MoseKing
JF-Expert Member
- Jul 5, 2017
- 4,928
- 8,976
Vetting Bongo!!!!Kuna mambo hii nchi yetu inaweza kuwa imelala..ila sio kila jambo.
Kuwa tu Incharge kwenye Hospitali zetu kubwa mfano JKCI kuna vetting ya hatari inapitishwa..itakuja kuwa Wizara ya ulinzi?.
Na jambo jingine Waziri pale WU anampelekea tu Rais maombi ya Jeshi na bajeti zao..hakuna lingine la maana analoweza kuingilia na kuinfluence lifanyike kama Jeshi halitaki.
Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!
Mungu amlaani huyo jamaa agongwe na gari afe na kila alichochukua kirudi eeh mungu unajua sisi tunaziweka nchi za jirani katika hali nzuri kwa mamlaka yako zitulie halafu linyanga'u fulani linasaliti daah mungu yupo nasi na yupo na jeshi letu.
Takataka kabisa