Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Hana lolote msimpe sifa ambazo hastahili yeye atawamudu wananchi wake huko Rwanda
 
Ukiachana na maswala ya congo Kuna vita gani ya maana aliyopigana ndani ya Africa mashariki akashinda?
 
Wewe Mwarabu huwezi kuhoji uraia wangu mimi Mwafrika rudi kwenu Yemen ukafe njaa.
Wewe ruka ruka ila wewe si mtanzania.

Na CDF alishalizungumzia hili kuwa raia ambao si wa taifa hili wanapewa nafasi ndani ya nchi.

Hili halitaishia hapa tu bali litarudi mpaka chini.

Yaani wewe utakuwa kwenye majukwa ya mpira na celebrity na kimatifa. Ndipo utakapo changia mada huko! Mambo ya Tanzania hayakuhusu.

By the way, karibu Mandi, ijumaa leo!
 
Wewe Mwarabu una utanzania gani hadi kuhoji uraia wangu.

Mimi ni Mwafrika katika Bara langu.
Sasa Sheikh imhotep

Unapata ugumu gani kusema kuwa una asili ya Rwanda ndugu yangu?

Haya! mimi ni mtanzania nina asili ya Yemen.

Wewe ni mtanzania wa asili ya wapi?
----------------------
Usisahau Ijumaa leo karibu Mandi.
 
Unapata ugumu gani kusema kuwa una asili ya Rwanda ndugu yangu?
Nimeshakwambia na hutaki kunielewa kwamba sio Watutsi wote ni Wanyarwanda.

Karimu Amstel Beer sheikh. Ijumaa njema.
 
Aliyekuuzia bangi mwambie apunguze vichanganyio
 
Paul Kagame ni kiwavi anayejifanya dubwana kuubwa la kutisha.
Wanyarwanda mnapa kichwa kuna siku mtajutia maneno yenu
 
sio kweli, mfano jeshi la tanzania au kenya kagame anapigwa vizuri tu..sema sasa shida akishapigwa ule ukanda wote unachafuka wahutu na watusi wanarudi kuchinjana upya..hapo ndo sehem ambapo tunaogopa.. damu itamwagika sana yani. waache washikabne mashati wenyewe kwa wenyewe ili wasipate wa kumnyooshea kidole.. maana pale rwanda kunuka lazima patanuka ni suala la muda tuu
 
Tanzania inahitaji wiki kuiteka Rwanda. Kagame anajificha nyuma ya M23 tena kwa msaada wa mabeberu kufanya uhalifu hapo Congo, hana cha zaidi. Kwa East Afrika labda amsumbue Burundi, nayo hakuna uhakika wa ushindi.
 
Upo sahihi kiasi lakini ni mjinga sana!

Huwezi endesha nchi Kwa mkono wa chuma halafu ukawa salama maisha yako yote na kizazi chako!

Angetengeneza katiba nzuri na sheria Kali Ili Kila Raise anapochaguliwa awe chini ya katiba na dola kuliko kuwa juu ya katiba ingesaidia future ya Rwanda kuliko one man shows Kwa miaka zaidi ya 20.

Kwa maana akiondoka madarakani na Rwanda iliyopo itakufa kabisa kwasababu itabidi arithishe madaraka ambayo sio afya Kwa taifa la Rwanda!!

Miaka 15 ingetosha kuunda katiba Kali kisheria hata akiiingia mhutu ikulu hawezi Tanya yakwake bali matakawa ya dola kinyume na hapo analiwa kichwa na dola!!
 
Tanzania inahitaji wiki kuiteka Rwanda. Kagame anajificha nyuma ya M23 tena kwa msaada wa mabeberu kufanya uhalifu hapo Congo, hana cha zaidi. Kwa East Afrika labda amsumbue Burundi, nayo hakuna uhakika wa ushindi.
Endelea kuota
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…