Hubble Telescope
JF-Expert Member
- Jan 30, 2025
- 426
- 527
Wana drones ngapi??, auto pilot planes ngapi? Army yao pmj na reserve ni kiasi gani? Wana missiles ngapi? Tuanzie hapoNaona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Hahahaha 🤣🤣Nchi yenyewe vijana kutwa kukata mauno umbea udaku kufatiliaaa
Ndy wakapambane na rwandaaa m23 watanyolewaaaaaa
Ova
Nenda kawaguse utaona wana drones ngapiWana drones ngapi??, auto pilot planes ngapi? Army yao pmj na reserve ni kiasi gani? Wana missiles ngapi? Tuanzie hapo
Spika wa bunge anapiga hesabu kuwaingiza wakina manara,mandonga mwijaku babalevel mjengoni hivi hapo kuna watu serious kweliHahahaha 🤣🤣
Kwa akili zenu hizi ndio maana huko kwenu kuna vita visivyoisha..Naona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Ukiona taifa lolote linajinasibu kuwa na nguvu kubwa ya kijeshi ujue kuna kitu hakiko sawa.Hata Russia tuliambiwa haya haya lakini huu sijui mwaka wa ngapi anatolewa jasho na Ukrein. Naona week yote hii wanyaruanda mmejipanga kuleta vinyuzi vyenu vya kuwatisha watu wazima nyau,
Wajinga sawa ingiza jeshi lakoKwa akili zenu hizi ndio maana huko kwenu kuna vita visivyoisha..
Ogopa sana nchi ikishakuwa na wajinga wengi.
huyo kagame hana lolote,na nina kwambia,,kabla ya mwisho wa mwaka atakuwa keshapinduliwaNaona wengi mnaibeza eti Kwa kusema ardhi Yao ndogo mala population yao watu ni 14m nawaambia siku mkiigusa hiyo nchi Kwa ubora wa jeshi lake mtaaibika vibaya sana msiishi Kwa historia uzuri kagame kashasema anayetaka vita Naye ajaribu zone moto wake huyu ni netanyahu wa Africa maana mataifa yote ya Africa yanamuogopa vibaya sana
Nenda kampindue Sasa🤣🤣🤣huyo kagame hana lolote,na nina kwambia,,kabla ya mwisho wa mwaka atakuwa keshapinduliwa
Tuma Sasa hicho kikosi sio maneno mengi🤣🤣🤣Huyo hata hutumii nguvu nyingi unatuma kikosi kazi kinamfata ikulu kinaondokanae anatokomea pasipo kufahamika kapotelea wapi!
Mzee, hata kuandika hujui utajuaje mambo nyeti ya usalama wa nchi!!mala
hapo alipo keshapinduka!!!! jana yenyewe kanywa pombo kapinduka kitandani!!Nenda kampindue Sasa🤣🤣🤣
Njia ya kumkomesha ni ndogo!Rwanda itasumbua kwakua imekubali nchi yao kuwa uwanja wa kushusha silaha za waliotukoloni.
Pamoja na hilo, kama wakienda wanavyoenda tutawafunza adabu!
Wewe na nani?Sisi Jasusi letu kuu ni Yericko Nyerere.🤣