Congo wafuate ushauri huu WAngu. Waandae muswada wakae chini na TZ then ijiunge na TZ tuwe nchi Moja. So jukumu LA Hao waasi linakuwa letu zote. Nchi zote 2 zitanufaika kwa biashara na mambo mengine tukikaa pamoja kwa miaka hata 10 tu Hali Yao ya kiusalama itakuwa bora sana.
"...tukumbuke mazingira yanabadilisha 'genotype' za watu..."Kingine kinachowasumbua watusi hasa wa rwanda ni ugumu wa mioyo yao kuachilia na roho ya visasi inayowaandama na hii iko kwenye DNA ila tukumbuke mazingira yanabadilisha genotype za watu so wanaweza kubadilika lakini ni mpaka wakubali kuachilia.
Mwishowe hii itakuwa kama 'cliche', kumbe ndio uhalisia wenyewe.Una Imani na kitu chochote chini ya CCM?
Kwanini usiwashauri watafute Amani kwa njia dialogue?.Congo wafuate ushauri huu WAngu. Waandae muswada wakae chini na TZ then ijiunge na TZ tuwe nchi Moja. So jukumu LA Hao waasi linakuwa letu zote. Nchi zote 2 zitanufaika kwa biashara na mambo mengine tukikaa pamoja kwa miaka hata 10 tu Hali Yao ya kiusalama itakuwa bora sana.
Hii ndio njia sahihi. Merge with TZ iwe nchi Moja... Hakuna atakayeleta fyoko tenaKwanini usiwashauri watafute Amani kwa njia dialogue?.
Huna Akili.Hii ndio njia sahihi. Merge with TZ iwe nchi Moja... Hakuna atakayeleta fyoko tena
Ulisome ujifunze maana ya top dog. Kenya hamna utop dog wowote ule mbwiga.
Hebu Tuonyeshe military tactics za Iddi amini, zinazotumiwa mpaka leo Tuzione mkuu.Jinsi ya kupambana na Paul Kagame ni kuadvance kwenye nyanja ya espionage na intelligence ,jeshi kama la Tanzania hili linalokomalia kuonyesha makomando wapasua matofali kwa vichwa , jeshini mnajaza wapumbavu tu kisa ni ndugu na watoto wa Makada ,jeshi hali adapt modern warfare tactics ,weapons NK ,jeshi ambalo haliupdate ,mmekalia kujifariji ujinga na military tactics za enzi za Idd Amin , kazi tunayo .
Ulimwengu uko mbali sana kwa sasa ,jeshi linahitaji brains si watu wenye miili mikubwa kama wabeba magunia wa pale mwanjelwa sokoni .
Thomas sankara waliuwawa mwaka 1884 na compaore kwa msaada wa wafaransa,Hu
Humjui Paulo mtu mrefu ,unamsikia tu ,lile jitu lina akili sana na uzoefu kwenye nyanja ya espionage na ni katili kupita maelezo wakianza kuhesabu roho zilizopotezwa na hilo dude , unaweza zimia ,Paulo Mtu mrefu kapiga misheni za hatari mpaka jamhuri ya kati na ana vikosi mpaka leo ,kapiga mishe za espionage mpaka Bukima faso kule west Africa tena kitambo anafanya mishe hizo na hata mauaji ya Thomas Sankara yaliinvolve spies na hitmen wake .Yule Blaize Campaore kule Bukina Faso aliyefanya yale mapinduzi alikuwa na back up ya Kagame kwa kiasi kikubwa .
Mwisho wake asha Anza kuuona Sasa wacha atapetapeRais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Impact yake ikoje katika uhalisia na maisha ya watu wake?Na wewe usiwe mjinga,Tanzania haijalala kiasi hicho japo hatujafanya vya kutosha naona Kama unahemka kwa vijimaneno vya mfa maji hapo juu..
Tungekuwa hatufanyi kitu Leo hii tusingekuwa na urali wa biashara kuwazidi wote EAC yaana balance of trade yetu na majirani wote Ni surplus in terms of quantity and value licha ya changamoto zote..
Yaani mnachekesha Sana Sasa Serikali huwa inagwa Pesa?Impact yake ikoje katika uhalisia na maisha ya watu wake?
