Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Naendelea kukuelimisha kwamba migogoro ya baina ya nchi ni tofauti na malumbano ya ndani ya nchi, kawaida ndani ya nchi inakubidi uwe makini usiwaue watu wako, ila kule nje ni fulu makombora maana unambana na watu wasiokua na huruma kama hawa hapa Msumbiji: Inasemekana Magaidi wamevamia Msafara wa Wanajeshi wa Tanzania na Lesotho
Hahahhaha hiyo ni ambush mkuu Tena kwenye foreign land it's understandable. Ila nyie mko kwenu kwenye familiar ground alafu mnatandikwa ni aibu kwa kweli, imagine mpaka Nairobi kabisa mnakaangwa na magaidi!!

Mna jeshi dhaifu sana huo ndio ukweli hata kuweka usalama Samburu tu hamuwezi ndio sembuse Goma?? Narudia mnachokitafuta mtakipata
 
Hahahhaha hiyo ni ambush mkuu Tena kwenye foreign land it's understandable. Ila nyie mko kwenu kwenye familiar ground alafu mnatandikwa ni aibu kwa kweli, imagine mpaka Nairobi kabisa mnakaangwa na magaidi!!

Mna jeshi dhaifu sana huo ndio ukweli hata kuweka usalama Samburu tu hamuwezi ndio sembuse Goma?? Narudia mnachokitafuta mtakipata

Ndio taswira ya vita nje ya nchi, unapambana na watu wasiokua na huruma, ila mpambano wa ndani lazima uwe makini kuepuka kufanya genocide kwa watu wako.
 
Ndio taswira ya vita nje ya nchi, unapambana na watu wasiokua na huruma, ila mpambano wa ndani lazima uwe makini kuepuka kufanya genocide kwa watu wako.
Sasa kivipi Tena Jeshi lenu likaua GSUs/Recce squad or whatever you call them? Kama mlikua tayari kuuana wenyewe badala ya magaidi Nini kiwashinde kuua wezi wa mifugo na wanajulikana?

Nchi yenu Ina ufisadi mwingi mbaya zaidi mmechagua Rais Fisadi don't expect mtaweza kushinda lolote serious kwenye uwanja wa vita. In fact a divided nation kama yenu hata PK akitaka kuinflitrate hatumii nguvu!!

Hapo Bado njaaa hata chakula hamna sembuse mpigane si ndio mtakufa kama nzige!!! Hizi mambo achieni big boys UG na TZ but Kenya is a non-starter.
 
Jamaa anajiamini na kanchi kake kadogo,nani anampa kiburi? Asubiri kichapo cha Amin wa Uganda.
 
Sasa kivipi Tena Jeshi lenu likaua GSUs/Recce squad or whatever you call them? Kama mlikua tayari kuuana wenyewe badala ya magaidi Nini kiwashinde kuua wezi wa mifugo na wanajulikana?

Nchi yenu Ina ufisadi mwingi mbaya zaidi mmechagua Rais Fisadi don't expect mtaweza kushinda lolote serious kwenye uwanja wa vita. In fact a divided nation kama yenu hata PK akitaka kuinflitrate hatumii nguvu!!

Hapo Bado njaaa hata chakula hamna sembuse mpigane si ndio mtakufa kama nzige!!! Hizi mambo achieni big boys UG na TZ but Kenya is a non-starter.

Sijajua jeshi lipi liliua GSU au kipi hicho unapambania, ila elimu yangu iko pale kwamba mpambano wa baina ya nchi ni tofauti, jifunze na kinachowakuta Warusi kule Ukraine.
 
Tupo busy kubrainwash vijana na kuendelea kuwa chawa wa viongozi, tuko busy kuendelea kuongeza workforce pumbavu inayowaza siasa, tuko busy kufanya vijana wawe tegemezi wa baba zao wezi waliokwenye system.. We paralysized kila mahala na maadui wetu wanafuatilia nyendo zetu kila siku ili siku ikifika watuslave
napata shida sana kuacha kurudia hiki ulichoandika huo ndio ukweli vijana wametengenezewa mahitaji na wao wakakubali kuwa maisha ni leo na wasiwaze kesho tusipokuwa makini wengi hawatafika 60 na baada ya hapo kitakuwepo kizazi kisicho na akili kitakachotawaliwa kirahisi.
watawala wanafikiri kuwa na watu wajinga ni faida na mtaji wa maana kwao hawaelewi mwisho wa siku nao ni wajinga na tutatawaliwa wote.
 
Silaha kubwa ya Tanzania juu ya majirani ni umoja, hatuna ukabila, udini, tunazungumza lugha moja(swahili), jirani zetu wana chokochoko za kikabila, siasa, kiuongozi, hii ni silaha ambayo Rwanda, Kenya, wala Uganda hawana.
 
Magufuli (rip) aliyekuwa anatuhimiza kufanya kazi kwa bidii hayupo, sasa kwa nini tusishinde mitandaoni? Enzi za kuuza ngada na kujikusanyia mipesa na kushinda vijiweni zimerudi, wewe unataka tuwe bize na nini tena?
Sasa na wewe kwanini usitumie fursa unayodai ya kujikisanyia pesa mitaani kama ni rahisi hivyo.
 
Magufuli (rip) aliyekuwa anatuhimiza kufanya kazi kwa bidii hayupo, sasa kwa nini tusishinde mitandaoni? Enzi za kuuza ngada na kujikusanyia mipesa na kushinda vijiweni zimerudi, wewe unataka tuwe bize na nini tena?
Unategemea Magufuli akuhimize kufanya kazi wakati akili unazo mwenyewe.

Kwamba Magufuli asipokusisitiza kufanya kazi wewe huwezi kufanya kazi?

Mbona sisi tunaendelea kufanya kazi miaka yote tangu tuanze kujitegemea.
 
Back
Top Bottom