Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.

Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.

Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Hicho kitendo cha serikali kumuongezea mkataba mtu ili itafute replacement ambacho umekiita cha kawaida, sisi wasomi wa Human Resource Management tunaita ni Poor succession plan.
 
Nimeona kwenye msalaba 1953, hata hivyo ilibidi awe amestaafu.
 
Afadhali yeye..angalau alikuwa na impact zaidi.Unakumbuka yule engineer mrema alipopewa uCEO wa tanroads alivtoweka wachaga tupu na kuinfalte gharama za barabara kutoka Million700 kwa KM hadi 1.5 biklion harafu ubora hafifu
 
Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.

Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.

Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Alikuwa MKONO wa TATU wa Mungu Mtu
 
Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.

Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.

Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.
Alikuwa anapanda na daraja/cheo hiyo miaka 8? Tumechezewa kweri kweriiii
 
Mwizi uyo marehemu
Mwizi ndiyo lakini naye na kitabu chote kichwani bado alikuwa anapelekeshwa na Doctor Sifa aliyeunga unga sifa,tujiulize tu kama engineer unakubalije kwenda kuweka traffic lights vijijini ndani ndani huko ambako kwa siku hazipiti gari zaidi ya nane?

Hii ni shida ya wasomi wa Kitanzania kuendekeza matumbo badala ya taaluma zao hawa kina Musukuma wanapowaponda siyo kwa bahati mbaya wanaujua udhaifu wao ndo maana wanapayukwa tu maana hata wakiulizwa ushahidi wanajua upo.

Sent from my Redmi Note 5 using JamiiForums mobile app
 
Afadhali yeye..angalau alikuwa na impact zaidi.Unakumbuka yule engineer mrema alipopewa uCEO wa tanroads alivtoweka wachaga tupu na kuinfalte gharama za barabara kutoka Million700 kwa KM hadi 1.5 biklion harafu ubora hafifu
Hebu tulia uandike vizuri
 
Afadhali yeye..angalau alikuwa na impact zaidi.Unakumbuka yule engineer mrema alipopewa uCEO wa tanroads alivtoweka wachaga tupu na kuinfalte gharama za barabara kutoka Million700 kwa KM hadi 1.5 biklion harafu ubora hafifu
Yule hakuwa engineer bali alikuwa quantity surveyor!
 
Afadhali yeye..angalau alikuwa na impact zaidi.Unakumbuka yule engineer mrema alipopewa uCEO wa tanroads alivtoweka wachaga tupu na kuinfalte gharama za barabara kutoka Million700 kwa KM hadi 1.5 biklion harafu ubora hafifu
Hatukumbuki
 
Hicho kitendo cha serikali kumuongezea mkataba mtu ili itafute replacement ambacho umekiita cha kawaida, sisi wasomi wa Human Resource Management tunaita ni Poor succession plan.
Mtumishi mwenye uwezo wa kuendelea kulitumikia Taifa huweza kuongezewa muda lakini siyo kwa kuendelea kukalia kiti kama vile hakuna successor, huendelea na hupewa kazi maalum na huwa kama mshauri zaidi. Miaka nane sidhani kama kulikuwa hata na mpango wa kumpata successor. This was simply a corrupt arrangement.
 
Afadhali yeye..angalau alikuwa na impact zaidi.Unakumbuka yule engineer mrema alipopewa uCEO wa tanroads alivtoweka wachaga tupu na kuinfalte gharama za barabara kutoka Million700 kwa KM hadi 1.5 biklion harafu ubora hafifu
Yule alikua bure sifuri kabisa.
 
Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.

Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.

Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.

Mfugale alizaliwa mwaka 1953 na alipaswa kustaafu mwaka 2013 baada ya kutimiza umri wa miaka 60.
Suluhisho ni katiba kk itakayo toa nguvu kwa taasis na mifumo badala ya individual

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio Tanzania kama huipendi hamia nchi nyingine.
 
Nimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?

Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza.

Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu umri wa mtu kuwa mtumishi wa umma ?
 
Nimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?

Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza.

Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Ndio Maana Watanzania Wanataka KATIBA MPYA kwa Ajili ya Mambo haya haya mpaka Mtu kafia Ofisini
 
Nimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?

Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza.

Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Kazi imemkosea nini huyo dokta fauci hadi aipige?

Kamoooonn!
 
Back
Top Bottom