ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Sio wengi ni wapuuzi, machawa, wachache wanaotetea matumbo yao. Ila wanapiga kelele sana.Watanzania wengi tumekuwa waimba pambio za watawala, unaimba sauti ya ngapi Mkuu?
Hawaongelei maji, umeme, ajali, ndege kuchukuliwa, Loliondo kuibiwa, mfumuko wa bei.