Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Pato la kila Mkoa: Dar es Salaam yazidi kuongoza ikifuatiwa na Mwanza, Njombe na Katavi zashika mkia

Ipo pia Mwakitolyo Shy vijijini
Ndiyo Shinyanga ina utajiri wa dhahabu na Almasi.
Kama ulikuwa hujui Almasi inapatikana Mwadui Shinyanga, dhahabu IPO

Ndiyo Shinyanga ina rasiliamali nyingi snaa lakini bado haijanufaika nazo, kama hujui Shinyanga ina migodi Mingi snaa, mfano Alimasi inapatikana Mwadui Shinyanga pekeee, Dhahabu ipo Bulyankulu - kakola Shinyanga, dhahabu ipo pia Buzwagi Kahama Shinyanga, Dhahabu IPO pia mwa'bomba kahama Shinyanga nk
 
Nyie tulieni tu baada ya miaka kumi haya mashamba mtakuwa mmewauzia wasukuma. Chezea mangosha wewe.
Wasukuma wenzako sasahivi wamejaa huku Mtwara kama makuli kwenye korosho..

Kula yao inategemea Mmakonde aokote korosho.
 
Shinyanga namba 4?😬
Shinyanga kuna dhahabu ya kumwaga, nazani ndiyo inaongoza kwa dhahabu kwa Kanda ya ziwa, hasa wilaya yake ya kahama. Pia Ina madini mengi ya Almasi pale Mwadui, Mkoa wenye Almasi nyingi pekee ni shy hamna mkoa mwingine. Inatakiwa iongezee kabisa kwa pato. Pia wanalima pamba kwa wingi kama zao la kibiashara
 
Dodoma vipi?

Mwaka Kama iliongoza kwa makusa yo ya Kodi kuliko mikoa yote Tanzania.
Kuna makusanyo ya kodi/ushuru kwa maana ya halmshauri na kuna pato la mkoa mzima, fedha jumuishi za wananchi wote na siyo makusanyo.
 
Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk😂. Tanzania.

Kagera inazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya ndizi zote Tanzania.

Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.

Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara😂.

Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.

Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
Pia ni wateja wazuri wa CCM
 
Ofisi ya taifa ya takwimu imetoa pato la kila mkoa nchini Tanzania, mkoa wa Dar es salaam wazidi kuongoza ukifuatiwa na Mwanza.

Mikoa ya Katavi na Njombe imeshika mkia kwa kua na pato dogo sana ukilinganisha na mikoa mingine.

Kwenye kumi bora kanda ya ziwa imeingiza mikoa 3, Mwanza, Shinyanga na Geita kwa jumla ya Trilioni 25 sawa na mkoa wa Dar es Salaam.

Kanda ya kaskazini, pato la mikoa ya Arusha na Kilimanjaro ndio inafikia pato la mkoa wa Mwanza. Utajiri wa Arusha, Kilimanjaro na Tanga ni sawa na utajiri wa Mwanza na Shinyanga.

Kwa Takwimu za NBS, ukitoa Dar, kanda inayofuatia kwa utajiri ni anda ya ziwa, ikifuatiwa na Kaskazini huku Kusini kwa Lindi, Mtwara na jirani yao Pwani wakishika mkia.

Kanda ya nyanda za Juu kusini Mbeya inawabeba ila imezungukwa na mikoa choka mbaya kama Katavi na Njombe hivyo kuchangia kanda hiyo kuonekana ni choka mbaya mbavu za mbwa.

Watu wa Mara tukomae tuiondoe kilimanjaro ama Ruvuma hapo juu tuingie top 10.

====

Utajiri wa mikoa kwa kuangalia pato la mkoa husika.
1. Dar es Salaam Trilion 25.2
2. Mwanza Trilioni 10.95
3. Mbeya Trilioni 8.3
4. Shinyanga Trilioni 7.5
5. Morogoro Trilioni 7.1
6. Tanga Trilioni 6.96
7. Arusha T6.94
8. Geita T6.66
9. Kilimanjaro T6.62
10. Ruvuma Trilioni 5.6
View attachment 1969823
Ceteris perubus hongera kwa mkoa mdogo kama Kilimanjaro kukusanya trilion 6.6,
 
Tuna Ziwa, tunauza zaidi ya 90% ya samaki zinazouzwa nje ya nchi.

