The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Relax dada angu. Elewa kwanza mada na ujue Fauci amehusishwaje hapo.Peleka jukwaa la kimataifa...
hivi huko Marekani hakuna ma forum mengine mukamjadili Dr. Fauci na Wamarekani wenzenu ??????
mods ondoa huu uchafuzi wa mada hapa tafadhali...
Usikurupikie kila kitu mtoto mzuri kabla ya kuelewa mama angu utakuja kupigwa miti bila kujielewa.