Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Kuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.

Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.

Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kazi.
Kafa bila kutumia mafao yake ya kustaafu maskini.
 
Tumuache apumzike?

Kwani tukiongea tunambebesha makaraii ya lami za mabarabara huko kuzimu?

Waafrika bana na maimani yetu ya kijima. Mtu kafa tunaambiwa tumwache apumzike.... tusimjadili
Wana matatizo ya akili hao watakuchosha bure
 
Tumia Elimu yako vizuri utafanya kazi hata ukiwa na miaka 90.
ukiona umestaafu na miaka 60 ukaa nyumban hautwi hata kufanya MENTOR tambuwa mchango wako ulikuwa mdogo .
Mwangalie Professor Lipumba
 
Tumia Elimu yako vizuri utafanya kazi hata ukiwa na miaka 90.
ukiona umestaafu na miaka 60 ukaa nyumban hautwi hata kufanya MENTOR tambuwa mchango wako ulikuwa mdogo .
Mwangalie Professor Lipumba
Utumishi wa umma una taratibu zake tofauti na private mkuu,private ni kama hakuna kustaafu,
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Hivi mkuu ulivoandika hivi ni kua humjui kabisa Mfugale? Huyu ndio mtu pekee wa karibu wa Hayati Mwenda labda kuliko hata Mama Jesca.

So kama alivo Hayati, huyu sheria zako hazi apply kwake.
 
Ni
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
ni 1953 sio 1950
Poleni wana familia
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Hata kama tukijadili na kujua tofauti na tunalolijua haitasaidia na wala hatarudi, tuelekezane ulipo msiba na ikibidi mtupe ratiba ili tushiriki misosi na makunywaji
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Ajira sio hisani, kama uwezo alikuwa nao kwanini asiongezewe mkataba?
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Tuna shida kubwa kuelewa

Mfugale hata angekus n 75 if he was fit.... Tungrmhitaji

Tofautisha umri wa tarishi na umri wa leader
 
Katika hali ya kawaida serikali inaweza kumuongezea muda wa utumishi serikalini mtumishi ye yote wakati ikijipanga kuandaa watumishi wengine wanaoweza kuchukua nafasi ya mtumishi anayestaafu. Kitendo cha Mhandisi Mfugale kuongezewa muda wa utumishi wa serikalini kwa muda usiojulikana hadi anafariki dunia ni dharau iliyopindukia kwa watumishi wengine wa TANROADS na kuna kila dalili za ufisadi na wizi wa fedha za umma kupitia TANROADS.

Haingii akilini kuwa hakuna Mtanzania mwingine ye yote ambaye angeshindwa kuchukua nafasi ya Mfugale baada ya kupata mafunzo stahiki! Kuna haja na sababu muhimu kufanyika kwa uchunguzi kwa nini Mfugale akaongezewa muda mrefu kiasi hicho. Aidha kuna haja ya kufanya uchunguzi kwa watumishi wote walioongezewa muda kupindukia uhusiano wao na watawala. Mfano mwingine wa mtumishi aliyeongezewa muda kupindukia ni marehemu Kijazi.

Uchunguzi huu ni muhimu na hasa kipindi hiki ambacho vijana wengi wanakosa ajira na hivyo kuwanyima fursa za kuonyesha vipaji vyao.

Mfugale alizaliwa mwaka 1953 na alipaswa kustaafu mwaka 2013 baada ya kutimiza umri wa miaka 60.
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhusu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Kuna Kazi kulingana na ufanisi wako na ubobezi inabidi wakushikiliye kwa muda, hili uendelee kuleta tija kwa taifa, nafikiri engineer Mufugale ndiyo engineer wa Kwanza kuweza kuleta tija kwa taifa kwa ujumla. Ukiangalia mtandao wa barabara, madaraja japo wapo maengineer wengi lakini hawakufikia kipaji cha Mufugale, kwenye nchi za watu wenye uelewa wa taaluma hizi hata ukifika miaka 100 Kama Unaweza deliver wanakuacha hili taifa liendelee kufaidi n talent yako.
 
Back
Top Bottom