Tunauza zaidi ya 90% ya pamba inayozalishwa Tanzania, tunazalisha sisi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya dhahabu nje na ndani ya nchi.

Tunazalisha na kuuza 100% ya almasi ndani na nje ya nchi.

Tunazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya kahawa nje na ndani ya nchi.

Tuna Serengeti, ambayo inavutia zadi ya 80% ya watalii wanaoitembelea Tanzania kila mwaka. Serengeti ndio utalii wa Tanzania. Bila Serengeti wazungu Tanzania tungeishia kuwaona kwenye tv.

Hivyo kwa kuleta zaidi ya 80% ya watalii Tanzania, tunaingiza zaidi ya 80% ya mapato ya utalii Tanzania.

Mifugo, usisahau tunafuga na kuzalisha zaidi 50% ya mifugo na mazao yake kama ngozi, maziwa, pembe, mapumbu, nk😂. Tanzania.

Kagera inazalisha na kuuza zaidi ya 50% ya ndizi zote Tanzania.

Tuna wanaume jasiri kuliko wanaume wa makabila yote Tanzania, wako Mara.

Tuna wanawake warembo, weusi, walioumbika na wenye shape nawanaomwaga maji Tanzania nzima wako Kagera. Wanawake weupe warefu wa kisukuma na wanawake jasiri roho ngumu wa Mara😂.

Wanawake wa mara kwa ujasiri wanazidi wanaume wa mikoa ya pwani na Iringa.

Wife anaona ametoka bafuni na taulo tu hapa ameniita, narudi.
washamba wengi pia wanatoka kwenye hii kanda usisahau hata siku moja
 
Njombe ni ya pili au tatu kwa GDP per capita. GDP per capita ndio kipimo bora zaid kwa sababu hugawanya utajiri kwa mtu mmoja mmoja.
Ni kitu gani kinaifanya Njombe iwe na takwimu hizo? Au ni FIKRA zako baada ya kuvuta Bangi ya Kibena bila kula chakula?
 
Arusha na Kilimanjaro pamoja na kuwa sehemu ya watalii, madini lakini pato lao wanaburuzwa hivi hata na mwanza kama madini ya mwanza hata melelani ipo
Utalii ?
Umesahau janga la korona
 
Njombe ni ya pili au tatu kwa GDP per capita. GDP per capita ndio kipimo bora zaid kwa sababu hugawanya utajiri kwa mtu mmoja mmoja.
GDP per capita bado hakiwezi kuwa kipimo bora cha maisha bora na utajiri mfukoni wa watu wa mkoa husika..

Mfano,kama mkoa una migodi mikubwa yenye kutoa madini ya gharama na kuchangia GDP ya mkoa kwa zaidi ya asilimia 80,je GDP per capita itakuwa kipimo kizuri cha kujua utajiri au maisha bora ya watu wa huo mkoa?...jibu ni No.


GDP per capita ni GDP/population..bila kuangalia hiyo population inahusika vipi na hiyo GDP..
 
GDP per capita bado hakiwezi kuwa kipimo bora cha maisha bora na utajiri mfukoni wa watu wa mkoa husika..

Mfano,kama mkoa una migodi mikubwa yenye kutoa madini ya gharama na kuchangia GDP ya mkoa kwa zaidi ya asilimia 80,je GDP per capita itakuwa kipimo kizuri cha kujua utajiri au maisha bora ya watu wa huo mkoa?...jibu ni No.


GDP per capita ni GDP/population..bila kuangalia hiyo population inahusika vipi na hiyo GDP..
Inategemea sasa na nature ya shughuli za kiuchumi katika mikoa husika. Kwa mfano mikoa ya Geita na Shinyanga inawezekana kabisa halo ya wananchi ni maskini sana lakini kutokana na uwepo wa migodi mikubwa ya dhahabu,GDP lazima iwe kubwa lakini haitaakisi halo ya wananchi
 
Back
Top Bottom