Una IQ ndogo sana kuelewa mambo ya Kijeshi unaendeshwa na chuki dhidi ya Watutsi na ujinga mnaojazana.Mkuu siraha zinazoogopwa duniani kwa sasa ni missile, makombola ni siraha hatari sana ukiwa na missile mzuri aaa hakuna wasiwasi wowote mkuu, congo kule ANAHITAJI missile m23 wanatwangika vizuri sana.
SINA CHUKI NA WATUTSI WALA NINI NIWACHUKIE WAMENIFANYA NINI MIMI, ILA KWENYE KWELI TUNASEMA UKWELI SIO KULETA SIFA NA UHONGO.Una IQ ndogo sana kuelewa mambo ya Kijeshi unaendeshwa na chuki dhidi ya Watutsi na ujinga mnaojazana.
Kagame aliichukua Rwanda bila Kifaru bila BM Grad rocket launchers na Serikali ilkuwa na Vifaru na IPCs na Silaha kedekede kutoka France na French legoniers walikuwa wakisaidia Serikali ya RwandaMKUU WATU WENGI WANAFIKILI DEFENCE INDUSTRY NI KITU AMBACHO SI CHA GHALAMA, UKWELI NI KWAMBA NCHI ZA AFRICA KUMILIKI SIRAHA HATARI ZA MAANGAMIZI SIO RAHISI,
KWA MATAIFA YA AFRICA WENGI TUNA,
Hizo siraha π
Ukiachana na jet fighter na drone.
SIDHANI kama kuna siraha zaidi ya hapo
T14 Armata
HATA KAGAME MUNAYEMSEMA HAPO NDO HIZO AMBAZO ANAZO.
CCM NI chama Chenye misigi, mibovu, kishetani,mibaya isiyo kuwa natija Kwa Taifa letu.Tuko busy na uchaguzi 2025.
Huko barabarani tuko busy na maving'ora 24/7 maspeed na kuweka mafoleni, sijui huwa tunawahi wapi na tunawahi nini maana yale ya msingi tunayopaswa kuyafanya hatuyafanyi..
Ruto anapambana kuongeza idadi ya diaspora wakenya duniani, wakati huo anaendeleza utaratibu wa kuzalisha skilled and intelligent workforce ya kenya ili itapakae kila kona duniani..
Tupo busy kubrainwash vijana na kuendelea kuwa chawa wa viongozi, tuko busy kuendelea kuongeza workforce pumbavu inayowaza siasa, tuko busy kufanya vijana wawe tegemezi wa baba zao wezi waliokwenye system.. We paralysized kila mahala na maadui wetu wanafuatilia nyendo zetu kila siku ili siku ikifika watuslave.
Kuna SAM kuna Cruise Missiles nk.Hebu niambie aina ya missile , nikupime uwelewa wako mkuu
Kagame alivamia rwanda 1990 on October. baada ya kusaini makumbalino mwaka 1993 October,Kagame aliichukua Rwanda bila Kifaru bila BM Grad rocket launchers na Serikali ilkuwa na Vifaru na IPCs na Silaha kedekede kutoka France na French legoniers walikuwa wakisaidia Serikali ya Rwanda
Na akakomesha Genocide.
πππππππππππKuna SAM kuna Cruise Missiles nk.
Hiyo ni hadisi ya abunuwasi,mimi nilikuwa Rwanda wakati wa Mapigano nilikiwa naziona silaha zikienda front line huko Byumba na niliwaona Wafaransa wanajeshi pale Ruhengeri sasa wewe unabwabwaja tu.Na kusimamisha vita, USA kwa kupitia UN waliamua kuzuia juvenali kutokuuziwa siraha.
Post in thread 'Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?' Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?Hiyo ni hadisi ya abunuwasi,mimi nilikuwa Rwanda wakati wa Mapigano nilikiwa naziona silaha zikienda front line huko Byumba na niliwaona Wafaransa wanajeshi pale Ruhengeri sasa wewe unabwabwaja tu.
Amesomea uchumi lakini kapewa Waziri wa ulinzi, hajui hata cyber security. Apo wanao fanya kaz NI karibu mkuuHiyo wizara inatakiwa na mtu ambae anajua Abcd za Kijeshi na sio kuweka huyo jamaa
Hujawahi kufika rwandaPost in thread 'Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?' Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?
Post in thread 'Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?' Paul Kagame katoa onyo kwa kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?Hiyo ni hadisi ya abunuwasi,mimi nilikuwa Rwanda wakati wa Mapigano nilikiwa naziona silaha zikienda front line huko Byumba na niliwaona Wafaransa wanajeshi pale Ruhengeri sasa wewe unabwabwaja tu.
Kuna watu nadhani wanatamani wawaue wakongo ili wachukue utajiri. Ngoja nicheki kuhamia kongo na sio burundiMkuu huo ndo utajiri wa congo upo chini ya ardhi yao
Kwanini Mkuu?Hujawahi kufika rwanda
Eti wanaweza kufanya chochote ila we jamaa bhana. Ndio maana hata hoja zako za kisiasa huwa zina walking chungunzima. Kumbe ni zero tu kichwani.Rwanda wako vizuri, na wanaweza kufanya lolote kwenye hizi nchi za Afrika mashariki.
Ndio hasara za ubongo kuhamia matakoniAje atusaidie kuwang'oa CCM na tutampa ushirikiano, kama waganda walivyotupa kwenye vita ya Uganda ili kumng'oa amini.
Ulisome ujifunze maana ya top dog. Kenya hamna utop dog wowote ule mbwiga.Liinsha lote umeandika la nini ujue wewe mpumbavu, Kenya ilalamike nini kuhusu Banyamulenge, wapi na wapi, utakua umerogwa, nilikua nawashangaa kushinda siku nzima mnasema sema kataifa kadogo, be a top dog ukibwekewa na kambwa kadogo you don't bark back.