Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Mda mwingine jifunze kutoonyesha upumbavu wako hadharani.
 
Siyo chuki. Lazima kuwe na fair game kwa kila mtanzania!!! Wengine 60 wanatoka hata contract hupewi lakini wengine wanatesa hata wakifika 70 wanapeta tu. Asingekufa angeachia ngazi lini? Na vijana wengi wako mtaani hawana kazi , na wazee hawataki kung'atuka!!!! Si haki mkuu!!! Nchi yetu sote hii!!!
Unapewa contract kama ni kichwa. Si kila mtu ni wakupewa contract, wengine kusinzia tu maofisini. RIP
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
He was talented engineer,the state could not have let him go,
 
Wamemuacha babu wa watu mpaka kashfa ya ripoti ya Kichere imemuua, alipohojiwa presha ikapanda. Ila Kichere nae kaitoa kama ilivyo Tanroad wamelipa mikataba mara mbilimbili January to March 2021.
Hii huenda ndiyo sababu iliyomsepesha huyu swaiba wa Mwendazake.
 
Nimeona msalaba unasema amezaliwa 1953, wewe unasema 1950, tukuamini wewe tuamini ndugu walioandika msalaba?

Anyway, umri sio shida sana kama mtu bado ana nguvu na anajiweza.

Dr. Fauci wa Marekani ana miaka 81 na bado anapiga kazi kama kawaida. Alipewa ukurugenzi miaka 36 iliyopita na hajawahi kustaafu.
Never ever compare a poor underdeveloped country like URT with the USA kwa lolote like.
 
Huyo hakutaka Mwenyewe bali alilazimishwa kwa maslahi ya alomtuma.

Kwa ujumla "Mwendazake"(JPM) sio tu alikuwa mnafiki bali MCHAWI.
Wanasema amekufa akiwa na miaka 68; ni nani alimuongezea muda alipotimiza 60? Mwezi kama huu, miaka 8 iliyopita ilikuwa ni awamu gani?
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Acha kumletea Mfugale usiku wewe huoni aliyoyafanya madaraja yale wangekuja wachini kwa hela ndefu
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Alikua a nasubiria report maalun ya BOT ije imtoe roho kwa mstuko/stress
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Si umeshasema kanuni zinaruhusu.....
 
Back
Top Bottom