Bukyanagandi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 11,061
- 16,753
Yeye alisha sepa siku nyingi kukimbilia kwenye makambi ya ya wakimbizi sijui waganga njaa huko Sweden.Nikiona tu uzi umeanzishwa na mkenya moja kwa moja nakumbuka yale maandamano ya kutaka ugali kutoka kwa bwana ruto. Najua hii thread imeanzishwa kwa msukumo wa njaa.