kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,097
- 7,199
Kikosi kimoja tu cha JW kinatosha kuendesha operesheni ya kumuondoa dikteta kagame na akakimbia nchi ndani ya siku 7
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hukimbilia Uganda na Rwanda ndio Nchi zilizo karibu yao.Kwanini wakipigwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi mara kwa mara badala ya kukamatwa?
Bado wanataka hivyo. Haajanza sababu wanasheria huru wameikomalia serikali.Kuna wakati UK walitaka wahamiaji haramu wote wa Afrika huno UK wakatupwe kwemye makambi Rwanda kwa malipo maalum, jamaa ni snitch hasa!
tena angejua this time anapigwa huku anatazamwa usoniKama kuna atakayelia basi ni huyo huyo mtoa vitisho.
mtu chake Moronight walker zitto junior
T14 Armata
Westgate pale KDF walivamia wakajikuta wanashoot whatever on site wakiwemo GSU/Recce squad commandoes!!Sijajua jeshi lipi liliua GSU au kipi hicho unapambania, ila elimu yangu iko pale kwamba mpambano wa baina ya nchi ni tofauti, jifunze na kinachowakuta Warusi kule Ukraine.
Kwanini alitumia ajira kwenye kampeni zake kulaghai vijana akijua kabisa uwezo huo hana?Unaujua uwezo wa serikali wa kuajiri?
Mkuu, Mali za Congo zinaibiwa kwa mkono wa kusababisha conflict kule congo, inapotokea conflit kama ile serikali inakuwa wanaangalia sana, kumaliza shida ya vita na si vitu vingine.Mbona manguruwe wao wanavuna Ila hamuongei ama monkey mwenzako akikula unaumia. Yaani bana nyie ndio mkiwaga matajiri mnanufaisha watu wa nje huku ndugu zako wakiwa hawapati hata kumi yako. Mbona hao manguruwe ngozi wananufaika na wanaiba mno huko.
Sina neno la kutia. Ina utajiri wa dola trillion ngapi ,duu yaani afrika kweli sie Ni matajiri kinyama yaani hata wazungu maisha waliyo nayo wakiiba Mali zetu. Ni sawa na ufaransa Ina hifadhi kubwa ya gold Ila Mali inakotoka gold Ni ndogo ama hakuna kabisa. Ni sawa uk Wana madini waliyoiba Tanganyika. Pia imejengwa kwa kuwatumikisha waafrika Kama manamba ama watumwa.Mkuu, Mali za Congo zinaibiwa kwa mkono wa kusababisha conflict kule congo, inapotokea conflit kama ile serikali inakuwa wanaangalia sana, kumaliza shida ya vita na si vitu vingine.
View attachment 2434381
Hicho ninkitabu alichoandika
Professor yaa lengi ngemi
Ambaye ni
View attachment 2434382View attachment 2434383
Kamyafute YouTube umsikilize ni mcongo..
Utaona jinsi kagame kagame alivyotumiwa na manguruwe haohao kusababisha conflict hio kwa ajili ya ardhi ya congo.
Mkuu hapa tunaongelea nchi ya congo yenye rasilimali za thamani zaidi ya 24 Trillion dollars.
Angalia hii conflit inatokea UPANDE gani mwa congo na congo huo UPANDE kuna nini.
Conflict ipo eastern congo na ndiko kwenye rasilimali nyingi sana hivyo vikundi havitoki huko viko hapo hapo, why.
Na hata second congo war ilipaganiwa eastern congo kati ya rwanda na Angola, havikuenda kwengine.
Kwani Tanzania kuna democrasia mkuu?Sasa imekuaje Tanzanite kutoroshwa chini ya ukuta ambao jeshi lenyewe limeujenga?! Hivi si juzi tu tumepigwa ambush huko Msumbiji? Usiwe na confidence sana na majeshi ya nchi za kifisadi ukute hata manunuzi ya silaha watu wanakula Hela tu!!
