hizi tarumbeta mnazopiga hapa mngezipiga kwenye takwimu za pato la mtu mmoja mmoja, hiyo ndio inayoakisi maendeleo halisi ya mahali. Adios
 
Acha mbwembwe njoo mjifunze maisha ya kisasa kwa Wahaya sio mnakaa porini na ng'ombe mnapauka, Waganda wapo Bukoba wanafanya biashara maana hao ni ndugu zetu, Kampala ni karibu kuliko Mwanza
Kwa hiyo waganda ni mhimu kuliko wasukuma? Yaani nyinyi mshabaki utaahiara tu hamna lolote kazi yenu umalaya basi!
 
Mwanza kuna mgodi gani?
Mwanza imebebwa na jiji, ila huko vijijini ni njaa tupu, anzia sengerema, kwimba, ukerewe n.k. Na kama jiji ndo limebeba mkoa usifikir ni wasukuma, wageni ndo wanaendesha jiji wasukuma wamebaki kuwa vibarua
 
Back
Top Bottom