Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii habari ina ukweli ni nimeona page ya habari leo ni nikareta uzi hapa @moderate wakaufuta.Ungesubili upate ukweli ndo uandike !!
Na ndio maana alikuwa mwenyekiti wa ujenzi wa SGRCovid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
hawa ndio waliokuwa wanainjoy enzi za mwenda zake na kumshauri aendelee kukaza Praizi kwa watanzania. Wataisha. KarmaHabari zinazosambaa kwasasa ni hizo, ukweli upoje?
====
Mtendaji Mkuu wa Tanroads, Injinia Mfugale amefariki Jijini Doodma.
Mfugale jana aliondoka na ndege kiwa na Katibu Mkuu ujenzi kuelekea Dodoma kwa safari ya Kikazi
Amezidiwa leo saa tano asubuhi na kukimbizwa Hospitali ya Benjamin Mkapa ambapo ndipo Mauti umemfika muda mchache baada ya kufikishwa.
Tutaendekea kuwapasha kinachoendelea.
Apumzike kwa Aman
Naona wanapukutikaRIP
Sabasaba ihairishwe!
Wanapukutika kama majani ya mbuyu kiangaziFresh tu,Kila mtu atakufa
Hakika mimi nitakufa na wao watakufa.Covid ya tatu hiyo
Jamaa alikuwa mwizi sana na anajua ufisadi wote waliofanya na jiwe kwenye miradi..
Aende kunakostahili.
Alikuwaje?Kwa hali niliyokuwa namuona sishangai kufariki kwake. Mungu amjaalie kauli thabiti ana ampunguzie adhabu ya Kaburi. Hakika kwake tutarejea.
Anaishi kwenye hotuba?Namtafuta Mzee Mfugale kwenye hotuba za awamu ya sita simsikii, namtafuta kwenye vyombo vya habari simsikii tofauti na awamu iliyopita.
Je, amepotea na taaaluma yake yakudesign madaraja?
Sio corona third wave hiyo baba!?Kundi la Magu linaishia kaburini