Paul Kagame katoa onyo kwa Kiswahili, walengwa mmepata ujumbe?


Aliyekudanganya TZ ni salama ni nani? Siajabu hata nchi yenyewe kama uijuavyo haipo tena, Tanzania ilishaenda, …
 
Kingine kinachowasumbua watusi hasa wa rwanda ni ugumu wa mioyo yao kuachilia na roho ya visasi inayowaandama na hii iko kwenye DNA ila tukumbuke mazingira yanabadilisha genotype za watu so wanaweza kubadilika lakini ni mpaka wakubali kuachilia.
"...tukumbuke mazingira yanabadilisha 'genotype' za watu..."

Mkuu 'SIRE', utaalam huu ndio leo nimeusikia kwako, sijawahi kamwe kuusikia au kuusoma popote!

Unaweza kufafanua kidogo, au kutoa mfano mahsusi unaoeleza swala hili?

Mi nadhani 'mazingira' unayoyazungumzia hapa ni tofauti na hayo yanayoelezwa kubadili hizo 'genotypes'.

Lakini niseme ninakubaliana na mengi ya uliyoyaeleza kuhusu hiki kikabila cha kitutsi, na historia inayowahusu.
 
Una Imani na kitu chochote chini ya CCM?
Mwishowe hii itakuwa kama 'cliche', kumbe ndio uhalisia wenyewe.

Nadhani hata wao wamezoea kusikia haya maneno yakisemwa kila mara juu yao, kiasi kwamba hata hayawaingii tena akilini.
 
Kwanini usiwashauri watafute Amani kwa njia dialogue?.
 
Ulisome ujifunze maana ya top dog. Kenya hamna utop dog wowote ule mbwiga.

Sina haja ya kusoma upupu wote huo, point yangu ni ile ile be a top dog sio kulia lia kila ukibwekewa na kambwa kadogo.
 
Hebu Tuonyeshe military tactics za Iddi amini, zinazotumiwa mpaka leo Tuzione mkuu.
 
Thomas sankara waliuwawa mwaka 1884 na compaore kwa msaada wa wafaransa,
Na kagame 1884 alikuwa na mu7 kumuondoa obote, sasa sijaelewa kama kagame alishirkiana na wafaransa au maana hoja yako ni dhahifu sana.
Wee unavyuona upo sahihi mkuu?
Hebu tuambie au umechukua kutoka kwa waraka wa Christopher mtikila nini, maana yeye ndo alisema.
 
Mwisho wake asha Anza kuuona Sasa wacha atapetape
 
Rais Kagame aachane na kauli za kujigamba na kutunisha misuli!!!
hilo haliwezi kumsaidia zaidi ya kuwatumbukiza wanyaruwanda kwenye matatizo.

Kiongozi mkongwe kama yeye hakupaswa kulopoka na kuonyesha jeuri mbele ya umma!!!
wakati huu aalipaswa aonyeshe ukomavu wake kwa kutatua matatizo kati ya nchi yake na Congo kuliko kuonyesha jeuri.

asijifanye hajui kuwa sio Congo tu inamtuhumu bali nchi zote za East Africa na hata SADAC all are against his conduct towards Congo, hivyo anapo ishutumu Congo maana yake anazishutumu nchi zote hizo!!!

madai yake kuwa ametishwa au maesingizingwa mgogoro wa Congo eti kwa kuwa nchi yake ni dhaifu huo ni ujanja wa kutaka kuficha uovu wake!!

kama anaweza kuwahadaa wanyaruwanda sawa lakini hawezi kuzihadaa nchi zote.

Ni vyema washauri wa Rais wakamshauri vyema kuliko kumuacha anapotea na mwishowe kuingiza nchi kwenye mgogoro mkubwa zaidi.
 
Impact yake ikoje katika uhalisia na maisha ya watu wake?

Tusijekuwa na sifa za kijinga kusifiwa na kujisikia wakati tupo hoi.
 
Impact yake ikoje katika uhalisia na maisha ya watu wake?

Tusijekuwa na sifa za kijinga kusifiwa na kujisikia wakati tupo hoi.
Yaani mnachekesha Sana Sasa Serikali huwa inagwa Pesa?

Kwamba hujui impacts take? Hujaskia Serikali imewapa mikopo watoto wote wa elimu ya Juu? Hujaona ada ya form six kufutwa? Huoni ajira kila kukicha? Huoni mabarabara na miradi ya maji nk? Huoni Veta zinajengwa? Mahospitali je?

Ndio maana nikaanza nankukushangaa na kuuliza Serikali huwa inagawa Pesa?

Kitendo Cha exports kuongezeka manake Ni Watzn ndio wameuza zaidi sio Serikali
 
Nikusaidie tu kidogo, Tz tuna zaidi ya eneo laki tisa, kenya laki 5, Burundi laki 2, Rwanda elfu 26 Square kms. Karibu wote hao kwa pamoja hawafiki ukubwa Taifa letu.

Unapolinganisha zingatia advantage uliyo na hatua zako dhidi ya wengine ili kujua ufanisi na ubora wako unavyotakiwa kuwa.

Tuko nyuma sana kwa kilometers nyingi.

Usijifie wanao kuvaa nguo zenye viraka wakati wannaweza kuvaa mpya, lakini unafikiri wewe uko bora kwa sababu tu kwa jirani wako uchi. Walio uchi kwa nafasi yao wako bora mara nyingi kuliko wewe mwenye viraka na siku moja watakufundisha jinsi ya kuvaa.
 
Unaongea maigizo?
Hao watoto waliopata mikopo wakurudi nyumbani hakuna chakula kwa wazi itasaidia Nini au watarudi kula mikopo?
Watu wanakula mli mmoja wewe unazungumzia mabalabala ambay mvua ikinyesha yanabaki mashimo?

Nyie endeleeni kulamba asali tu, huku kitaa hamjui Nini kinaendelea.
 
Wewe Ni mjinga asiye na chakula anaweza msomesha mtoto Hadi Chuo?
 
tayar, bongo dpw ameileta!
 
Late Mch. Mtikila kumchambua tolu vibaya mno. Tolu kajaza spy kwenye kila idara. Siku hizi kukuta wanyarwanda wakipiga mishe hapa Tanzania bila hata vibali sio ajabu tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…