Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Vetting Bongo!!!!

Takataka kabisa
 
Vitisho hivyo hivyo,
Maneno mengi, hakuna lolote we unafikili kenya wakipeka askari 30k na equipment zao kule congo zitatoka nini .
 
Huyu jamaa ilikuwa 2013 , hakukimbia walimuua kinywa kinywa, waliogopa familia yake watamtafuta , ni ile ishu, kugombana na kikwete.
 
DRC Hawaii tayari kuanzisha vita coz wenyewe wanajua jeshi Lao lipo disorganised, hawataweza kupigana.
 
Kwahiyo unafikiri alikiwa huyo tu mmoja?
Wapo wengine baadhi kwa kipindi kile walistaafishwa na hawakuwa wengi. Mzee wangu niliiona anaongea na kanali wa jeshi ni rafiki yake,
Walimwambia walikuwepo ila waliondolewa wote na wengine waliamua tuu muache kazi.
Kwa sasa sina UHAKIKA kama wapo coz baada ya ile ishu walikuwa makini sana. Na usajili wa watu jeshini.
 
Acha uwongo na kujipa matumaini yasiyokuwepo.
 
Mpira unafananisha na vita.
Kagame anaijua vizuri sana congo.
Baada ya second congo war , waasi wa RCD walikuwa ni watutsi wengi wao kutoka rwanda.
Na baada ya ile vita 2003, na kusaidiwa matamba walikubaliana waasi wa RCD wajiunge kwenye jeshi la congo , wacongo coz walikuwa WANATAKA kumaliza wakalazimika kufanya hivyo. Bila kujali kundi la RCD walikuwa ni wanajeshi la rwanda .
Na kweli wanajeshi wa rwanda wakaingia ndani ya jeshi la congo. Na waliingia wengi tuu.
Lakini baada ya kuingizwa amejitaidi sana KUMPINDUA kabila mdogo na wanajeshi wake hao hao aliyowapenyeza ila akashidwa mpaka leo.
Jeshi lake mara ya mwisho kufika Kinshasa ni 1997 kama sijakosema. Licha ya kupenyeza wanajeshi wengi ndani ya jeshi la congo na kuwatumia kina laurent nkunda batwale, bosco ntaganda na wengine kashidwa kuipindua serikali ya congo.
 
Vita sio jambo la kuchukulia kirahisi...
Kwanza inategemea mfadhili wako ni nani na ana maslahi gani kwenye hiyo vita.
Vita haitegemei ukubwa wa nchi wala wingi wa watu ulionao bali kuwa na watu sahihi na wa kutosha katika sehemu nyeti za ulinzi wa nchi...Hilo ni la muhimu sana, halafu inafuata teknolojia...
Mimi natabiri kuwa kagame atakuja kusumbua sana siku za baadae...yeyote aliyefika Rwanda anaweza kuthibitisha hilo...inaonekana kagame na ubaya wake wote lakini ana vision flani na nchi yake na hili ni tofauti sana na nchi nyingi zinazomzunguka ambazo zinaendeshwa kwa miluzi mingi...
Ni vizuri tusimpuuze ila tujipange vizuri hasa kwenye intelegensia manake wabongo wengi tuna tabia ya kuropoka mambo nyeti ya nchi tena hata kwenye sehemu za starehe.
 
Acha uwongo na kujipa matumaini yasiyokuwepo.
Wewe ndo muoga , unavyoonekana unamuogopa sana kagame ,
Hivyo ni vitisho,
Ni sawa na vita vya Mongolia, waliokuwa wanakupa kitisho kimoja tuu, unakuwa mpole. Wewe Hufai hata kuwa mwanajeshi tena hata kiongozi, pole sana.
Vitisho tuu ville tuu.😃😃😃
 
Kupigana vita siyo lazima ushike bunduki. Hiyo huwa ni hatua ya mwisho kabisa!
 
Wewe endelea kujipa ujasiri wa Simba kwa usichokijua. Tunaojua Hali HALISI TUNAKUONA wa ajabu kweli.

Endelea kuishi kwa historia na matumaini ya mwendawazimu.
 
Kuwahusisha Uganda na kuitenga Rwanda ilikuwa makosa...

Bora wangehusika wote tu.
Bukyanagandi MALCOM LUMUMBA lwaitama1 Kichuguu
 
Wewe endelea kujipa ujasiri wa Simba kwa usichokijua. Tunaojua Hali HALISI TUNAKUONA wa ajabu kweli.

Endelea kuishi kwa historia na matumaini ya mwendawazimu.
Tena mkuu kwa kipindi kile Kagame Nakumbuka alisema anajua hata shuka la kulalia la kikwete, tena alimwambia nakusubili sehemu sahihi nikupige, tena alidhamilia sana tena sana, Sana tena sana, na kwa kipindi kile alisema kabisa hata michoro wa ikulu ya DSM anaujua , na alikuwa na watu wengi tuu hapa bongo mpk huyo tuliyemsema.
Kwa alifanya nini kipindi kile? Naomba nijibu
 
Miaka miwili hapo aligombana na museveni mapaka wakafungiana mipaka, tena museveni alikuwa anauwa RAIA wa rwanda anarudisha maiti rwanda. Na museveni akakamata mtu mwenye asili ya rwanda kwenye jeshi sijui la police like,
Kagame alisema kabisa atamfanya kitu flani .
Tena museveni alikuwa anawatena mpaka wasichana wa rwanda na kuwaweka gelezani , kagame mwishowe akawaambia raia wake mseende Kule uganda. Kuwalinda siwezi , kwani alifanya nini mkuu
Tena Uganda kuna watutsi wengi sana kutoka rwanda zaidi ya huku, kama hujui tena kule ndo wanajiita kabisa banyarwanda wapo wengi sana, tena wametengeneza Mpaka umoja,
Vitisho tuu hakuna lolote ni mtu wa mikwara sana
Hacha uoga kijana.
 
😀😀😀😆😁😁
Si ndo hapo yeye anadai congo kuna Makundi ya wahutu wanaotaka kurudi rwanda kuuwa watu , na anapeleja m23 kutafuta wahutu hao na kulinda watutsi wa congo wasiuwawe, lakini cha ajabu m23 wanapigana na jeshi la congo eneo la kivu ya kaskazini tuu hawaende kwengine. Na wanapigana eneo la mpakani na congo na rwanda , pembezoni mwa mpaka na MARA nyingi tuu wanapigwa sana , kuna siku walipigana mpaka wakaomba mabigano wasimamishwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…