Tanzania Umri elelezi yaani hata hiyo hamsini huenda siyo kweli, Wengi wanatumia Umri ulioandikwa kwenye cheti Cha ubatizoNimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?
Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza...