Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Patrick Mfugale katika umri wa miaka 71 alikuwa anafanya nini ofisi ya umma?

Alikuwa muhimu sana wewe fikiria kadesign madaraja 1500 ya juu na ya chini. Huyo mtu unamuachaje?
Umuhimu wake unajulikana sasa kosa moja tu la kulipa mkandarasi mara mbili limemuua kwa msongo wa mawazo
Acheni chuki zenye ramli zenu hivi mnajua kikwete ni mkubwa kwa Lowassa sasa angalia muonekano wao
Lowassa hana amani ya moyo kwa ufisadi alioufanya
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
He!!! Ndiyo maana hawajaandika kuzaliwa!!! Kawaida taarifa ya kifo ikitanganzwa magazetini wanataja alizaliwa lini na mengine yanafuata. Huyu hawakuweka nikashangaa. Yaani kawaida wakubwa huwa wanawaacha watu walio na maslahi nao ili waendelee kufaidi. Tanroads ni almasi kama mtu siyo mwaminifu, hivyo wakubwa lazima waweke mtu wao hata akifika umri wa kistaafu watamwacha tu!!!!
 
Kuna wakati nilipomuona akiwa kazini anakagua mabarabara nilimuonea huruma kwa hali yake ya kiafya, nilijiuliza kwanini hapumzishwi au kwanini yeye haombi kupumzika? Maskini! hadi amefia kazini.

Hili ni fundisho pia kwa watumishi wengine wenye umri mkubwa au wana matatizo ya kiafya ni vyema wakaomba kustaafu kwa hiyari ili wapate muda wa kupumzisha miili yao kuliko kuifia kazini.

Kumbukeni kazi na afya, Afya yako/uhai wako ni muhimu sana kuliko kazi, ukifa leo kesho tunateua mwengine anashika nafasi yako.
wazee mnaotaka kuifia kazini pumzikeni, pisheni vijana nao wapige kazi.
Huyo hakutaka Mwenyewe bali alilazimishwa kwa maslahi ya alomtuma.

Kwa ujumla "Mwendazake"(JPM) sio tu alikuwa mnafiki bali MCHAWI.
 
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
Halafu walitupigia kelele sana kuwa watumishi wa umma tumefoji umri na ole wetu, fagio la chuma lingefuata. Na aliekuwa anatutahadharisha ni mzee kuliko umri wa kustaafu (Mkuchika)!!! Kumbe watu wao walikuwepo na waliwaacha!!! Hii si haki hata kidogo!!!!
 
Acheni chuki zenye ramli zenu hivi mnajua kikwete ni mkubwa kwa Lowassa sasa angalia muonekano wao
Siyo chuki. Lazima kuwe na fair game kwa kila mtanzania!!! Wengine 60 wanatoka hata contract hupewi lakini wengine wanatesa hata wakifika 70 wanapeta tu. Asingekufa angeachia ngazi lini? Na vijana wengi wako mtaani hawana kazi , na wazee hawataki kung'atuka!!!! Si haki mkuu!!! Nchi yetu sote hii!!!
 
Hahhaaaa
Umuhimu wake unajulikana sasa kosa moja tu la kulipa mkandarasi mara mbili limemuua kwa msongo wa mawazo

Lowassa hana amani ya moyo kwa ufisadi alioufanyaa
Halafu walitupigia kelele sana kuwa watumishi wa umma tumefoji umri na ole wetu, fagio la chuma lingefuata. Na aliekuwa anatutahadharisha ni mzee kuliko umri wa kustaafu (Mkuchika)!!! Kumbe watu wao walikuwepo na waliwaacha!!! Hii si haki hata kidogo!!!!
 
Any law has an exception in it mkuu /upo hapo ! Huwez kumtoa Mfugale kisa amefikia umri wa kustaafu na ukamweka kanjanja ili apige fedha za umma a big NO
Umri sahihi wa kustaafu utumushi wa umma ni miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima, japo kanuni zinaruhu kuendelea kutumikia umma kwa mkataba wa miaka miwili miwili, Mfugale hajawahi kustaafu na amekuwa akiongezewa mikataba juu kwa juu.

Madhara yake mnabana nafasi za ajira kwa wengine.

RIP Mfugale 1950-2021
 
Siyo chuki. Lazima kuwe na fair game kwa kila mtanzania!!! Wengine 60 wanatoka hata contract hupewi lakini wengine wanatesa hata wakifika 70 wanapeta tu. Asingekufa angeachia ngazi lini? Na vijana wengi wako mtaani hawana kazi , na wazee hawataki kung'atuka!!!! Si haki mkuu!!! Nchi yetu sote hii!!!
Kuajiliwa sio lazima ila kujiajili ni lazima na wajibu, huyu alikuwa adimu na adimu kweli we shall be equal as human so did Mabala say. Am happy he was such a good man
 
Alikuwa muhimu sana wewe fikiria kadesign madaraja 1500 ya juu na ya chini. Huyo mtu unamuachaje?
Kwani hawawezi kumtumia kama consultant, yaani unavuka miaka 60 bado unakalia ofisi ya umma kama Chief Executive....huo ndo uroho wa madaraka tunaosema, watu wa design hii unaweza kuta wanatumia hadi ndumba....
 
Back
Top Bottom