Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Mungu ampe maisha marefu na Afya njema Rais Paul Kagame ili aendelee kulinda Watu wake.

Maadui wamekuwa wengi wanatakiwa waonyeshwe cha Mtema kuni.
 
..Fdlr sio tishio kwa Rwanda kwani wamezeeka na walisambaratishwa kitambo.

..Rwanda na Uganda lengo lao kuu ni kuinyonya Drc.
Weakened but not destroyed....

Japo hawana nguvu ila uwepo wao huko umekuwa chanzo cha mgogoro huko Kivu....sio kitisho kwa Rwanda ila ni kitisho kwa amani ya raia wa kivu.
imhotep mtu chake zitto junior
 
Weakened but not destroyed....

Japo hawana nguvu ila uwepo wao huko umekuwa chanzo cha mgogoro huko Kivu....sio kitisho kwa Rwanda ila ni kitisho kwa amani ya raia wa kivu.
imhotep mtu chake zitto junior
Ni kitisho kwa Raia wa Kivu wenye asili ya Kitutsi ndio maana wameanzisha Resistace force ya M23 kwa sababu Jeshi la Congo linawasapoti Inerahamwe.
 
Weakened but not destroyed....

Japo hawana nguvu ila uwepo wao huko umekuwa chanzo cha mgogoro huko Kivu....sio kitisho kwa Rwanda ila ni kitisho kwa amani ya raia wa kivu.
imhotep mtu chake zitto junior

..they are not a factor, or a threat to security in Rwanda

..Rwanda alishavamia Drc 1999 na kukalia eneo kubwa la nchi na waliuwa wakimbizi wengi sana wa Kihutu.

..Kwa ujumla Rwanda walifanya genocide ya Wahutu walipoingia na kukalia Drc. Sasa hiyo genocide haikutosha kuwamaliza Fdlr?
 
..they are not a factor, or a threat to security in Rwanda

..Rwanda alishavamia Drc 1999 na kukalia eneo kubwa la nchi na waliuwa wakimbizi wengi sana wa Kihutu.

..Kwa ujumla Rwanda walifanya genocide ya Wahutu walipoingia na kukalia Drc. Sasa hiyo genocide haikutosha kuwamaliza Fdlr?
Fdlr wanadai sababu ya wao kuendelea kubaki huko Drc ni kuwalinda masalia ya wakimbizi wa Kihutu wasiuawe na majeshi ya Kagame...

Ila uwepo wao huko umegeuka mateso kwa Drc, bora warudi tu kwao kwa njia nyingine kama kuwashawishi kidiplomasia maana kuwamaliza kwa nguvu kunaonekana kufeli.....isitoshe kwa Sasa Fdlr wana ushirikiano na makundi mengine ya waasi wa maimai hivyo kuwashinda kijeshi tu sio rahisi sana Sana watajichanganya na wenyeji au kujificha.
zitto junior mtu chake
 
Rwanda alishavamia Drc 1999 na kukalia eneo kubwa la nchi na waliuwa wakimbizi wengi sana wa Kihutu.
Rwanda walikuwa na sababu ya kuivamia DRC, Interahamwe na Jeshi la zamani la Rwanda waliingia DRC, na Jeshi la Mobutu halikuwanyang'anya Silaha, kama sheria za Kimataifa zinavyotaka.

Walibaki na Silaha zao, chini ya uangalizi wa Jeshi la Mobutu, ambae alikuwa Mshirika mkubwa wa Serikali ya zamani ya Rwanda, na Mobutu alituma Majeshi kwenda kupigana bega kwa bega dhidi ya RPF.

Kagame akaona Kongo imetake sides kwenye hiyo conflict

Isitoshe Interahamwe wakaanza kuwaua Watutsi wa DRC huku Gavana wa Kivu akiwaunga mkono.

Kagame hakuingia DRC kwa hiyari yake alikuwa anajihami

Ila hilo swala la Hutu Genocide halina ushahidi na kama unao hebu uwdke hapa.
 
Kama kamtisha Rutto basi nasikitika kusema Kagame ataondoka madarakani na Rwanda utakuwa mkoa wa Kenya.

Rutto anaonekana kama padri lakini ni moja ya watu wenye mioyo ya chuma kupigania anachoamini.

Tusidanyike humu na maneno ya vijiweni Rwanda is overrated na haina uwezo wa kupigana na Kenya
Kagame kasaidia kuleta Amani Rwanda.

Lakini ajue ili Amani iendelee Rwanda, ili abaki madarakani asilewe na madaraka. Ashirikiane na upinzani (wahutu), na nchi jirani.