Ndio maana PK kasema vita dhidi yake Ina value for money..... Yaani inakuzamisha kiuchumi kwa Kila Senti unayowekeza kwenye uwanja wa vita. Haya madikteta huwa yanajihami vilivyo same to Museveni ila Kwa nchi za kidemokrasia huwa masuala ya ulinzi sio top priority so you can be shocked my friend.
CCM sijawahi kuiamini kwenye chochote, kama ndege tu inazama masaa 4 na JWTZ wanasubiri wavuvi waokoe watu ndio tutaweza kuhimili ambush za Kagame?
DUUUU AISEEE😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬😬🤥🤥Nimegundua humu ndani wanyarwanda ni wengi mnooo akina MALCOM LUMUMBA zitto junior imhotep and the likes halaf wengi wao ni CHADEMA wenzangu.
Ndio maana ccm wanatupiga pini daily wanajua fika hiz mbwa koko zikiingia tu whitehouse nchi ishauzwa
Mkuu kumbe hata Iddi amini dada, Gaddafi, Saddam hussen, president abacha, na president Mabutu seseseko kumbe walikuwa na majeshi makubwa pia, au maana waliondolewa kwa aibu kubwa sana.Sasa imekuaje Tanzanite kutoroshwa chini ya ukuta ambao jeshi lenyewe limeujenga?! Hivi si juzi tu tumepigwa ambush huko Msumbiji? Usiwe na confidence sana na majeshi ya nchi za kifisadi ukute hata manunuzi ya silaha watu wanakula Hela tu!!
Ndio maana PK kasema vita dhidi yake Ina value for money..... Yaani inakuzamisha kiuchumi kwa Kila Senti unayowekeza kwenye uwanja wa vita. Haya madikteta huwa yanajihami vilivyo same to Museveni ila Kwa nchi za kidemokrasia huwa masuala ya ulinzi sio top priority so you can be shocked my friend.
CCM sijawahi kuiamini kwenye chochote, kama ndege tu inazama masaa 4 na JWTZ wanasubiri wavuvi waokoe watu ndio tutaweza kuhimili ambush za Kagame?
Yaani Kama Ni kweli Basi haka kazee Ni ka kumaliza kabisa.yaani kabila moja lisumbue makabila mengi ivyo jamani. Yaani yeye hauoni nguruwe wanapendana wanashirikiana na wanateteana Ila Sasa ukija kwa sie sokwe shida mno.Tulitegemea awe sehemu ya kuwatetea wa Afrika wenzake dhidi ya hao nguruwe, na sio kutumika na manguruwe
Mkuu m23 asilimia kubwa ni RDF wanakufa mpaka makanali huko.Kwanini wakipigwa wanakimbilia Rwanda na kupewa hifadhi mara kwa mara badala ya kukamatwa?
Halafu hawakamatwi na kusalimishwa kwa mamlaka za kimataifa, badala yake wanakimgiwa kifua na kupewa nguvu upya ya kuridi kufanya uasiHukimbilia Uganda na Rwanda ndio Nchi zilizo karibu yao.
Hahahaha, na wanajua ku squit washezny hawa 🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanawadekeza hao katerero squirter. Hapo ni kubamiza tuu
Kwasababu wao ni Victims wa Bantu aggression.Halafu hawakamatwi na kusalimishwa kwa mamlaka za kimataifa
Unajuaje kama hatuko bize usituchukulie poaTatizo mnashinda mitandaoni badala ya kuwa busy
Westgate pale KDF walivamia wakajikuta wanashoot whatever on site wakiwemo GSU/Recce squad commandoes!!
Ndio nakuuliza kama pale hamkuogopa friendly fire sembuse muogope friendly fire huko Trans Mara au Kapedo au suguta valley!!
Urusi na Ukraine imekuaje? Context hazifanani kabisa..... nyie mmefeli internal wars ila mtaweza vita nchi nyingine. Ukraine wanapigana defensive war unless wangevamia Russia ndio mfano wako ungekua na context sawa.