Chief Sanze
JF-Expert Member
- Jun 13, 2014
- 1,668
- 3,736
Nasikia aliingizwa king akaacha kiherehere chake cha kujipendekeza kwa watu asiowajua,yeye alifikiri anamkomoa Kikwete kwa kufanya urafiki na adui yake.huyu wa kujichekesha
View attachment 3221203
magu alishafyata mkia, na yeye ndiye wa kwanza kusubmit kwa kagame hadi akazushiwa hadi walinzi wake walikuwa wanyarwanda. jiwe ndio alipoteza kabisa heshimana hadhi ya Tanzania mbele ya Rwanda, heshima ambayo kikwete aliijenga kwa nguvu sana.Huu mgogoro ilitakiwa umkute mzee baba Magu.
Sijui ingekuaje hiiiiiiiiiiiii bhagooosha
Uzushi!!!magu alishafyata mkia, na yeye ndiye wa kwanza kusubmit kwa kagame hadi akazushiwa hadi walinzi wake walikuwa wanyarwanda. jiwe ndio alipoteza kabisa heshimana hadhi ya Tanzania mbele ya Rwanda, heshima ambayo kikwete aliijenga kwa nguvu sana.
Fact mkuu.Binadamu tunatakiwa kuwa humble sana tunapokuwa na mafanikio.
Kwa kuhatarisha nchi ya wengine?Lakini anachosema huyu Mzee anatetea maslahi ya Nchi yake na hii ndio wajibu wake.
Nenda katengeneze kama unao uwezoNchi za SADC zinafeli wapi?
Huyu ni wakumtegenezea makundi ya waasi huko kwake ili awe busy na yanayomhusu!
Lt.Gen Nyamwasa na Wanyarwanda walioko uhamishoni wawezeshwe silaha na mafunzo kama enzi za FRELIMO waingie mzigoni.
ChaiNasikia aliingizwa king akaacha kiherehere chake cha kujipendekeza kwa watu asiowajua,yeye alifikiri anamkomoa Kikwete kwa kufanya urafiki na adui yake.
Acha kulialia mfuate ukampigeHuyu anajitekenya na kucheka mwenyewe na wafuasi wake ambao hawana akili MAZOMBIE ndo wanaelewa utopolo wake.
Kinachonitisha sio kuanguka kwa Kagame Ila Rwanda itaendeleaje ikiwa tension baina ya watusi na wahutu haijaisha. Na Kagame ni kama uzi mwembamba sana ulioshikilia Rwanda.. Sijui huo uzi ukikatika patakalika kama hakuna strong systemhuyu jamaa anawashika wajinga wajinga ambao wanafall kwenye hizo PROPAGANDA ZAKE.
ANAKWAMBIA KAMA YEYE MBAYA MBONA WEST WANAMPA SUPPORT🤣🤣🤣🤣HUYU AJUI KAMA ANATUMIKA KAMA TOILET PAPER ANAJIONA YEYE SPECIAL😇
Mimi naona wanamchelewesha tu huyu, ngoja nimfuate.Hotuba hii ambavyo iko live sasa haijulikani ni ya lini hasa lakini ni ya hivi karibuni. Akiongea na Waandishi wa habari wa kitaifa na kimataifa.
For protection of our small Nation I do not need some body's permision, I have said it and i am saying on Day broadlight.
If anybody attemps.....aah!
Generali Kagame anasema who is the incharge of This World? does what?
Kwenye mkutano wake na waandishi wa Habari anadai Rwanda haihawahi kamwe kujihusisha na uanzishwaji wa migogoro ndani ya Congo, ingawa kwa muda mrefu watu wamekuwa wakiifanya vita hii kama matatizo ya Rwanda.
Rais huyu Mtabe wa Rwanda anadai kuwa ameshutumiwa kuwa Cruel, Tyrant and Blood Thirsty, anasema hakuna anayeweza kuwa mbaya kiasi hiki na hakuna namna ya kujificha. Na kama ningekuwa mtu wa namna hiyo kama watu wanavyosema badi ningepoteza mvuto kwa watu na hata kwa jamii za kimataifa.
Kama kuna mtu anaweza kuturudisha kwenye nyakati za miaka 30 iliyopita, then we have nothing to loose, we will fight like people have nothing to loose, and some body will pay the price other than ourselves.
" Ntimutinye ibhitumbalaye" akiwapa moyo watu wa Taifa lake. Sijafahamu maana ya msemo huu.
Hut We do not provoke any situation and actually we have been ignoring who provoke us from south, East and West as long as they has not crossed a certain line.
RL unfurl="true" media="youtube:kbiXG_D4SF0"]
View: https://www.youtube.com/live/kbiXG_D4SF0?si=M-YLrPb3eG9K2JW2[/URL]
Naam.Huyo ndio rais
Mi najiulizaga why hakujaga kwenye msiba wake?Nasikia aliingizwa king akaacha kiherehere chake cha kujipendekeza kwa watu asiowajua,yeye alifikiri anamkomoa Kikwete kwa kufanya urafiki na adui yake.
Iiih , uzushi ni laana kabisa !Uzushi!!!
Hakuna credibility kwenye uzushi.
TULIA WEWE TUTAWADEPORT UPYA KAMA KIPINDI KILE 2012🤣🤣🤣Acha kulialia mfuate ukampige
Jiwe alikuwa chawa wa Kagame, bora useme Kikwete.Huu mgogoro ilitakiwa umkute mzee baba Magu.
Sijui ingekuaje hiiiiiiiiiiiii bhagooosha
Dogo kakojoe ulale pumbavu.Unakaa chini kabisa unaandika utoko kama huu.You stupid useless headless chicken😀.Yaani umekuwa mshabiki kiasi kwamba your BRAIN HAS GONE INTO COMA,POOR YOU!!!Siyo kwamba hataki kuaachia madaraka Bali wananchi zaidi ya 90%wanataka aendelee kiutawala.Tungepata kiongozi kama kagame,Tanzania yetu ingeng'ara kama nchi za wenzetu vinavyong'ara.Siyo ule upuuzi wa kuuza maliasili Hivyo
He is really damn bold.Aisee jamaa ni Boldman.