nicholasmari
JF-Expert Member
- Dec 28, 2024
- 630
- 583
Hilo lishamba? Be seriousMama umepigaje hapo? Zile timu 2 zitauawa kwadizaini hiyo. Yule wa Cuba pia anarudishwa chamani kuchukua nafasi ya ndugu marangi(kwa kiingereza marangi ni ma.....)
Pole sana kaka Gambo kumbe umeshtukia dakika za mwisho.
Makonda anajua kuendesha hisia za watu kwa namna atakavyo yeye, si unaona mpaka machalii kaweza kuwaweka kwapani.
Hovyo sana wewe.Daaah kweli we Mropoka Hovyo bora hata Mropokwaji Mropokwaji anajitambua...
Haya kanywe dawa zako mkuu!!
Bila shaka ulikua/ni mtoto ila hicho unachokisema ni kosa kisheriaWewe nimjinga kwasabubu Moja !!! Mbona Kutumia Jina lamtu mwingine inaruhusiwa tu!! Mfano anataka kuludia mtihani Kama anataka kuludia mtihani darasa la Saba naongelea Kwa maika ya zamani kidogo ulikuwa unaenda kwenyeshule nyingine unanunua Jina lamtu mfano darasa la SITA theni mwaka unaofata unapiga pepa Kwa kwajina lisilolako !!! Ukibahatika kufaulu Kwenda sekondari ukifika form2 Kuna option yakwenda kulikana mahakamani hilojina then unaendelea Kutumia majina Yako !!! Huo ulikuwa niutaratibu wakawaida kabisa :: ila sijui Kama kwasasa Bado upo!!!
Yeah nikweli niyawale watoto walioacha shulewale
Daaaah shida unaropoka ovyoHovyo sana wewe.
Utaratibu wa kawaida Waziri Mkuu anakuwa mbunge mwenye jimbo.😂😂😂toka ndoto...unaota ujinga uchafu... MAKONDA hawezi kuwa pm ever never ....hata mkewe awe Rais.