Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?

Mkuu siraha zinazoogopwa duniani kwa sasa ni missile, makombola ni siraha hatari sana ukiwa na missile mzuri aaa hakuna wasiwasi wowote mkuu, congo kule ANAHITAJI missile m23 wanatwangika vizuri sana.
Una IQ ndogo sana kuelewa mambo ya Kijeshi unaendeshwa na chuki dhidi ya Watutsi na ujinga mnaojazana.
 
Una IQ ndogo sana kuelewa mambo ya Kijeshi unaendeshwa na chuki dhidi ya Watutsi na ujinga mnaojazana.
SINA CHUKI NA WATUTSI WALA NINI NIWACHUKIE WAMENIFANYA NINI MIMI, ILA KWENYE KWELI TUNASEMA UKWELI SIO KULETA SIFA NA UHONGO.
Wewe ndo una IQ ndogo ,
Hebu niambie aina ya missile , nikupime uwelewa wako mkuu.
Natakata nikupime nikuona jinsi unavyojitambua hebu ni eleze na jinsi zinavyokwenda ,
Si unajua mambo ya jeshi mkuu niambie basi, tukuone na IQ kubwa yako hio.
 
Jeshi disorganized na lisilo na discipline kama la Congo ni kupoteza muda tu ,waCongo wao wape kukata mauno kwenye rhumba na kula ngedere basi ndio wanachoweza ,a bunch of useless people ,wamewashindwa Maimai waje wamuweze M23 ? ,na nasikia M23 jamaa Paulo kawapa military drones sijajua ni kweli au uzushi .
 
Kagame aliichukua Rwanda bila Kifaru bila BM Grad rocket launchers na Serikali ilkuwa na Vifaru na IPCs na Silaha kedekede kutoka France na French legoniers walikuwa wakisaidia Serikali ya Rwanda

Na akakomesha Genocide.
 
CCM NI chama Chenye misigi, mibovu, kishetani,mibaya isiyo kuwa natija Kwa Taifa letu.
 
Kagame aliichukua Rwanda bila Kifaru bila BM Grad rocket launchers na Serikali ilkuwa na Vifaru na IPCs na Silaha kedekede kutoka France na French legoniers walikuwa wakisaidia Serikali ya Rwanda

Na akakomesha Genocide.
Kagame alivamia rwanda 1990 on October. baada ya kusaini makumbalino mwaka 1993 October,
Na kusimamisha vita, USA kwa kupitia UN waliamua kuzuia juvenali kutokuuziwa siraha.
Na RPA waliongezeka kutoka kutoka askari takribani 3000 mpaka 26000 na zaidi na jeshi la serikali walikuwa ni 13000.
Uwe unafuatilia hata TAARIFA za ICTR za mahakama ya UN. Utajua vizuri ishubya Rwanda usikurupuke mkuu.
 
Kuna SAM kuna Cruise Missiles nk.
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Ila kishule za msingi msingi huko sahihi mkuu, sawa
Tunafanya hivyo kozi upeo wa uelewa wa mtoto ni mdogo ni mdogo.
 
Na kusimamisha vita, USA kwa kupitia UN waliamua kuzuia juvenali kutokuuziwa siraha.
Hiyo ni hadisi ya abunuwasi,mimi nilikuwa Rwanda wakati wa Mapigano nilikiwa naziona silaha zikienda front line huko Byumba na niliwaona Wafaransa wanajeshi pale Ruhengeri sasa wewe unabwabwaja tu.
 
Hiyo wizara inatakiwa na mtu ambae anajua Abcd za Kijeshi na sio kuweka huyo jamaa
Amesomea uchumi lakini kapewa Waziri wa ulinzi, hajui hata cyber security. Apo wanao fanya kaz NI karibu mkuu
 
SIBISHANI NA WEWE TENA πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€
 
Congo wafuate ushauri huu WAngu. Waandae muswada wakae chini na TZ then ijiunge na TZ tuwe nchi Moja. So jukumu LA Hao waasi linakuwa letu zote. Nchi zote 2 zitanufaika kwa biashara na mambo mengine tukikaa pamoja kwa miaka hata 10 tu Hali Yao ya kiusalama itakuwa bora sana.
 
Rwanda wako vizuri, na wanaweza kufanya lolote kwenye hizi nchi za Afrika mashariki.
Eti wanaweza kufanya chochote ila we jamaa bhana. Ndio maana hata hoja zako za kisiasa huwa zina walking chungunzima. Kumbe ni zero tu kichwani.
Kufanya chochote? Are u serious au unabwabwaja tu
 
Ulisome ujifunze maana ya top dog. Kenya hamna utop dog wowote ule mbwiga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…