Paul Kagame ndiye Rais mwenye Intelejensia Kali kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki

Kuna watu wanaongea kishabiki hawamjui Kagame ndiye aliyemsaidia kuingia madarakani Museveni 1986 na Mzee Kabila 1997..
 
Wanyarwanda mmejaa kwelikweli kila dakika ni nyuzi za kumsifu Kagame na Rwanda utadhani basi kinachosifiwa ni dubwasha kubwa kumbe vidude tu ambavyo watu wakiamua hata siku haiishi panakuwa historia
Ndo ujie kama jf wamo ujue na kwingine wamo. Wakati tunaji mwambafy kuwa dk chache zinatosha kummaliza huku mitandaoni.. Wenyewe wamafanya kweli kujipenyeza kwenye mifumo.
 
Labda kwa mamluki kama wew, endelea kusambaza propaganda zawoga, huo ni uraia wa daraja la usaliti na ukosefu wa uzalendo
 
Nyie wanyarwanda soon tutaanza kuwafukuza Tanzania kwa sababu hamjitambui sasa hapa umeongea ujinga gani?
 
Siku tz ikipigana na Rwanda nitakutolea maisha yangu kwa taifa langu
 
Sipendi aina ya utawala na Tabia za Kagame, lakini nakubali Kwamba Kagame ndio Rais Smart Hapa Afrika Mashariki na Kati
 
Tabula rasa
 
Acha uzushi kwenye ile vita kagame alikuwa mbwa tu hizo ni story Za ghahawa tu
 
Hata Russia tuliambiwa haya haya lakini huu sijui mwaka wa ngapi anatolewa jasho na Ukrein. Naona week yote hii wanyaruanda mmejipanga kuleta vinyuzi vyenu vya kuwatishia watu wazima nyau,
Russia anapigana na nchi zaidi ya hamsini Kwa pamoja na bado kateka ardhi kubwa sana ya Ukraine
 
Picha za Hao wanajeshi wa hayo mataifa wakipambana na urusi
Nenda kwenye uzi unahusu vita hivyo humu jf utaona siraha na wanajeshi wao na utaona bajeti wanazotenga kwenye hiyo vita pitia Uzi wote kama sio zwazwa utathibitisha.
 
Nenda kwenye uzi unahusu vita hivyo humu jf utaona siraha na wanajeshi wao na utaona bajeti wanazotenga kwenye hiyo vita pitia Uzi wote kama sio zwazwa utathibitisha.
We ndio umeleta hizo blah blah hapa ndio maana nimekuambia thibitisha hapa hapa sio unapiga domo tu hapa kwanza Domo lenyewe linanuka
 
We ndio umeleta hizo blah blah hapa ndio maana nimekuambia thibitisha hapa hapa sio unapiga domo tu hapa kwanza Domo lenyewe linanuka
Wewe choko utakuwa unanuka mkundu sio Kwa kuropoka huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…