Hawezi kushinda vita yoyote na Tanzania, Kenya, Uganda wala hata DRC yote. Level yake itakuwa Burundi Ila hata Burundi ,TZ itawasaidia.

Uwezo wake utakuwa ugaidi, uhujumu, Vita vya msituni (Gorilla war). Nothing more.
 
Mimi sijui kwa nini nna imani kubwa sana na nchi yangu ya Tanzania. Naamini malalamiko ya wananchi huwa hayakosi kwenye nchi yoyote ile iwe Tajir au maskini. Lakini kwenye ishu ya usalama wa nchi, ni kitu ambacho hakuna nchi inalala usingizi.
Ukiangalia sana, katika ukanda wa Afrika mashariki, ni Tanzania tu ambayo haijigambi kabisa kuhusu jeshi lake, ipo kimya sana as if hakuna kinachoendelea kwenye majeshi yetu.
Sasa kwa ukimya huo, nchi nyingine zisichukulie poa sana. Tz ipo vizuri zaidi ya tuijuavyo.
Kama hotuba ya jamaa ilichomekwa kwa kiswahili, inaamana TZ pia ilikua ni target kwa sababu ingeishia kwenye English, basi tungejua anawalenga Kenya, Congo na Uganda na nchi nyingine zinazoweka English mbele.
Kiswahili ilikua kwa ajili yetu! Lakini hatujalala. Tangu 1978 tunatambua umuhimu wa kuimalisha usalama eneo lote la kaskazini Magharibi na Magharibi kwa ujumla.
Ninachoishauri EAC washughulikie huo mgogoro kwa kidoplamasia zaidi ,na kwa umakini mkubwa , mtutu haujawahi kuleta suluhu yoyote Duniani kabisa..
 
Fdlr wanadai sababu ya wao kuendelea kubaki huko Drc ni kuwalinda masalia ya wakimbizi wa Kihutu wasiuawe na majeshi ya Kagame...

Ila uwepo wao huko umegeuka mateso kwa Drc, bora warudi tu kwao kwa njia nyingine kama kuwashawishi kidiplomasia maana kuwamaliza kwa nguvu kunaonekana kufeli.....isitoshe kwa Sasa Fdlr wana ushirikiano na makundi mengine ya waasi wa maimai hivyo kuwashinda kijeshi tu sio rahisi sana Sana watajichanganya na wenyeji au kujificha.
zitto junior mtu chake

..baada ya genocide ya Wahutu, iliyotekelezwa na Rwanda walipovamia Drc, Fdlr wamekuwa sio tishio tena.
 
Rwanda walikuwa na sababu ya kuivamia DRC, Interahamwe na Jeshi la zamani la Rwanda waliingia DRC, na Jeshi la Mobutu halikuwanyang'anya Silaha, kama sheria za Kimataifa zinavyotaka.

Walibaki na Silaha zao, chini ya uangalizi wa Jeshi la Mobutu, ambae alikuwa Mshirika mkubwa wa Serikali ya zamani ya Rwanda, na Mobutu alituma Majeshi kwenda kupigana bega kwa bega dhidi ya RPF.

Kagame akaona Kongo imetake sides kwenye hiyo conflict

Isitoshe Interahamwe wakaanza kuwaua Watutsi wa DRC huku Gavana wa Kivu akiwaunga mkono.

Kagame hakuingia DRC kwa hiyari yake alikuwa anajihami

Ila hilo swala la Hutu Genocide halina ushahidi na kama unao hebu uwdke hapa.
..soma hapa.

 
Rwanda walikuwa na sababu ya kuivamia DRC, Interahamwe na Jeshi la zamani la Rwanda waliingia DRC, na Jeshi la Mobutu halikuwanyang'anya Silaha, kama sheria za Kimataifa zinavyotaka.

Walibaki na Silaha zao, chini ya uangalizi wa Jeshi la Mobutu, ambae alikuwa Mshirika mkubwa wa Serikali ya zamani ya Rwanda, na Mobutu alituma Majeshi kwenda kupigana bega kwa bega dhidi ya RPF.

Kagame akaona Kongo imetake sides kwenye hiyo conflict

Isitoshe Interahamwe wakaanza kuwaua Watutsi wa DRC huku Gavana wa Kivu akiwaunga mkono.

Kagame hakuingia DRC kwa hiyari yake alikuwa anajihami

Ila hilo swala la Hutu Genocide halina ushahidi na kama unao hebu uwdke hapa.
..soma hapa.

 
Back
Top Bottom