Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

Paul Kagame atuma ujumbe mzito kwa majirani zake

Blaza! Suala sio kununua silaha bali matumizi sahh ya silaha..majeshi ya sasa yanaendeshwaa kwa technology!! Jesh letu lazima lihakikishe technologia inatumika kama wanafanya hvyo itakuwa rahis kumkabl huyoo nyau wa rwandaa..la cvyoo tutapoteza vijana wetu wengi mnoo
Kila mwaka tunapeleka watu russia, cuba, china kwa kazi hiyo.
 
Nyooo!! Umnyonyoe na outdated missiles?? Brick breaker commandos!! Mfyuu you are dreaming my broda! The man is committed and his first target is here kama hujui! Subir..tena waswahil wenyewe wa pwan ndo wameshika injii..mfyuuu
Outdated missiles ganii unazungumzia? Kwani missiles ni silaha pekee ya ushindi?
 
Hii ni threat.

Aliongelea wishing a peace na hakuidadavua zaidi kama.alivyodadavua war...
Hajui kuku wa kienyeji siyo lazima kumnyonyoa Kwa kumchemshia maji ya moto, Bongo tutamnyonyoa bila kumloweka na maji ya baridi!
Wana kivita chao wenyewe personal kati ya Rwanda, Uganda, Burundi na DRC. Sisi tunawacheki tu!

Sadly, hao maraisi hawapendi front wanakaa majumbani na familia zao wakinywa mvinyo na asali, wanajeshi wanaoamishwa wanapigania nchi zao wanaoumia. Kumbe wanapigania kutajirisha mabosi zao!
 
The problem with this guy lies purely on his misplaced hubris and wrong optics among his neighbours. He feels he is the "ONLY one" "Mr Fixer" be it economically Politically and Militarily. Hence deceiving himself and his counrty as an indispensable force...
Kidhungu sasa, mercenary war lord for hire!

Na atakuwa anawashwawashwa maana mama kaenda huko huko Ufaransa!

Sasa hivi nchi zilizomzunguka zikiamua paap, tuipige Rwanda ndani nje nje ndani atabakia Nani?

Nchi nzima population Sawa na Mkuranga!
 
Kila mwaka tunapeleka watu russia, cuba, china kwa kazi hiyo.
Sampo ya majasusi wanaopelekwa na Rwanda kwenda kusomea Urusi na Israel [emoji23][emoji23] hawa ndio kagame anajivunia

mimi peke yangu kama raia tu nawajua majasusi zaidi ya 30 wa Rwanda na wapo ambao nimesoma nao

kwanza wanatabia ya kujiachia wakiwa nchi za ulaya masomoni na kutembea kwa makundi

baadae nitaweka tabia 5 kuu za kipekee za majasusi wa Rwanda [emoji16][emoji16]
IMG-20220217-WA0010.jpeg
IMG-20220217-WA0008.jpeg
IMG-20220217-WA0009.jpeg
IMG-20220217-WA0007.jpeg
IMG-20220217-WA0004.jpeg
IMG-20220217-WA0003.jpeg
IMG-20220217-WA0002.jpeg
IMG-20220217-WA0001.jpeg
 

Attachments

  • IMG-20220217-WA0002.jpeg
    IMG-20220217-WA0002.jpeg
    52.4 KB · Views: 10
Sawa kabisa silaha zao, zilikuwa za jadi, marungu, mapanga, mikuki,
Intelijensia, ya PK ni kwa ajili ya kuhakikisha yeye anabakia madarakani!
Hana intelligence zaidi ya hiyo!
 
Maneno mengi huyo...
wewe umesema ukweli,nimeisoma Historia ya EAc toka mwaka 2013 kiundani,Rwanda si lolote,watakuja hapa member wajidai kuisifu lakini ukisoma nyuzi zangu toka nimejiunga JF 2017 utaelewa nachosema.

Nimeandika personal accounts za watu wazito wa majeshi ya Rwand na Congo,Uganda
 
Vita tangu inaanza mpaka inaisha Japan hajawahi peleka pua yake kwenye ardhi yoyote ya Marekani alafu unakuja na porojo kuwa wangeshinda. Pearl Harbour iliwezekana kwa kuwa ni ambush hata Tanzania sahivi inaweza jitutumua ikashambulia Misri kwa kuanzia, ila kitakachofuata ndio kingine. Au wewe unaijua ile vita kuliko waandishi wa Japan wote, kama walikuwa wanajua kilichowashinda kushinda vita ni kipi?

Vita sio mpira kwamba refa kawaonea. Wamepigana miaka, Marekani alikuwa na ammunition stockpile mara 40 zaidi ya Japan, anaweza tengeneza meli nyingi zaidi ya zinazoharibiwa na Japan, kazamisha aircraft carriers nne zote za Japan kwenye battle of Midway na kuuza zaidi ya marubani 300 kwa siku hiyo, kazamisha battleships zote kina Mushashi, Yamato na Kuga. Yet hakuna aircraft carrier hata moja ya Marekani ilizamishwa. Marekani kaingia vitani mpaka anamaliza ametoa fighters types nne na Japan anazo Mitsubishi Zero zilezile alizoanza nazo.

Marekani hakushindwa battle yoyote dhidi ya Japan. In fact hao unaosema wanamlaumu Emperor Hiroito kutangaza kuacha vita ndio wanalaumiwa kuanzisha vita, waliona vita ikiisha msako unawafuata kuwakamata kwa war crimes especially in China and South Korea. They were bunch of hooligans, poor mindend people waliodhani wakifanya attack kwenye Pearl Harbor Marekani ataogopa aombe mkataba wa makubaliano. Na ndio haohao walijiua ya kunyongwa kwa war crimes. Walidhani Marekani ni kina Manchuria ya China
Nimekubali Brother, big up
 
Back
Top Bottom