Tusijekuwa na sifa za kijinga kusifiwa na kujisikia wakati tupo hoi.
Nikusaidie tu kidogo, Tz tuna zaidi ya eneo laki tisa, kenya laki 5, Burundi laki 2, Rwanda elfu 26 Square kms. Karibu wote hao kwa pamoja hawafiki ukubwa Taifa letu.Na wewe usiwe mjinga,Tanzania haijalala kiasi hicho japo hatujafanya vya kutosha naona Kama unahemka kwa vijimaneno vya mfa maji hapo juu..
Tungekuwa hatufanyi kitu Leo hii tusingekuwa na urali wa biashara kuwazidi wote EAC yaana balance of trade yetu na majirani wote Ni surplus in terms of quantity and value licha ya changamoto zote..
Unaongea maigizo?Yaani mnachekesha Sana Sasa Serikali huwa inagwa Pesa?
Kwamba hujui impacts take? Hujaskia Serikali imewapa mikopo watoto wote wa elimu ya Juu? Hujaona ada ya form six kufutwa? Huoni ajira kila kukicha? Huoni mabarabara na miradi ya maji nk? Huoni Veta zinajengwa? Mahospitali je?
Ndio maana nikaanza nankukushangaa na kuuliza Serikali huwa inagawa Pesa?
Kitendo Cha exports kuongezeka manake Ni Watzn ndio wameuza zaidi sio Serikali
Wewe Ni mjinga asiye na chakula anaweza msomesha mtoto Hadi Chuo?Unaongea maigizo?
Hao watoto waliopata mikopo wakurudi nyumbani hakuna chakula kwa wazi itasaidia Nini au watarudi kula mikopo?
Watu wanakula mli mmoja wewe unazungumzia mabalabala ambay mvua ikinyesha yanabaki mashimo?
Nyie endeleeni kulamba asali tu, huku kitaa hamjui Nini kinaendelea.
tayar, bongo dpw ameileta!Rais Paul Kagame alikuwa anaapisha mawaziri wapya hapo jana mapema. Alianza kutoa hotuba yake kwa lugha ya Kinyarwanda, lakini baadae akahamia kwenye lugha ya Kiingereza na baadaye akatoa kitisho kizito kwa lugha ya Kiswahili. Wengi wetu tumeona hicho kipande chenye lugha ya kiswahili kikisambaa huko mitandaoni hasahasa kwa raia wa Tanzania na Kenya. Kitendo cha kusambaa mtandaoni kwa kasi hivi, inaonesha kabisa walengwa wa ujumbe ni watu gani.
Kwenye FASIHI njia moja kuu ya kufikishia ujumbe ni kuifahamu HADHIRA, lakini kubwa zaidi ni kufahamu lugha ambayo HADHIRA hutumia. Siku zote kimetumika Kinyarwanda na Kiingereza, lakini leo hii na Kiswahili juu, tena sehemu ambayo anatoa vitisho. Kwenye Dakika ya 27, ameanza kuwaliza mawaziri wake kama wanafahamu lugha ya kiswahili, wakamjibu wanelewa, ndipo akaanza kuzungumza kiswahili.
Huu ujumbe siyo wa wanyarwanda, wazungumzaji wakubwa wa lugha ya kiswahili wanafahamika, hivyo hicho kitisho ni ujumbe kwenu. Hajataja mhusika, mimi binafsi sitamtaja, lakini naamini walengwa mapema leo, watakuwa washafikiwa na huu ujumbe.
Alichokisema Rais Paul Kagame ni kwamba ukubwa wa pua siyo wingi wa kamasi. Kwamba Rwanda doesn't have the means, but they have the methods (ways). Hivyo kijiografia Rwanda ni nchi ndogo isiyo na rasilimali nyingi, lakini wao siyo migomba mifupi kama wanavyofikiriwa. Binafsi naamini, haivuki miaka miwili (2) kuna mtu kwenye huu ukanda wetu wa maziwa makuu atatoa kilio kikubwa sana.
View attachment 2433276
Pamoja na tozo kutuelemea, huyo tolu akileta za kuleta, tutaisafisha Rwanda mapema tu.tayar, bongo dpw ameileta!